Kijana naona kachoka,anajikaza tu.
Zile mbwembwe zote "dabliucibiii beibeee'
Ushapigwa?Zari kaondoka na chake na life yake yote as you work you pay Child support.
Nyumba kule sahau,km kuna ulichoacha sahau,hapo bongo vyote vyako ,akikuletea wanao badae uwaone labda tena ukiendelea kuwa staa.
Nilikwambia hapa unaviziwa tu na huyo demu siku uko KTK hali mbaya anamalizia
Karibu kutuliza akili jipange,sallam haonekani,babutale kakomaa atakuacha soon,Leo hii we wa kuweka caption za kumlilia maaamaa eh mamaaa(kaolewa na mario mmoja muhuni tu)
Kazana na hali yako
Mzee ulikua juu sana,ila kolabo hasa za wapopo ndio zimekupaisha
Kaigiza kila nyimbo wapopo wanamwangalia tu siku hizi.
Davido anajuta pia kumpa Diamond mbwelele kumpeleka international
ila ka move on na life
Sa hii Tekno.Wizzy.Davido Acha kina P,square huko zamani pale dogo anajifananisha nao,hao jamaa hawana hata meneja mmoja ila temporary wanaajiri pale wana tenda.
Tena kiuangalifu temporary,hao madogo wakienda mtoni ama popote sharti huko andaeni mlinzi,dancers,mziki mzuri mi nikija namalizia.
mfano show ya Chris Brown Kenya,yule alienda kula bata tu,maana aliwapa masharti magumu na jamaa walikubali akalipwa.
Ndo ile katua na private jet kapumzika kaenda kupiga dk 90 akasepa.kamaliza mkataba.
Diamond kuna tour alilazimisha alipiwe ticket family nzima