Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Sorry mi najiuliza kwann nyimbo zako hazichelew kuisha utam?? Jitahidi kuongeza radha ili na cc team wcb tujidai... Coz nimeona ile kitorondo ishakua ilipendwa na ntampata wap nayo hivo hivo na hii ntasema nawe pia ishachuja... Bila shaka unafikiria kuitoa nyingine.... Mbona yule jamaa alieimba mwana hadi leo yake ni tamu??? Hadi fans wake wanajidai nayo... Fanya hivo bhas broo, hadi nataka kuhama team bhana...[Huu ni mtazamo wangu...] Peace n love...

Inaonyesha unapima uelekeo wa upepo unakwenda wapi sa ivi
 
Sorry mi najiuliza kwann nyimbo zako hazichelew kuisha utam?? Jitahidi kuongeza radha ili na cc team wcb tujidai... Coz nimeona ile kitorondo ishakua ilipendwa na ntampata wap nayo hivo hivo na hii ntasema nawe pia ishachuja... Bila shaka unafikiria kuitoa nyingine.... Mbona yule jamaa alieimba mwana hadi leo yake ni tamu??? Hadi fans wake wanajidai nayo... Fanya hivo bhas broo, hadi nataka kuhama team bhana...[Huu ni mtazamo wangu...] Peace n love...
Unaishi maeneo gani huko ambapo ' Ntampata Wapi ' haipigwi kila saa? Halafu team yetu sisi lazima uwe na namba ya usajili ya kwako ngapi?
 

Attachments

  • Certificate.jpg
    Certificate.jpg
    25.3 KB · Views: 271
Sorry Diamond mi najiuliza kwann nyimbo zako hazichelew kuisha utam?? Jitahidi kuongeza radha ili na cc team wcb tujidai... Coz nimeona ile kitorondo ishakua ilipendwa na ntampata wap nayo hivo hivo na hii ntasema nawe pia ishachuja... Bila shaka unafikiria kuitoa nyingine.... Mbona yule jamaa alieimba mwana hadi leo yake ni tamu??? Hadi fans wake wanajidai nayo... Fanya hivo bhas broo, hadi nataka kuhama team bhana...[Huu ni mtazamo wangu...] Peace n love...
Haya tumekuona,umefanya vizuri kujipitisha tukujue.
 
Happy Valentine kwenu team Mondi team Chibu team platnumz teàm wasafi
 
Ukimwona...christian Bella cover ni noma.....mwenye kuweza ileta hapa ailete....

Najiuliza kama plantumz hajui kama ambavyo baadhi ya watu wanataka kutuaminisha, iweje ni yeye pekeee ktk kizazi hiki ambae nyimbo zake ndio zinafanyiwa remix????

Napata jibu ni chuki tu kwa living legend.....watu tulizoea nyimbo za kina marijan Rajab na Bi kidude na mbaraka mwishehe ndo zinazorudiwa kumbe hata na za Chibu????
Ipoo siku when Chibu is gone tutaona ombwe ktk tasnia ya music,kama ambavyo tunaona ombwe ktk bongo movie after the Great.
Asanteni.
 
Ukimwona...christian Bella cover ni noma.....mwenye kuweza ileta hapa ailete....

Najiuliza kama plantumz hajui kama ambavyo baadhi ya watu wanataka kutuaminisha, iweje ni yeye pekeee ktk kizazi hiki ambae nyimbo zake ndio zinafanyiwa remix????

Napata jibu ni chuki tu kwa living legend.....watu tulizoea nyimbo za kina marijan Rajab na Bi kidude na mbaraka mwishehe ndo zinazorudiwa kumbe hata na za Chibu????
Ipoo siku when Chibu is gone tutaona ombwe ktk tasnia ya music,kama ambavyo tunaona ombwe ktk bongo movie after the Great.
Asanteni.
Christian Bella-Ukimwona Remix by Bongofive - HulkShare
 
Ukimwona...christian Bella cover ni noma.....mwenye kuweza ileta hapa ailete....

Najiuliza kama plantumz hajui kama ambavyo baadhi ya watu wanataka kutuaminisha, iweje ni yeye pekeee ktk kizazi hiki ambae nyimbo zake ndio zinafanyiwa remix????

Napata jibu ni chuki tu kwa living legend.....watu tulizoea nyimbo za kina marijan Rajab na Bi kidude na mbaraka mwishehe ndo zinazorudiwa kumbe hata na za Chibu????
Ipoo siku when Chibu is gone tutaona ombwe ktk tasnia ya music,kama ambavyo tunaona ombwe ktk bongo movie after the Great.
Asanteni.

Ukweli mtupu.....Mungu aliepushe hili lisije tokea.
 
autumn.JPG
When you poke it at just know, man
The iceberg is a reflection of you when you re-new your vision
Just think if it had sunk Titanic, the https://jamii.app/JFUserGuide it would do to a critic, my nigga?
Yeah, yeah, tell me, when thugs cry do you hear 'em, Lord?
Do you hear 'em, Lord? Do you hear 'em?
And if my ship go down tell me who will abort?
And they won't let me live even when remorse that I give
When it gon' rejoice and forgive, tell me how I stay positive
When they never see good in me
Even though I got hood in me
Don't mean he won't redeem me, Lord


- Kendric Lamar in Autumn Leaves { We all have our models From Diamond's IG }
 
Back
Top Bottom