Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Wabongo life liki wapiga always wanaombea watu kusanda. Yani hapa all i see is Hate. Kaza wewe !!!

Watu ka nyie ndio mnaendea ndugu zenu kwa waganga wasitoboe life zao. Watu ka nyie hamshindwi kabsa kuloga ndugu zenu wa damu wasifanikiwe...yani ni shida sanaa.

Nime loose ties na ndugu wengi sanaa wenye hulka kama yako. Nigg.a Change !!!!!
 
Kijana naona kachoka,anajikaza tu.
Zile mbwembwe zote "dabliucibiii beibeee'
Ushapigwa?Zari kaondoka na chake na life yake yote as you work you pay Child support.
Nyumba kule sahau,km kuna ulichoacha sahau,hapo bongo vyote vyako ,akikuletea wanao badae uwaone labda tena ukiendelea kuwa staa.
Nilikwambia hapa unaviziwa tu na huyo demu siku uko KTK hali mbaya anamalizia

Karibu kutuliza akili jipange,sallam haonekani,babutale kakomaa atakuacha soon,Leo hii we wa kuweka caption za kumlilia maaamaa eh mamaaa(kaolewa na mario mmoja muhuni tu)
Kazana na hali yako
Mzee ulikua juu sana,ila kolabo hasa za wapopo ndio zimekupaisha
Kaigiza kila nyimbo wapopo wanamwangalia tu siku hizi.
Davido anajuta pia kumpa Diamond mbwelele kumpeleka international
ila ka move on na life
Sa hii Tekno.Wizzy.Davido Acha kina P,square huko zamani pale dogo anajifananisha nao,hao jamaa hawana hata meneja mmoja ila temporary wanaajiri pale wana tenda.
Tena kiuangalifu temporary,hao madogo wakienda mtoni ama popote sharti huko andaeni mlinzi,dancers,mziki mzuri mi nikija namalizia.
mfano show ya Chris Brown Kenya,yule alienda kula bata tu,maana aliwapa masharti magumu na jamaa walikubali akalipwa.
Ndo ile katua na private jet kapumzika kaenda kupiga dk 90 akasepa.kamaliza mkataba.
Diamond kuna tour alilazimisha alipiwe ticket family nzima

Zari unamlaumu kwa kosa gani?

ULipashwa kumlaumu Dai kwa kupata mke wa kiwango cha juu na mapenzi halisia, halafu yeye akashindwa kupandisha kiwango chake na kutaka kumlazimsha Zari ashushe kiwango chake aishi maisha ya ki swahili chenye ushamba, na ufuska wa wanaojiita sitaaa wa bongo.

Alitaka Zari the classy lady awe kama kina mabeto, wema, sijui kina nani wale insignificant, idiots and unfocused. Hao ndio saizi ya dai maana naona hata uwezo wake wa kufikiria na ndoto zake ni kuishi maisha aina ya hao vimalaya.

Achana na Zari.

Upumbavu wako ninauona kama mwanamke failure wa kiswahili unataka kumshawizi Dai kwamba likosea kumdate Zari badla ya kumwambia apate lesson you kuheshimu utu wa wanawake wenye heshima, na ajiheshimu n akwamba kaachwa kwa ajili ya ubazazi wake.

Kat ya hao mafuska wake, nani kama Zari? Wewe ungempata Zari ungemwacha? Eti 'NLIMWAMBIA ATAKUACHA), kwa nini hukumwambia aache upumbavu wa kufanay umalaya ambao ndio umemgarimu?

Ninakuona kama unalia na wivu wa kike na kutaka kuhalaisha kumshusha kiwango Dai kwa kuachwa na Zari. Bila shaka wewe ni kama kile ki mabete kichwa zero.
 
huu uzi umeandika huku uko tungi kama kawaida yako,unashangaa Diamond kuachwa na hawara ilhali wewe uliachwa na mke wa ndoa kisa kupombeka
 
Kijana naona kachoka,anajikaza tu.
Zile mbwembwe zote "dabliucibiii beibeee'
Ushapigwa?Zari kaondoka na chake na life yake yote as you work you pay Child support.
Nyumba kule sahau,km kuna ulichoacha sahau,hapo bongo vyote vyako ,akikuletea wanao badae uwaone labda tena ukiendelea kuwa staa.
Nilikwambia hapa unaviziwa tu na huyo demu siku uko KTK hali mbaya anamalizia

Karibu kutuliza akili jipange,sallam haonekani,babutale kakomaa atakuacha soon,Leo hii we wa kuweka caption za kumlilia maaamaa eh mamaaa(kaolewa na mario mmoja muhuni tu)
Kazana na hali yako
Mzee ulikua juu sana,ila kolabo hasa za wapopo ndio zimekupaisha
Kaigiza kila nyimbo wapopo wanamwangalia tu siku hizi.
Davido anajuta pia kumpa Diamond mbwelele kumpeleka international
ila ka move on na life
Sa hii Tekno.Wizzy.Davido Acha kina P,square huko zamani pale dogo anajifananisha nao,hao jamaa hawana hata meneja mmoja ila temporary wanaajiri pale wana tenda.
Tena kiuangalifu temporary,hao madogo wakienda mtoni ama popote sharti huko andaeni mlinzi,dancers,mziki mzuri mi nikija namalizia.
mfano show ya Chris Brown Kenya,yule alienda kula bata tu,maana aliwapa masharti magumu na jamaa walikubali akalipwa.
Ndo ile katua na private jet kapumzika kaenda kupiga dk 90 akasepa.kamaliza mkataba.
Diamond kuna tour alilazimisha alipiwe ticket family nzima
Nafikiri umeandika maneno mengi ambayo hayana muunganiko.
Labda andiko lako lingejibu swali Diamond kanywang'anywa mali zipi na Diamond, au Amepoteza nini baada ya kuachana na Zari.

Je Zari ndio aliekua anamtungia nyimbo? Je Zaidi ameomdoka na computer za nyimbo za Diamond?

Otherwise ubongo wako haustahili kuwepo kwenye majukwaa haya
 
Nachukia sana watu wa aina yako ambao mnakaa kusubiri waliowazidi kushuka au kuanguka
 
Kijana naona kachoka,anajikaza tu.
Zile mbwembwe zote "dabliucibiii beibeee'
Ushapigwa?Zari kaondoka na chake na life yake yote as you work you pay Child support.
Nyumba kule sahau,km kuna ulichoacha sahau,hapo bongo vyote vyako ,akikuletea wanao badae uwaone labda tena ukiendelea kuwa staa.
Nilikwambia hapa unaviziwa tu na huyo demu siku uko KTK hali mbaya anamalizia

Karibu kutuliza akili jipange,sallam haonekani,babutale kakomaa atakuacha soon,Leo hii we wa kuweka caption za kumlilia maaamaa eh mamaaa(kaolewa na mario mmoja muhuni tu)
Kazana na hali yako
Mzee ulikua juu sana,ila kolabo hasa za wapopo ndio zimekupaisha
Kaigiza kila nyimbo wapopo wanamwangalia tu siku hizi.
Davido anajuta pia kumpa Diamond mbwelele kumpeleka international
ila ka move on na life
Sa hii Tekno.Wizzy.Davido Acha kina P,square huko zamani pale dogo anajifananisha nao,hao jamaa hawana hata meneja mmoja ila temporary wanaajiri pale wana tenda.
Tena kiuangalifu temporary,hao madogo wakienda mtoni ama popote sharti huko andaeni mlinzi,dancers,mziki mzuri mi nikija namalizia.
mfano show ya Chris Brown Kenya,yule alienda kula bata tu,maana aliwapa masharti magumu na jamaa walikubali akalipwa.
Ndo ile katua na private jet kapumzika kaenda kupiga dk 90 akasepa.kamaliza mkataba.
Diamond kuna tour alilazimisha alipiwe ticket family nzima
Asee we naomba uamke siku moja unapete kidoleni na umevaa shela. Yaani kwa muandiko huu wewe future yako ni kuolewa tuu hamna namna. Inawezekena saivi unatafunwa ndotoni. Go live your dreams go wild out go get a man for your stupidity
 
Kijana naona kachoka,anajikaza tu.
Zile mbwembwe zote "dabliucibiii beibeee'
Ushapigwa?Zari kaondoka na chake na life yake yote as you work you pay Child support.
Nyumba kule sahau,km kuna ulichoacha sahau,hapo bongo vyote vyako ,akikuletea wanao badae uwaone labda tena ukiendelea kuwa staa.
Nilikwambia hapa unaviziwa tu na huyo demu siku uko KTK hali mbaya anamalizia

Karibu kutuliza akili jipange,sallam haonekani,babutale kakomaa atakuacha soon,Leo hii we wa kuweka caption za kumlilia maaamaa eh mamaaa(kaolewa na mario mmoja muhuni tu)
Kazana na hali yako
Mzee ulikua juu sana,ila kolabo hasa za wapopo ndio zimekupaisha
Kaigiza kila nyimbo wapopo wanamwangalia tu siku hizi.
Davido anajuta pia kumpa Diamond mbwelele kumpeleka international
ila ka move on na life
Sa hii Tekno.Wizzy.Davido Acha kina P,square huko zamani pale dogo anajifananisha nao,hao jamaa hawana hata meneja mmoja ila temporary wanaajiri pale wana tenda.
Tena kiuangalifu temporary,hao madogo wakienda mtoni ama popote sharti huko andaeni mlinzi,dancers,mziki mzuri mi nikija namalizia.
mfano show ya Chris Brown Kenya,yule alienda kula bata tu,maana aliwapa masharti magumu na jamaa walikubali akalipwa.
Ndo ile katua na private jet kapumzika kaenda kupiga dk 90 akasepa.kamaliza mkataba.
Diamond kuna tour alilazimisha alipiwe ticket family nzima
Siwezi kumlaumu dogo, najua tatizo mfumo.
 
Back
Top Bottom