Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

TOFAUTISHA MSABALA NA KUJUmLISHA HAPA: diamondplatnumz ..
..
*msanii wa kwwnza Tz kutoa ajira nyingi kwa vijana tena zenye maslahi makubwa *Msanii wa kwanza Tz kumiliki na kuongoza Crew ya watu wasafi tuu
1. Msanii wa kwanza East Africa kushinda tuzo tatu za Channel O
2. Msanii wa kwanza wa bongo fleva kushinda tuzo 7 za kili music awards
3. Msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwa nominated kwenye tuzo kubwa duniani za BET
4. Msanii wa kwanza wa bongo fleva kuwa nominated kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards
5. Msanii wa kwanza Tanzania kushinda tuzo kubwa nchini Nigeria 'Future awards'
5. Msanii wa kwanza Tanzania mwenye influence kubwa zaidi kuwahi kutokea
6. Msanii mwenye influence kubwa ktk social networks
7. Msanii anayelipwa pesa nyingi zaid kwenye show kuliko msanii yeyote africa mashariki
8. Msanii mwenye ulinzi mkali zaidi kuliko msanii yeyote afica mashariki.
10. Msanii aliefanya kazi kubwa zaidi kuinua maslahi ya wasanii katika shows, kwa kupandisha kiwango cha malipo katika shows zake (hata wanaomchukia/wanaoshindana nae cjui wwngekua wapi leo??)
11. Msanii wa kwanza wa bongo fleva kufanya collable nyingi za nje.
12 Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na video nyingi zenye views zaidi ya million mbili youtube.
13. Msanii pekee East Africa anayeweza kupiga shows sehem yeyote East & Central Africa na akajaza uwanja wa mpira peke yake.
14. Msanii pekee Tanzania ambae anafahamika zaidi nje ya nchi.sifa zinaendelea ongeza na wewe..
15-Msanii wa kwanza Tz ambae anajua kuvaa kuendana na fashion inasemaje na uvaaji wake umekua mfano kwa kila.kijana wa kileo..
16-Msanii anayeongoza kuwapatia riziki wanahabari yaani magazeti & blogs kupitia habari zinazomuhusu
Ongeza hapo
Almost 100% right except for one thing kwene #4 kuna rekebisho kidogo. Juma Nature mwaka 2006 alikua nominated for Best African Act Kwene MTv-Europe Music Awards

J-Nature.JPG Bless Though Dangote ni noma.
 
Tetesi : Uhenda muda wowote mwaka huu mwanzoni dangote akashusha vifaa vya band vya umeme vya system ya kisasa vikiwa full na mic zake wireless kama zile za Michael Jackson.
 
Tetesi : Uhenda muda wowote mwaka huu mwanzoni dangote akashusha vifaa vya band vya umeme vya system ya kisasa vikiwa full na mic zake wireless kama zile za Michael Jackson.

jamaa anajituma na daima mafanikio yatakua upande wake.
 
Tetesi : Uhenda muda wowote mwaka huu mwanzoni dangote akashusha vifaa vya band vya umeme vya system ya kisasa vikiwa full na mic zake wireless kama zile za Michael Jackson.
uhusiano kati ya elimu na ufahamu vinazidi kufifia, huyu jamaa hata Bachelor hana ila anajua kutumia fursa kupitiliza...Mungu amsaidie aje kua msanii mkubwa duniani
 
Jamani nimewamissije wadau wangu team yangu ni ubusy tu hadi napotea ,jamani Kim nana chige tofali Heaven on Earth Chinga One data bila kukusahau wengine majina kuyaandika ni shidaa nawapenda mpaka naumwa mwenzenu karibuni Mwanza mji ulojaaliwa hakuna joto,wala foleni hali ya hewa tambararee ,vyakula vya kila aina tunavyo,panya road hawasogei mwisho Dar teh...

.,team Daimond forever
 
Last edited by a moderator:
Jamani nimewamissije wadau wangu team yangu ni ubusy tu hadi napotea ,jamani Kim nana chige tofali Heaven on Earth Chinga One data bila kukusahau wengine majina kuyaandika ni shidaa nawapenda mpaka naumwa mwenzenu karibuni Mwanza mji ulojaaliwa hakuna joto,wala foleni hali ya hewa tambararee ,vyakula vya kila aina tunavyo,panya road hawasogei mwisho Dar teh...

.,team Daimond forever
Rock City pazuriii
 
Jamani nimewamissije wadau wangu team yangu ni ubusy tu hadi napotea ,jamani Kim nana chige tofali Heaven on Earth Chinga One data bila kukusahau wengine majina kuyaandika ni shidaa nawapenda mpaka naumwa mwenzenu karibuni Mwanza mji ulojaaliwa hakuna joto,wala foleni hali ya hewa tambararee ,vyakula vya kila aina tunavyo,panya road hawasogei mwisho Dar teh...

.,team Daimond forever

Karibu tena.....mwanza mwanza.....
 
Last edited by a moderator:
Jamani nimewamissije wadau wangu team yangu ni ubusy tu hadi napotea ,jamani Kim nana chige tofali Heaven on Earth Chinga One data bila kukusahau wengine majina kuyaandika ni shidaa nawapenda mpaka naumwa mwenzenu karibuni Mwanza mji ulojaaliwa hakuna joto,wala foleni hali ya hewa tambararee ,vyakula vya kila aina tunavyo,panya road hawasogei mwisho Dar teh...

.,team Daimond forever
nimeona dis moja kwene hili jukwaa inakuhusu nkashndwa kujibu coz nliku bize, nimepata muda mada imefungwa... ila kujibu swali lake yule sinza pazuri ungemwambia " You are never fully dressed without a smile "

https://www.youtube.com/watch?v=IKjJ6DQF7xY
 
Ukweli napenda anavyojituma ila cpendi anavyobania albam eti kuibiwa inaibiwa nchi sembuse wewe watu escrow escrow lkini Tanzania bado inaendelea we to a albam die tusikilizeeee kwenye ndinga zetu watu tunapenda kusikia masong kama vile ukimuona huku tunajikumbusha maumivu we anza wengine watafwata Mdogo mdogo
 
Naombeni msaada wandugu huyu dai atanifelisha, nifanyeje? I can't stop listening & watching his music/performances.
 
Back
Top Bottom