Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Humu ndani mnakumbuka kumpigia kura chibu d kwenye TUZO ZA KORA??? Unampigia kwa kutuma SMS hata zaidi ya mara moja, ⬇⬇⬇⬇⬇

Tuma neno "KORA 18" kwenda namba +248984000
 
Humu ndani mnakumbuka kumpigia kura chibu d kwenye TUZO ZA KORA??? Unampigia kwa kutuma SMS hata zaidi ya mara moja, ⬇⬇⬇⬇⬇

Tuma neno "KORA 18" kwenda namba +248984000
Tunashukuru mkuu kwa kutukumbusha"
 
#12022016
 

Attachments

  • 1455101978289.jpg
    1455101978289.jpg
    42.1 KB · Views: 35
Mimi naona mbali sana hiyo ijumaa jamani,mazishi kamili ya lupela

Najisikia vibaya sana mnapoingiza upuuzi kwenye wimbo wa Dunia.. Hiyo lupela ndio nini mpaka wimbo wa dunia uizime, wimbo hata haujahit unazimwa vipi?

#MakeMeSing bonge moja la joint, kama naiona Afrika ilivyo himaya ya WCB
 
Najisikia vibaya sana mnapoingiza upuuzi kwenye wimbo wa Dunia.. Hiyo lupela ndio nini mpaka wimbo wa dunia uizime, wimbo hata haujahit unazimwa vipi?

#MakeMeSing bonge moja la joint, kama naiona Afrika ilivyo himaya ya WCB
ahahahah...
tunawapa moyo majirani zetu mkuu..!
 
MakeMeSong itakuwa ya kimataifa,America na West Africa wataipata hii just now we are going to AmericaBaby!
 
Back
Top Bottom