Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Ivi unajua kweli unachoongea we mbwiga?huy jdee lini aliwah kuchukuwa tuzo za kili tatu mfululizo km co mwaka jana tu?miaka yot ilopita alikuwa anaishia kuchukua moja moja au mbili(hizi hazizidi miongo mitatu)...
Na toka imeanzishwa kili awards ni miaka 14 sas...ambapo kwa hesabu za haraka jdee atakuw na ama tuzo 9-10 za kili...na wakati platnumz kaanz kutoka 2009 akachukua 3,then 2,then 3 then 7 na ndo kwanza toka ametoka kweny game ana km miaka 5-6 tu bt kafanya matuc ya kutosha!
Wee jamaa unaongelea ushabiki mahaba au???
 
MMMH ungekosekana ningeshangaa sana, watu na mashabiki wao... ivi ukuta mmeshajenga au?
Mie sio miongoni mwa wale wanaosumbuliwa na 8MB... nipo 24/7 full connected!! Nikishachoka kutengeneza pesa, nakuja kwenye nyuzi kuangalia haters!!
 
Mie sio miongoni mwa wale wanaosumbuliwa na 8MB... nipo 24/7 full connected!! Nikishachoka kutengeneza pesa, nakuja kwenye nyuzi kuangalia haters!!

Eti jamaa atanyakua?
 
Huyo ndomo mwaka huu atawapiga pumb * mi nipo apa
This's too low for you mpwa! mambo kama haya waongee washamba waluga luga wasiofahamu nini maana ya ushabiki! Tuacheni ushamba... hivi wanaume wakimshabikia Diamond ndo watapigwa mboo, lakini wakiwashabikia wengine, sawa tu... sasa tukisema mna chuki zisizo na maana, mnakataa! Jamani eh, kama tutafir'wa, tutafi'rwa sisi, sasa nyinyi kinawasumbua nini?? Mkund'u wa Chige, aje kuumia warumi, hivi inaingia akilini kweli?
 
Last edited by a moderator:
Eti jamaa atanyakua?
We bhana huna hoja manake hakuna swali hata moja nililokuuliza ambalo umejibu! Am not that kind of guy... kwanza mie napenda mtu aongee kwa facts au at least alete logic kwenye maelezo yake... kwa upande wako ni blah blah! By the way, unaonekana ni kama mtu aliyedandia treni huku ukiwa wala huelekei kwamba you're from the entertainment family manake ungekuwa ni from entertainment family ungefahamu kwamba huyo Chibu mwenyewe amekuwa talk of town kabla huyo Zari wewe hujamfahamu! Na ungekuwa from the entertainment family, wala usingehangaika kuleta hoja kwamba mwaka huu hatapata tuzo coz' ni mambo ya kawaida kwenye entertainment industry!

So, to make this discussion engaged, go first how does the entertainment industry works kisha rudi manake hivi sasa hata tukiamua kuongea kwa mifano itakuwa wastage of resources! I am sorry if got embarrassed lakini sidhani kama kuna ukweli unaotakiwa kuufahamu kwa sasa zaidi ya huo!
 
We bhana huna hoja manake hakuna swali hata moja nililokuuliza ambalo umejibu! Am not that kind of guy... kwanza mie napenda mtu aongee kwa facts au at least alete logic kwenye maelezo yake... kwa upande wako ni blah blah! By the way, unaonekana ni kama mtu aliyedandia treni huku ukiwa wala huelekei kwamba you're from the entertainment family manake ungekuwa ni from entertainment family ungefahamu kwamba huyo Chibu mwenyewe amekuwa talk of town kabla huyo Zari wewe hujamfahamu! Na ungekuwa from the entertainment family, wala usingehangaika kuleta hoja kwamba mwaka huu hatapata tuzo coz' ni mambo ya kawaida kwenye entertainment industry!

So, to make this discussion engaged, go first how does the entertainment industry works kisha rudi manake hivi sasa hata tukiamua kuongea kwa mifano itakuwa wastage of resources! I am sorry if got embarrassed lakini sidhani kama kuna ukweli unaotakiwa kuufahamu kwa sasa zaidi ya huo!

Chige unijaitahidi sana kumwaga darasa la bure apa jamvini lakini nashindwa kuelewa kwanini hawa watu ni wagumu kuelewa,na ukichunguza wanaobisha wote huwa hawanaga facts za kucimamia hoja zao n wakishindwa mwisho wao huwa ni kumwaga matusi yasiyoeleweka...nashangaa mdau mmoja baada ya kuishiwa hoja eti ansema mwaka huu watu watapigwa pu...mbu na chibu bas ingekuwa ivo watz wote tungekuwa wabovu akiwemo na yy maana kuna watu ni mashabiki wa wacheza soka na wengn mashabiki wa mziki...
 
This's too low for you mpwa! mambo kama haya waongee washamba waluga luga wasiofahamu nini maana ya ushabiki! Tuacheni ushamba... hivi wanaume wakimshabikia Diamond ndo watapigwa mboo, lakini wakiwashabikia wengine, sawa tu... sasa tukisema mna chuki zisizo na maana, mnakataa! Jamani eh, kama tutafir'wa, tutafi'rwa sisi, sasa nyinyi kinawasumbua nini?? Mkund'u wa Chige, aje kuumia warumi, hivi inaingia akilini kweli?

Watu na mikund* yenu bhana, aya bhana, mi sina neno
 
Last edited by a moderator:
Ndomo anafaidi, anajichagulia tu leo nkundu wa zari, kesho nkundu wa juma, ustaa raha sana
 
This's too low for you mpwa! mambo kama haya waongee washamba waluga luga wasiofahamu nini maana ya ushabiki! Tuacheni ushamba... hivi wanaume wakimshabikia Diamond ndo watapigwa mboo, lakini wakiwashabikia wengine, sawa tu... sasa tukisema mna chuki zisizo na maana, mnakataa! Jamani eh, kama tutafir'wa, tutafi'rwa sisi, sasa nyinyi kinawasumbua nini?? Mkund'u wa Chige, aje kuumia warumi, hivi inaingia akilini kweli?

ah ah ah!ww jamaa ni noma sana,nimecheka had imebid watu wa pembeni yngu wa washiriki nao
 
Last edited by a moderator:
Kwa wasioelewa mult talented lazima waone dogo amepoteza muelekeo! Ila bado yupo vizuri sana wala hana papara, pia kingine kinachomsaidia Diamond ni ile crew yake ya uongozi!
 
Ama kweli Chibu tatizo,tunao kubali kazi zake na juhudi sana tutampigia kura za kutosha
 
chige plz achana na huyo jamaa unampa sifa kumjibu, acha atukane akitosheka atasepa mwenyewe ,

Usipoteze hekima zako kujibishana na kocho ilo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom