Ungekuwa wew Diaomond ungeweza kuutosa upandw wa jiwe kwa kipindi kile?Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili
Huwez sided na udhalim half ukabaki salama
Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi
Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
Anatakiwa kibadilika.. wananchi hawawezi kuwa na chuki na wewe bure bureNajua hata tolewa ila hili litamchafua Sana mbeleni.
Hii iwe alert call kwake,
Hapati kisa wana twitter?Kuna wasaga kunguni wanakesha kule twitter.. aisee hapati
Sio tangazo,Alafu sijaona hilo tangazo ktk page ya insta ya bet awards...
Kwahiyo Mungu kwenye ishu ya sayansi huwa hahusiki ila kwenye mambo yenu ya siasa ndio ana husika?Corona ni ishu ya kisayansi na yeye aliekuwa anaongoza haya maombi Fyekelea mbali
wapi kwenye hiyo petition chadema wame declare kwamba ni wao wanahusika nayo kwanini sisi wabongo hatupendi kutafuta taarifa sahihiChadema wao sijui Democracy na Liberty hua wanaitafsiri vipi.
Halafu wanasema wao ni chama cha Democracy[emoji848]
Wanachi wapi?Anatakiwa kibadilika.. wananchi hawawezi kuwa na chuki na wewe bure bure
acha kuhusisha chadema, hii movement haina uchama.Astaghfirurah
Huu si sawa na uchawi tuu
Kwakua pioneers wa hii movement ni wanachadema na wakosoaji, ni heri chama kitoke hadharani na kukana mara moja kuhusika.
Yaani mtu akitekwa mfano roma alivyotekwa wewe unaona hicho kitu ni positive?π·πππ ππππππππ ππππ πππππππππππ π ππ π ππππππππ ππ π πππ£ππ π ππππππππ ππππ?
Ebu tuambie amekudharau kivip?Ndivyo alivyo
Yeye na yule mama yake
Dharau zimewazidi
Aikose kwakweli,narudia tena aikosee
Kwani ile petition ni ya CHADEMA?Kwa hili chadema wameonyesha hawajui wanachokisimamia na kukipigania ni nini misingi yake (Democracy)
Kwenye principles za kimungu, Mungu anaweza kumuacha mtu mbaya wa eneo fulani aishi umri mrefu au azidi kufanya mambo yake mabaya kwakua kupitia ubaya huo kuna watu wengi wanafaidika. Either kwa kuajiriwa kwenye kampuni zake, anatoa huduma za kijamii kwenye eneo lake nk nk. Mungu atamuacha mtu huyo maana kupitia ubaya wake huo bado kuna watu wanaendesa maisha ambapo kama akimtoa wale watu watakosa msaada au ajira za kuendesha maisha yao.....Accept less evil for Greater good
Diamond ka-Accept less evil for greaater good, kuna muda sio kila kitu itabidi uongee lazima ubaki kimya kwa ajili ya mazuri mengi...Naamini mondi hajali kuhusu CCM wala hapendi kama kuna ubaya unafanyika. But yeye ni mfanyabiashara anahitaji faida kwa ajili ya mambo yake yaende wakumbuke Diamond anafamilia anabiashara na kaajili watu wengi anawalipa mishahara. Wengine kawaajili indirectly.
Sasa hawezi kuacha kufanya biashara ili alipe mishahara na kuendesha familia ajili ya hisia za kikundi fulani..Kumbuka nimesema kua wakati inabidi uwe Neutral usionyeshe rangi yako inabidi usome alama za nyakati.
Sasa hao wanaopinga Diamond kufanya biashara na ccm kisa wanauovu wanasahau hiyo kanuni ya Less evil,Greater Good!
Mwenzao kuna familia nyingi zinamtegemea yeye.
Unakuta mtu anayekuita boss ni house girl wako tu huna mawazo ya kulipa mishahara watu hafu unachukia mondi kufanya biashara na CCM wakati mwenzako kuna matumbo kibao yanamtegemea ni Upuuzi Pluss pluss[emoji34]
Post zako nyingi umekua ukilalamika kuhusu chuki za watu dhidi ya diamond lakini kumbe umeweka matabaka kua chuki dhidi ya watu fulani ni halali, ila chuki za namna hiyo hiyo hazipaswi kuoneshwa kwa kundi fulani.Lisu ni mbumbumbu!
Kutoka kupamabana na ccm hadi kupambana na diamond,
Bora diamond juhudi zake zimewezesha kuajiri vijana wenzie walau hata 30. Yeye Lisu kafanya kipi?
Aombe radhi ya nini, acha akose hizo tuzo hakuna kunyenyekea hao Wanasiasa, wanatumia tu mgongo wa Diamond kujionesha kwamba wapo.mchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe
hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Unalalamikiwa na nani??Kila mtu anapambana..
Kutumia u star wako ku-side upande unaolalamikiwa sana kutesa watu na kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
NomaYaani mtu akitekwa mfano roma alivyotekwa wewe unaona hicho kitu ni positive?