Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe haujawahi kuwa shabiki Wala fan wa lissuNilikua nakukubali Sana muheshimiwa wa jimbo langu la singida tundu za chooni antipum*** munio kumbe minyaturu inaroho mbaya namna hii nimepata hasira sana juu yako kijana wawatu tumbo lake linakutekenya Sana
Kwa hiyo Lisu sasa hivi amejikita kupambana na diamond badala ya ccm?My Prime suspects wa hii content...
1. Forbes
Like serious unawaambia FORBES wameandaa stupid content halafu wakulazie damu [emoji1787]. He messed up with their brand so do they i guess.
2. Lissu/Chadema
Hili halihitaji maelezo maana wengi mitizamo yao imeegemea hapa.
Jamaa ajifunze kuuma na kupuliza, technically known as diplomacy
Tumia usitumie makalio unaponi quote.Hao wanaijeria ushawahi waona wakipigania boko haramu ikomeshwe?kuna mauaji mabaya zaidi kuliko ya boko haramu huko? haya saiv wamefungiwa twitter je wameanzisha kampeni gani.
Kumbuka davido baba yake ni mfuasi mkubwa wa upinzani na ba mkubwa wake ni mbunge wa upinzani na pesa ipo tangu anazaliwa hivyo ana jeuri kuliko sadala aliyekulia kwenye umaskin
Tumia usitumie makalio unaponi quote.
Rudi kusoma nimeandika Nini na wewe umeandika ushuzi gani
Yani unataka wote wawe chadema?Na ndo anachokosa huyu mtandale,
Sijajua shida ni PR au nini
😂 😂 😂 😂Mimi sikuwa shabiki wake ila alipomkana yule Mzee baba yake,huku anatoa zawadi za magari kwa watu hata wasio ndugu zake,nilimchukia haswaa.Tunasaini wapi petition nami nisaini?
Yaah nimesign petition..Diamond anapaswa kubadilika.. anatakiwa kujua yeye ni kioo cha jamiiMkuu we umevote lakini?🤣🤣🤣🤣
Hapa ndio mnapokwama wachimba chumvi kudhani kila mtu kuelezea hisia zake ana chuki.People hate what they can't conquer-Nas
Kukaa kimya? Yani ulitaka aingie kwenye marumbano na selikali kisa siasa zenu uchwara?Hivi unajua msingi wa haya yote Ni Nini ?
Hatusagii sumu Huyo Jamaa sababu ga kusaidia watu unanipata mzee.
Tunamsagia kunguni kwa kuamua "kukaa kimya" sawa mzee
Tumeelewana hapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mondi alishapambana mapambano mkubwa zaidi ya haya! Kina Ruge wote hao walipambana nae wakashindwa sembuse hii harakati mbuzi ya kina kigogo?Watu online ndio waliomuinua na ndio watamshusha
Yeye si anapandisha mabega.
Kuwa na wanachi kiaje?Ajifunze kuwa na wananchi,tatizo amekuwa na nyodo sana huyu jamaa,,ajifunze kwa Davido...kaa vipi bora akae kimya...
Maovu kma yapi?Hata mimi ninasema sadala asipate tuzo hii, ameshiriki kikamilifu kutufikisha hapa, kama wasanii kipind mwendazake anasigina katiba wangekua na misimamo kama Roma na Nay bas hata huyu shujaa labda angepunguza kidogo maumiv sasa,yy alikua biz kujibrand kupitia maovu acha wamchore bhana
Ngemkatia Lisu ingekuwa safi?Kama wana ccm ni wengi kiasi hicho wy ashindwe?
Weka Kando alivokua anamkatikia magufuli alidhani Sisi hatutageuka wachawi mwisho wa siku?
Aisee, mbona ngoma inapnda kwa haraka hivi asee.
Mtafeli kama mnavyofeli kwenye mengi!Yaani huyu atatukoma sana na hii ni salaam tu je unajua ule wimbo baba lao sasa kakutana na visiki
Ni kama utani lakn soon 15kAisee, mbona ngoma inapnda kwa haraka hivi asee.
Watu wanasaga kunguni sio poa.
Tuwe na tume huru ya Uchaguzi halafu ndio uje uandika viazi vyako hapa na katiba mpya iwepo.Mtafeli kama mnavyofeli kwenye mengi!
Yani diamond awakome chadema?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Keyboard warrior.Hapa ndio mnapokwama wachimba chumvi kudhani kila mtu kuelezea hisia zake ana chuki.