Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

kila mtu ana haki ya kuwa chama anachokipenda yeye!' huwezi ukamlazimisha mtu. lakini yeye alichokosea angetakiwa kunadi chama chake sio kuanza kuleta mambo ya ukabila!' na kama kupiga kazi angepga kazi aache kuongea shit.

Kwa hiyo Lowasa kwa vile anatoka kaskazin hawezi kuongoza nchi!', Nchi inafaa kuongozwa tu na wakwere!' au kabila la mama yake au?! kwa hiyo amewadharau na mashabiki zake wanaotoka ukanda wa kaskazini, umaarufu umevimbisha kichwa!' na domo lake kuuuubwa!'

nilikua namsapiti sana huyu domo kubwa!' search humu utaona post zangu!' nimempgia kura sana, tena nikiwa kwa office nilikua nawahimiza sana wafanyakazi wenzangu muda ambao hawana kazi kumpgia kura mana kuna free internet!' sasa sahivi wamebaki kunicheka, mtu niliekua nampgia kampeni kila siku kumbe ni cho.ko

Wewe jamaa sema kwamba unasababu zingine binafsi za kumchukia Diamond,maana kila tunavyokuelekeza unajifanya huelewi kichwa ngumu!!

Hiyo account inayoeneza hizo taarifa za Ukabila wala sio ya Diamond,ni account feki kutoka Facebook ya msengerema aliyeamua kujiita Diamond na akaandika huo ujinga nauzushi kama ulivyo,Diamond alishatolea ufafanuzi hilo swala na kwamba hajazungumza hivyo na hiyo account sio yake!!nashangaa unaendelea kukomalia hio habari

Mashabiki wa Naseeb tunaelewa hiyo ni account feki ya wabaya wake wameamua kumzushia na aliyeileta hiyo habari humu JF anajua kabisa kua hiyo sio account ya diamond ila ameamua kufanya hivyo ili kujenga chuki kwa mashabiki wa Diamond.

Tunaolewa huu mchezo tayari tunajua nini kinaendelea!wewe endelea kumtukana tu kama vile una ushahidi.
 
Wewe jamaa sema kwamba unasababu zingine binafsi za kumchukia Diamond,maana kila tunavyokuelekeza unajifanya huelewi kichwa ngumu!!

Hiyo account inayoeneza hizo taarifa za Ukabila wala sio ya Diamond,ni account feki kutoka Facebook ya msengerema aliyeamua kujiita Diamond na akaandika huo ujinga nauzushi kama ulivyo,Diamond alishatolea ufafanuzi hilo swala na kwamba hajazungumza hivyo na hiyo account sio yake!!nashangaa unaendelea kukomalia hio habari

Mashabiki wa Naseeb tunaelewa hiyo ni account feki ya wabaya wake wameamua kumzushia na aliyeileta hiyo habari humu JF anajua kabisa kua hiyo sio account ya diamond ila ameamua kufanya hivyo ili kujenga chuki kwa mashabiki wa Diamond.

Tunaolewa huu mchezo tayari tunajua nini kinaendelea!wewe endelea kumtukana tu kama vile una ushahidi.

sina chuki na huyo jamaa!' kama ni hivyo!' sawa ..........pa1 mkuu.
 
Acha kuchanganya siasa na burudani... watu wanafanya biashara na hawawezi kuacha pesa eti kwavile tu wewe hu-support anachokipigia kampeni!Guys, go outta there and find the real enemy anauesababisha CCM iendelee kuwa madarakani... hata ungekuwa ndo wewe ungefanya kama alivyofanya Diamond... don't take it personal... it's all about business! Na ikiwa kweli wewe ni shabiki wake unachotakiwa kufanya ni kuipotezea tu page yake kwa muda badala ya kuhangaika kumwaga mikashifa kila wakati coz' haitakusaidia na mambo ya siasa usije kushangaa siku mzazi wako na yeye anaanza kuishabikia CCM... sasa sijui utaanza kumtusi hivyo hivyo!!!

But all in all, hivi nyie wenzangu ni kwa wanasiasa gani hapa wa kuwafanya mtoke mapovu kweli kweli na kuanza kutukana walio na itikadi tofauti na nyinyi? Nani? Lowassa? Mbowe? Maalim Seif? Ni nani hasa ambae kweli hadi mnaamua kuanza kuwatusi wenzenu kwa kuwaona hawana akili na ndio tatizo? Hivi kweli wewe binafsi ulitarajia mtu kama Dr. Slaa angeisusa CHADEMA? Ni nani kati yako na Slaa anayeujua vizuri upinzani? What about Lipumba? Si mnasema wamenunuliwa? Sasa ikiwa wale ambao walikuwa ndani kabisa wanaweza kusaliti mabadiliko hiv kweli mnawatendea haki watu kama akina Diamond?

Nimeipenda sana comment yako, mimi nadhani hawa wanasiasa wasitufanye tukachukiana, mwisho tutakuja kudhuriana wakati wenyewe wahusika hawana hata habari,
 
Kura now atapigiwa na wanaccm na magufuri...

Yeyote anaeenda kinyume na ukawa si rafik yang, simsapoti
 
kila mtu ana haki ya kuwa chama anachokipenda yeye!' huwezi ukamlazimisha mtu. lakini yeye alichokosea angetakiwa kunadi chama chake sio kuanza kuleta mambo ya ukabila!' na kama kupiga kazi angepga kazi aache kuongea shit.

Kwa hiyo Lowasa kwa vile anatoka kaskazin hawezi kuongoza nchi!', Nchi inafaa kuongozwa tu na wakwere!' au kabila la mama yake au?! kwa hiyo amewadharau na mashabiki zake wanaotoka ukanda wa kaskazini, umaarufu umevimbisha kichwa!' na domo lake kuuuubwa!'

nilikua namsapiti sana huyu domo kubwa!' search humu utaona post zangu!' nimempgia kura sana, tena nikiwa kwa office nilikua nawahimiza sana wafanyakazi wenzangu muda ambao hawana kazi kumpgia kura mana kuna free internet!' sasa sahivi wamebaki kunicheka, mtu niliekua nampgia kampeni kila siku kumbe ni cho.ko
ENZO,
Kwanza mimi ni mtu wa Kusini na wala sina mpango na hayo mavyaama yenu coz' kwangu mimi, CCM na UKAWA wote ni wezi tu! Lakini pamoja na kwamba mimi sio mtu wa Kaskazini, of course kauli ya Diamond kwamba eti viongozi wa chama wote ni kabila moja ni kauli ambayo hata mimi alinikera na nilimchana pale pale kwenye page yake! Lakini kwanini ile kauli baadae aliifuta? Si aligundua kwamba kweli amepotoka? Hivi nyie wenzetu kwani ni malaika kwamba hamkosei?

Najua kila siku mtakuja na sababu... leo mtasema kaleta ukabila, kesho mtasema amewakashifu watu wa upinzani, mtondogoo mtasema amewakashifu wanawake... kila siku mtakuja na jambo coz' yote hayo si kisa cha ugomvi wenu bali ugomvi wenu ni siasa... kwamba, amekipigia kampeni chama cha wengine na sio chama chenu. Nitarudia tena na tena, hayo mtakayo nyinyi hayawezekani na ndio maana nikasema kwa staili hii mtakuja kuwawatukana hata mama zenu waliowazaa indirectly ili mradi tu uonekane ni mpenda mabadiliko! Manake unakuta mtu na akili zake kabisa anasema "yeyote anayeishibakia CCM ni mpumbavu tu asiye na akili....!" Hivi kweli Tanzania hii kuna familia ambayo baba, mama, shangazi, wajomba, akina dada, akina kaka, bibi na mababu, woooooooote ni UKAWA! Hivi zipo familia za hivi? Na wala usidhani kwamba mie sio mfuatiliaji wa siasa... ni mfuatiliaji kweli kweli kuliko wengi wenu! Na wakati fulani nilikuwa naandikaga hadi makala za siasa kwenye weekly newspapers na ndio maana si upinzani wala CCM wanaoweza kunishikia akili... wote ni wale wale tu!! Nitakaa kusubiri 26/10 largely kwenda kutimiza haki yangu but I do expect nothing from any of them but from my own struggles and hustles!

Wakati nyinyi mnaamini watu kama sisi ndo kikwazo cha mabadiliko; mimi naamini watu kama nyinyi... mashabiki wa CCM na Upinzani ndo kikwazo cha mabadiliko ya kweli! Huwezi kuwa na wananchi wanaoongea lugha moja na wanasiasa halafu hiyo nchi ikawa na mabadiliko, NEVER! Hapawezi kuwa na mabadiliko coz' majority ya wanasiasa wanatoa priority kwa mambo yenye maslahi ya kisiasa, kiutawala na yao binafsi kuliko maslahi mapana ya taifa! Hadi wananchi wa kawaida mtakapokuja kugundua kwamba akina Mnyika, Mbowe, Nape, Kinana na wengine kama wao wapo kazini na wanataka kuwatumia nyinyi kufika ofisini, ndipo nchi hii itakapokuja kupata mabadiliko ya kweli!! Ikiwa wewe ni kiongozi wa kisiasa... I will understand you kwa 100% coz' na wewe utakuwa kazini!
 
Wananikera baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva wanaoiga 'beats' za Kinigeria. Nampongeza Diamond Platnumz na wenzake wengine ambao wameendelea kuikumbatia na kuikuza Bongo Fleva ili na Watanzania tujidai tuna muziki wetu. Tumejitahidi kufurukuta katika michezo na sanaa nyingine imekuwa ngumu sana. Bongo Fleva imeonyesha dalili ya kututoa-kazeni buti wana Bongo Fleva!
 
wewe p...mbi kweli ebu jaribu kuangalia mazingira na wakati kabla ujaandika kitu... sasahivi tunaangalia na kutafakari mustakabali wa taifa...wewe unatuletea mada za diamond ...

Diamond ni nani katika kipindi hiki tulichopo... pole sana
 
Back
Top Bottom