Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Mambo kama haya ni ya kawaida sana ukishakuwa kwenye spot light hivyo Mondi wala asishtuke.

Michael Jakson wala hakuimbia siasa lakini walimpanda kichwani kila kukicha.

Chademas are just tripping.



So There's Really No Time
To Be Trippin' On Me

You Got School Teachers
Who Don't Wanna Teach
You Got Grown People
Who Can't Write Or Read
You Got Strange Diseases
Ah But There's No Cure
You Got Many Doctors
That Aren't So Sure
So Tell Me
Stop Trippin'
We've Got More Problems
Than We'll Ever Need
You Got Gang Violence
And Bloodshed On The Street

"Kuna Walimu Wa Shule
Ambao Hawataki Kufundisha

Kuna Watu Wasiojua Kusoma
wala kuandika

Kuna Magonjwa Ya Ajabu
yasiyo na tiba

Kuna Madaktari Wengi
wasiojua kutibu

Kuna umwagaji Damu Mtaani...
 
Kupitia hili wasanii wengi watapata cha kujifunza ,maana kwa ujumla wao tukianza na mondi,kiba, konde walijichanganya sana kukomaa kwenye siasa sijui ndio kujikomba ili wasifuatuliwe na serikali.

Hapa ndipo nilipoamin kuwa hawa wasanii wana biashara nyingine nje ya mziki ,maana sio kwa kujikomba vile kwa magufuri ,mtu ukishakuwa na mashabik wa kutosha epuka siasa kabisa maana lazima utawagawa tu mashabik zako.

Mm nilikuwaga namwelewa sana Alikiba ila tokea mwaka Jana 2020 nilimu unfollow had insta .

Wasanii kaeni mbali na siasa maana siasa imebeba maumivu kwa baadhi ya watu walio wengi wachache wakineemeka na siasa ,haiwezekan msanii unayejielewa et unaandika mstari kama huu , asiyeipenda ccm abane choo
Ni Nani aliyesema ivyo kuwa abane choo jamani
 
Kuna mambo mengi ya msingi sana kuliko hilo.

Kuna watu wamekosa ajira its about more than 6 yrs now.

Kuna wazee wamestaafu from 3 up to 6 years bila mafao.

Kuna watumishi hawajapandishwa vyeo ni almost 6 years.

Wanachi wanahitaji BIMA za afya.

Kuna vijiji havina maji tangu uhuru.

Shule nyingi hazina vitendea kazi na watumishi.

Hospitali na zahanati hazina dawa wala watumishi.

Alafu wanaharakati wanamshusha Diamond kisa siasa.

Siasa sio uadui.
Kuna pia hili la katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

Haya yote wameona hayana maana ila hili la Mondi ndio lina faida kwao.

Hawa jamaa ni masikini wa akili na kipato pia.

Ila utaona ikifika oktoba 2025 akili ndio zinawarudi.

Ngoja ccm iendelee kuwagonga tu
 
Likiisha hili nadhan wasanii wengi watakua na akili

Huwez sided na udhalim half ukabaki salama

Nigeria wasanii wakubwa waliamua kuungana na wananchi na kupinga udhalim wa polis lkn tz wasanii wanaungana na wadhalim dhid ya wananchi

Kinachoendelea sasa nadhan wasnii wasipojifunza watakuwa na akili ngumu sn
Screenshot_20210606-175357.png
sijui Kama dogo atachomoa.
 
Kutoka kwenye harakati za siasa adi mziki[emoji28][emoji28][emoji28]wame kosa habari serikarini wame hamia kwenye mziki ..
 
Huu ni uhuni na zaidi ya roho mbaya yanafanywa haya na watanzania wenzako kisa yeye ni kushabikia chama tawala yeye nae ni binadamu kama wao. How iwe vita kwenu Chadema Genge lenu mnachokifanya ni ushamba wa hali ya juu sana but hata akikokosa tuzo bado hapungukiwi na chochote kwani mara ngapi anakosa na dio yeyetu.

Chadema ni chama cha hovyo haijawahi tokea mkifanikiwa anguko lenu nanyi pia litakuwa kubwa huko mbeleni manayake mjue diamond pia ana fan base kubwa sana. Yaani mnapambana kumshusha mtanzania mwenzenu kwa tofauti za kisiasa tu.

Hii nchi ina watu wa ajabu sana.
Kwani kuna viongozi WA chadema ndio wanaomkataa asipate?
Kama ni wanachama hata WA ccm wako wengi hanampinga kutokumuunga mtu mkono hata nyinyi mnaunga mkono mauaji nautekaji kisa ni wapinzai.

Kiufupi hili halijachagua wananchadema tu kila mtu yumo humo wakiwemo wanachama WA ccm.
 
Kuna mambo mengi ya msingi sana kuliko hilo.

Kuna watu wamekosa ajira its about more than 6 yrs now.

Kuna wazee wamestaafu from 3 up to 6 years bila mafao.

Kuna watumishi hawajapandishwa vyeo ni almost 6 years.

Wanachi wanahitaji BIMA za afya.

Kuna vijiji havina maji tangu uhuru.

Shule nyingi hazina vitendea kazi na watumishi.

Hospitali na zahanati hazina dawa wala watumishi.

Alafu wanaharakati wanamshusha Diamond kisa siasa.

Siasa sio uadui.
Anatumia ushawishi wake vibaya, ni vizuri afunzwe adabu Ili na wengine wajifunze kuwa udhalimu haulipi.
 
Kuna mambo mengi ya msingi sana kuliko hilo.

Kuna watu wamekosa ajira its about more than 6 yrs now.

Kuna wazee wamestaafu from 3 up to 6 years bila mafao.

Kuna watumishi hawajapandishwa vyeo ni almost 6 years.

Wanachi wanahitaji BIMA za afya.

Kuna vijiji havina maji tangu uhuru.

Shule nyingi hazina vitendea kazi na watumishi.

Hospitali na zahanati hazina dawa wala watumishi.

Alafu wanaharakati wanamshusha Diamond kisa siasa.

Siasa sio uadui.
Point kabisa
 
Back
Top Bottom