Wazee wa propaganda mshageuza hii mada kwa chadema! Why chadema na sio act?Chadema wao sijui Democracy na Liberty hua wanaitafsiri vipi.
Halafu wanasema wao ni chama cha Democracy[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa propaganda mshageuza hii mada kwa chadema! Why chadema na sio act?Chadema wao sijui Democracy na Liberty hua wanaitafsiri vipi.
Halafu wanasema wao ni chama cha Democracy[emoji848]
Nyie ni wapumbavu!Tuwe na tume huru ya Uchaguzi halafu ndio uje uandika viazi vyako hapa na katiba mpya iwepo.
Time huru imekuwa ni chaka la kujifichia tu, ila ukweli ni kwamba CDM haitawahi ongoza hii nchi na hata mmiliki wa hicho chama anajua.Tuwe na tume huru ya Uchaguzi halafu ndio uje uandika viazi vyako hapa na katiba mpya iwepo.
Lakini ni kweli kwamba zikifika 15 inaweza kumuathiri kwenye nomination?Ni kama utani lakn soon 15k
Chama kina polisi na kila kitu lakini mkisikia nguvu ya umma presha. Domo anaonyeshwa the reality ya nguvu ya umma na awe na adabu na jamii inayomzunguka.Nyie ni wapumbavu!
Sasa tume huru itapatikana kwa kuelekeza nguvu zenu kupambana na diamond kama hivi kweli?
[emoji23] [emoji23] Yani chama kizima hata mikutano anayofanya mwenyekiti wenu huko mikoani hamna habari nayo eti mnapambana na diamond alafu unaota tume huru?
Ikiwa nyinyi mliogopa na hamkuwa tayari kujitokeza hata pale ambapo viongozi wenu waliwataka, diamond ni nani hata ajitokeze ikiwa alikuwa na vitu vingi vya kupoteza? Waliojitokeza kisha wakashikwa na serikali,mmewaenzi vipi?Wazee wa propaganda mshageuza hii mada kwa chadema! Why chadema na sio act?
Punguza hasira utakabwa na majini usiku etiYani unataka wote wawe chadema?
Wanajitekenya tu,afu dogo mwenyewe wala hana muda nao kabisa[emoji23].Lakini ni kweli kwamba zikifika 15 inaweza kumuathiri kwenye nomination?
Nguvu ya umma ya watu 15K sio? [emoji23][emoji23]Chama kina polisi na kila kitu lakini mkisikia nguvu ya umma presha. Domo anaonyeshwa the reality ya nguvu ya umma na awe na adabu na jamii inayomzunguka.
Tundu lisu na kigogo ndio wameikolezea hii mada, tundu lisu hawezi tenganishea na chadema sababu sababu alizotoa ni za kisiasaWazee wa propaganda mshageuza hii mada kwa chadema! Why chadema na sio act?
Watu wako serious,View attachment 1810692duuh bado 811.. kweli watu wapo serious
Aliyeandaa ni Maria SarungiMy Prime suspects wa hii content...
1. Forbes
Like serious unawaambia FORBES wameandaa stupid content halafu wakulazie damu [emoji1787]. He messed up with their brand so do they i guess.
2. Lissu/Chadema
Hili halihitaji maelezo maana wengi mitizamo yao imeegemea hapa.
Jamaa ajifunze kuuma na kupuliza, technically known as diplomacy
Wanatosha sana haoNguvu ya umma ya watu 15K sio? [emoji23][emoji23]
Sina hakika lakini inaweza kuathiri!Lakini ni kweli kwamba zikifika 15 inaweza kumuathiri kwenye nomination?
Ni wapi asee nikamtoeHivi ikifika 15,000 BET wanaweza kuchukua hatua za kumchomoa? Maana mpaka sasa ipo 13,200
Alijitoa katibu sembuse wewe guluguju usiefahamika? Who cares?Kuanzia leo ninajitoa uanachama wa CHADEMA
Huwezi kumfanya chochote mond!Chama kina polisi na kila kitu lakini mkisikia nguvu ya umma presha. Domo anaonyeshwa the reality ya nguvu ya umma na awe na adabu na jamii inayomzunguka.