Diamond Platinumz FC

Azam fc, nia njema ilikuwepo iwe UDINI AU UFATHER yote ni sawa.

Lkn usimamizi wa eneo lile ni mbaya sana.

Namuomba BAKHRESSA ikiwezekana awarudishe watu wote walioanza na timu mwanzo ndiyo waliokuwa na malengo.

Mmojawapo anaitwa ' KING'
Wapatikane watu wenye maono wakae pale waifanyie transformation hiyo timu
 
Hebu irudie kuiandika hii ,kama cjaelewa maana yako? Au kuna ujumbe ulitaka tuupate hapo?
 
Football itengenezwe kuanzia chini......sio rahisi kufanya muujiza na kugengeneza team nzuri kwa mwaka mmoja au miwili. Unless usajili wachezaji wengi kutoka nje.
 
Yani mpaka 2020 bado kuna Watu wanaandika ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…