Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Hivi ikifika 15,000 BET wanaweza kuchukua hatua za kumchomoa? Maana mpaka sasa ipo 13,200Hivi ile petition umeiona?mpaka sasa wamesaini watu elf 12?staki kuamini hao ni chadema tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ikifika 15,000 BET wanaweza kuchukua hatua za kumchomoa? Maana mpaka sasa ipo 13,200Hivi ile petition umeiona?mpaka sasa wamesaini watu elf 12?staki kuamini hao ni chadema tu
Ila bora akose tuzo kwa kutokupigiwa kura..Kwanza kuupanda huo mlima wa wiz kid na burna boy ni mtihani halafu inakuja petition ,asahau kabisa hiyo tuzo
Yes wanamchomoaHivi ikifika 15,000 BET wanaweza kuchukua hatua za kumchomoa? Maana mpaka sasa ipo 13,200
🤣🤣🤣🤣🤣🤣,Kuanzia leo ninajitoa uanachama wa CHADEMA
Basi nahisi kesho wanamchomoa.. maana ni kama wamefikia 15,000 bado kama 1500 tuYes wanamchomoa
Kwanza ikifika 5000 inaweza kuwa kwenye local news ndo maana ndo ishu inayotrend Sasa,zaidi ya 5000 inapeleka zaidi attention kwenye vyombo vya kimataifa na lazima itazungumzwa tuHivi ikifika 15,000 BET wanaweza kuchukua hatua za kumchomoa? Maana mpaka sasa ipo 13,200
Kwanza lazima iwashitue hata hao BET wenyewe.. watu 15,000 ku sign petition ndani ya masaa 24 sio kitu kidogoKwanza ikifika 5000 inaweza kuwa kwenye local news ndo maana ndo ishu inayotrend Sasa,zaidi ya 5000 inapeleka zaidi attention kwenye vyombo vya kimataifa na lazima itazungumzwa tu
Watu wameamua kumsagia kunguni msela.Kwanza lazima iwashitue hata hao BET wenyewe.. watu 15,000 ku sign petition ndani ya masaa 24 sio kitu kidogo
Tena BET huwa hawapendagi hizo mambo za oppression.. wata m shut down mapema sanaMimi sijali kama atapata au la ila kwa hiyo petition ilivyoandikwa sidhani kama hao wamarekani watamwacha kuendelea kuwa nominee wa kugombea hiyo tuzo.
Wabongo sio watu aisee.. hahahahaWatu wameamua kumsagia kunguni msela.
😂😂😂😂
Yani wana umasikini wa fikra wa kiwango kikubwa mnoYani bora uwe na akili za kuku kuliko hawa jamaa zetu
Hata mi nimeanza kuamini maana moto wake unazidi kuwakaHii tuzo mondi haipati.
Ubao unasoma ngapi huko?Hata mi nimeanza kuamini maana moto wake unazidi kuwaka
Kwa kosa la kuongeza urafiki na doctorAombe radhi kwa kosa gani?
Ndio,yani ukifatilia utaona zinaongezeka kwa kasi,watu wamedhamiria kumchomoaBasi nahisi kesho wanamchomoa.. maana ni kama wamefikia 15,000 bado kama 1500 tu
Duh.. aisee basi hapa kaangukia puaNdio,yani ukifatilia utaona zinaongezeka kwa kasi,watu wamedhamiria kumchomoa