Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond namkubili ila sizani anawezakata tama kiivyo mungu katumbakupambana ivyo
 
Huwezi kutaka support upewe wewe tu......wakati wakina Ben Saanane na Azory Gwanda wanatekwa.....unashindwa hata kutoka kuwapa pole wazazi wake
Hayo sio majukumu yake na sio lazima..Yeye mwache aburudishe,,Mwambieni Lissu nae atoe ngoma sasa maana mnalazimisha MTU afanye majukumu ambae sio yake
 
Kuna wengine hawampendi mondi kwa sababu nyingine tofauti na mambo ya siasa ila na wao wamedandia hoja.

Hao wengine wanafaidika kumponda mondi kwa manufaa ya wasanii wao ambao nao walishiriki vilivyo kwenye kampeni za magu na kulamba makofia.
 
Ooh, kuna ka "clip" ya hiyo kitu chief?
 
Hv yule mwenzie nae si alishiriki kampeni. Nae wangemfanyia hvhv?
 
Wacha kila mtu atumie uhuru wake kwa wakati wake. Diamond yupo huru ku support chama, mtu au mlengo anaoona unafaa. Na kwenye muziki, hali kadhalika. Tupo huru.

Huwezi kuwa mzuri kwa watu wote na muda wote. Hata ukifanya mema, wapo watakaochukia. Na ukifanya mabaya pia, wapo watakaokupenda kwa mabaya hayo hayo.

Naombeni maelekezo ya namna ya ku vote tu!
 
Haya mambo sio rahisi kama mnavyofikiria,wangekua wa maana sana kama huu muda wanappoteza wange fight against ndugai na Covid 19 yake!!
 
Kama wana influence kubwa, wamsaidie msanii wao ROMA kushinda tuzo, [emoji23]
 
Ni bora mara kumi angekaa kimya kuliko kujipendekeza kwa watesi kwa kuwatungia nyimbo za kuwasifia huku akijua hawatendi haki! By the way sisi hatukaa kimya tulilaani humu jamvini japo kwa kutumia id fake.
Nyinyi mlilaani kwa I'd fake, alafu yeye mlitaka ajitokeze hadharani? Kwenye yale maandamano yaliyoitishwa na viongozi wenu mlijitokeza?
 
Kila mtu anapambana..

Kutumia u star wako ku-side upande unaolalamikiwa sana kutesa watu na kuinfluence mambo negative kwenye jamii sio jambo zuri..its about time wasanii na celebs wote wajue hili.
Shabiki wa Man u. I appeciate ulichoandika hapa. Ni watu wachache sana humu jf watakuelewa.
 
mh! unaweza kukuta mmichakato ijayo ya uchaguzi wasafi ndo ikawa benet na chadema..! coz sjaona kama yeye alikuwa ccm kma unavyosema! coz wengine huwa wanapenda chama kilichopo madarakani kwani mbowe angekuwa madarakani na baba tiffa angeimba MBOWE BABA LAO kingeharibika nini? tusitumie uwoga wa mtu ku diffence mali zake pindi wana siasa walipotaka kumtumia ( TURN THIS GAME UNGEKUWA NI WW UNGEFANYAJE NA WAKAT IF U SPEAK U DIE)
NOTE; MY LIFE IS WITH CHADEMA, WE MOVE FOR CHANGES 🧐
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…