Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili

Huwez sided na udhalim half ukabaki salama

Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi

Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
Ungekuwa wew Diaomond ungeweza kuutosa upandw wa jiwe kwa kipindi kile?
 
Nilikua nakukubali Sana muheshimiwa wa jimbo langu la singida tundu za chooni antipum*** munio kumbe minyaturu inaroho mbaya namna hii nimepata hasira sana juu yako kijana wawatu tumbo lake linakutekenya Sana
 
Kigogo hana jpya amebaki kumponda Diamond
 
Corona ni ishu ya kisayansi na yeye aliekuwa anaongoza haya maombi Fyekelea mbali
Kwahiyo Mungu kwenye ishu ya sayansi huwa hahusiki ila kwenye mambo yenu ya siasa ndio ana husika?

Kama ni hivyo basi kwanini hakuhusika ili Lisu awe rais?
 
Chadema wao sijui Democracy na Liberty hua wanaitafsiri vipi.
Halafu wanasema wao ni chama cha Democracy[emoji848]
wapi kwenye hiyo petition chadema wame declare kwamba ni wao wanahusika nayo kwanini sisi wabongo hatupendi kutafuta taarifa sahihi

Nithibitishie kwamba ni chadema walioandaa hiyo petition
 
Niliwahi kusema na narudia tena kusema leo kuwa, "CHADEMA" ni kikundi cha "wahuni".
Sasa hivi hawa wahuni wameacha kufanya siasa zenye tija kwa Watanzania, wanafanya siasa za kuwachafua watu.
Diamond Platinumz akiwa kama Mtanzania huru ana haki na uhuru wa kuwa mwanachama wa chama chochote kile cha siasa.
Ni haki yake kikatiba kuwa Mwana-ccm na ni haki yake kui-support ccm apendavyo.
Sisi tunapaswa kumpima Diamond Platinumz kwa muziki wake na siyo vinginevyo.
I'll be so surprised if BET organizers will comply with these cyber bullies and ditch Diamond Platinumz.
These so called themselves, "Movement #Change Tanzania" are nothing but cyber bullies and political hooligans.
I believe BET is not a political organization. BET will discerningly and wisely rule out this matter and send a strong message to those cyber bullies who want to tarnish the Image of a talented African artist for their own political agenda.
#IstandwithDiamondPlatinumz
 
Astaghfirurah
Huu si sawa na uchawi tuu

Kwakua pioneers wa hii movement ni wanachadema na wakosoaji, ni heri chama kitoke hadharani na kukana mara moja kuhusika.
acha kuhusisha chadema, hii movement haina uchama.

mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa, nimechangia kwenye patition ya kuwataka BET wam-disqualify diamond kwenye tuzo.
 
𝙷𝚒𝚟𝚒 𝚞𝚗𝚊𝚒𝚔𝚒𝚛𝚒 𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚌𝚑𝚘𝚔𝚒𝚘𝚗𝚊 𝚠𝚎𝚠𝚎 𝚗𝚎𝚐𝚊𝚝𝚒𝚟𝚎 𝚗𝚊 𝚠𝚎𝚗𝚣𝚒𝚘 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚔𝚒𝚘𝚗𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚘?
Yaani mtu akitekwa mfano roma alivyotekwa wewe unaona hicho kitu ni positive?
 
Kwa hili chadema wameonyesha hawajui wanachokisimamia na kukipigania ni nini misingi yake (Democracy)

Kwenye principles za kimungu, Mungu anaweza kumuacha mtu mbaya wa eneo fulani aishi umri mrefu au azidi kufanya mambo yake mabaya kwakua kupitia ubaya huo kuna watu wengi wanafaidika. Either kwa kuajiriwa kwenye kampuni zake, anatoa huduma za kijamii kwenye eneo lake nk nk. Mungu atamuacha mtu huyo maana kupitia ubaya wake huo bado kuna watu wanaendesa maisha ambapo kama akimtoa wale watu watakosa msaada au ajira za kuendesha maisha yao.....Accept less evil for Greater good

Diamond ka-Accept less evil for greaater good, kuna muda sio kila kitu itabidi uongee lazima ubaki kimya kwa ajili ya mazuri mengi...Naamini mondi hajali kuhusu CCM wala hapendi kama kuna ubaya unafanyika. But yeye ni mfanyabiashara anahitaji faida kwa ajili ya mambo yake yaende wakumbuke Diamond anafamilia anabiashara na kaajili watu wengi anawalipa mishahara. Wengine kawaajili indirectly.

Sasa hawezi kuacha kufanya biashara ili alipe mishahara na kuendesha familia ajili ya hisia za kikundi fulani..Kumbuka nimesema kua wakati inabidi uwe Neutral usionyeshe rangi yako inabidi usome alama za nyakati.

Sasa hao wanaopinga Diamond kufanya biashara na ccm kisa wanauovu wanasahau hiyo kanuni ya Less evil,Greater Good!
Mwenzao kuna familia nyingi zinamtegemea yeye.
Unakuta mtu anayekuita boss ni house girl wako tu huna mawazo ya kulipa mishahara watu hafu unachukia mondi kufanya biashara na CCM wakati mwenzako kuna matumbo kibao yanamtegemea ni Upuuzi Pluss pluss[emoji34]
Kwani ile petition ni ya CHADEMA?
 
Lisu ni mbumbumbu!

Kutoka kupamabana na ccm hadi kupambana na diamond,

Bora diamond juhudi zake zimewezesha kuajiri vijana wenzie walau hata 30. Yeye Lisu kafanya kipi?
Post zako nyingi umekua ukilalamika kuhusu chuki za watu dhidi ya diamond lakini kumbe umeweka matabaka kua chuki dhidi ya watu fulani ni halali, ila chuki za namna hiyo hiyo hazipaswi kuoneshwa kwa kundi fulani.
 
mchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe

hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Aombe radhi ya nini, acha akose hizo tuzo hakuna kunyenyekea hao Wanasiasa, wanatumia tu mgongo wa Diamond kujionesha kwamba wapo.

Wala Mondi asife moyo maana fitina zitakuwepo tu sikuzote.

Wanavyochachamaa na Diamond utasema yupo Msanii yeyote waliyewahi hata kumsupport akafika mbali wakajivunia......kazi rahisi kwao ni kusambaza chuki tu lakini kujenga hakuna.
 
Tunavyoshadadia wasanii wasiwe upande wa CCM utadhani kweli tunasapoti kazi zao asilimia 100. Wabongo sie ni wanafiki wa kiwango cha lami. Tunavyotaka wawe against chama tawala waziwazi kana kwamba sie tunaweza kufanya hivyo. Wengi ni keyboard warriors.

Huyo Kigogo mamaye kama mwanaume wa kweli si ajipambanue waziwazi. Mwanaharakati wa kweli hafichi identity. Shenzi kabisa!

CCM ni chama cha kijambazi hawa wasanii wakati mwingine inawabidi kushiriki. Hamjui behind the scene wanapitia vikwazo gani. CCM are evils!
 
Kila mtu anapambana..

Kutumia u star wako ku-side upande unaolalamikiwa sana kutesa watu na kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
Unalalamikiwa na nani??

Wewe una ushahidi?

Peleka mahakamani sio kuanza uchawi wa namna hii

Ni ujinga wa kiwango cha hali ya juu sana
 
Back
Top Bottom