Huyu jamaa sio mtu mzuri kabisaaaaaa yani anawanyima haters wake pumzi kila siku ni kuwapa vitu
Walianza na ameingia kwenye siasa wamu unfollow, akawaumbua wiki hiyohiyo akafikisha followers Milioni moja
Wakaja oooooh hutapata tuzo hata moja, watakupigia CCM lakini tokea aanze kampeni mpaka sasa kabeba tuzo SITA (Uganda 1, Nafca 2, na Afrimma 3)
Mpaka sasa kunawatu wanakosa usingizi kila siku kwa kukosa amani kabisa, kwa sababu tu wamejenga chuki na mtu ambae hafaiiiiii kila siku yeye.. Kama vipi torokeni mje team wasafiii, (maana wengine wanajisahaulisha kwa kushabikia siasa, kitu ambacho kitazikwa tar 25 hahahahaha je watafunga account zao baada ya hapo?? maana ni hatariiiii huyu jamaa amekamilisha nyimbo 12 zinazoweza kutoka muda wowote ule kama mnavyojuaga hakoseagi hata kidogo)
Huyu ndio King of Afropop
diamond platnumz
#Afrimma2015 ushindi wa Best male East, Best dance in a video (nana) na tuzo kubwa zaidi ya Artist of the year umemfanya kuwa mwanamuziki aliyechukuwa tuzo nyingi zaidi leo tuzo tatu (3) huku wimbo wa alive alioshirikishwa na kundi la brackets umeshinda inspirational song of the year
Kama hujui hii ni mara ya tano kwa Diamond kupiga hat trick (kubeba tuzo tatu au zaidi kwa siku moja)
-2010 KTMA (3)
-2012 KTMA (3)
-2014 KTMA (7)
-2014 CHANNEL O (3)
-2015 AFRIMMA (3)
Na kwa mwaka huu leo ametimiza tuzo 12
(9 za kimataifa na 3 za Tanzania) Jumla ya tuzo alizonazo sasa ni 42