Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

My Prime suspects wa hii content...

1. Forbes
Like serious unawaambia FORBES wameandaa stupid content halafu wakulazie damu 🤣. He messed up with their brand so do they i guess.

2. Lissu/Chadema
Hili halihitaji maelezo maana wengi mitizamo yao imeegemea hapa.

Jamaa ajifunze kuuma na kupuliza, technically known as diplomacy
Na ndo anachokosa huyu mtandale,
Sijajua shida ni PR au nini
 
Mnajidhalilisha nyinyi tu kushindana na vitoto vidogo,mwisho wa siku mnabaki uchi tu.

Siasa ishawashinda huko mpo mpo tu Kigogo/Chadema wakiongozwa na makamu mwenyekiti anayewawakilisha.

Vimetukanwa havina hamu
Hakuna anae jidhalilisha tunaweka rekodi sawa .
 
Mchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe

Hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii
Aseeee hata mm skuzan issue itafika huku..never underestimate your enemy..GADAF ALISEMA KULE BENGHAZI WALE N MENDE TU ...the rest is history
 
Watu ni wanafiki sana yani diamond kasaidia watu wengi sana

Diamond kajenga miskiti.

Diamond kanunulia vijana gari, bodaboda.

Diamond katoa wasanii kibao.

Diamond kafungua tv, radio kaajiri vijana.

Unafiki wa hawa watu kipindi diamond nyimbo zake zimesusiwa na media za bongo kuna mpumbavu yoyote aliyewahi kuja kumsemea.

Wabongo tuna kaunafi flani.
Hivi unajua msingi wa haya yote Ni Nini ?

Hatusagii sumu Huyo Jamaa sababu ga kusaidia watu unanipata mzee.

Tunamsagia kunguni kwa kuamua "kukaa kimya" sawa mzee

Tumeelewana hapo
 
Hivi kwannini watu wanapenda kuwapangia wenzao maisha???
Kila mtu anafanya vitu kwa maslahi yake binafsi, kwahiyo mtu asifanye show ya CCM akalipwa maisha yake yakaenda kisa anawaogopa Chadema... Hakii kuna watu wana akili za ajabu sijapata kuona aisee

Kama mnamnyima tuzo mnyimeni ila hii sababu ya kisiasa ni sababu ya kijinga kupata kutokea!!!
Sawa sisi tumeamua hapati tuzo

Case closed[emoji1][emoji205]
 
Ukisikia uchawi ndio huu. Sijawahi kuwa fan wa huyu dogo ila this isn't fair aisee. Dogo anapambana sana sana na anahitaji support sio huu uchawi walah!!
Ajifunze kuwa na wananchi,tatizo amekuwa na nyodo sana huyu jamaa,,ajifunze kwa Davido...kaa vipi bora akae kimya...
 
Hata mimi ninasema sadala asipate tuzo hii, ameshiriki kikamilifu kutufikisha hapa, kama wasanii kipind mwendazake anasigina katiba wangekua na misimamo kama Roma na Nay bas hata huyu shujaa labda angepunguza kidogo maumiv sasa,yy alikua biz kujibrand kupitia maovu acha wamchore bhana
 
Ukisikia uchawi ndio huu. Sijawahi kuwa fan wa huyu dogo ila this isn't fair aisee. Dogo anapambana sana sana na anahitaji support sio huu uchawi walah!!
Kama wana ccm ni wengi kiasi hicho wy ashindwe?
Weka Kando alivokua anamkatikia magufuli alidhani Sisi hatutageuka wachawi mwisho wa siku?
 
Yaani Chadema mmetoka kupambana na serikali mpaka mnapambana na Diamond..Shame on you!!!
Yaani huyu atatukoma sana na hii ni salaam tu je unajua ule wimbo baba lao sasa kakutana na visiki
 
Sipendi mtu aharibikiwe, Lakini mwaka Jana nililisema sana jinsi wasanii wa Tanzania wanavyotumika vibaya kisiasa iwe A au B. Panda jukwaani nadi Sera za unayemshabikia lakini kugeuka mwanasiasa na kukashifu upande mwingine ilikuwa lazima iwagharimu.
Bado yule Zunchu Mawe[emoji23][emoji23]
 
Kuna mambo mengi ya msingi sana kuliko hilo.

Kuna watu wamekosa ajira its about more than 6 yrs now.

Kuna wazee wamestaafu from 3 up to 6 years bila mafao.

Kuna watumishi hawajapandishwa vyeo ni almost 6 years.

Wanachi wanahitaji BIMA za afya.

Kuna vijiji havina maji tangu uhuru.

Shule nyingi hazina vitendea kazi na watumishi.

Hospitali na zahanati hazina dawa wala watumishi.

Alafu wanaharakati wanamshusha Diamond kisa siasa.

Siasa sio uadui.
Yeyey kufanya siasa za uadui majukwanii sawa

Ila raia wakirespomd imekuwa nongwa

Achane unazi

Mwambieni sadala akiamua kuwa mwanasiasa aachane na mziki otherwise anawauzi walaji wa mziki wake
 
Binafsi wanapoteza credibility katika siasa zao, haiwezekani makamu Mwenyekiti wa Chama aliaminiwa na Chama chake kugombea urais unahangaika na mwanamziki sababu tu alikuwa upande flani kwenye kampeni,Dogo ana wafuasi wengi sana na mashabiki wengi sana kumharibia dogo mashabiki wake hawafurahii pia,so Chadema ni genge la wahuni !
CCM genge la wachawi[emoji1][emoji1787]
 
Back
Top Bottom