Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sina hasira ndugu,Mkuu mbona una hasira sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina hasira ndugu,Mkuu mbona una hasira sana?
Ndio maana nikasema ni bora angekaa kimya kuliko kuanza kuimba mapambio kwa waovu.Nyinyi mlilaani kwa I'd fake, alafu yeye mlitaka ajitokeze hadharani? Kwenye yale maandamano yaliyoitishwa na viongozi wenu mlijitokeza?
Option iliyokuwa bora kwa diamond ilikuwa ni kukaa kimya sasa ye akaona haitoshi kuwa kada kawaida akaanza na kuwatungia wimbo watawala waovu wanaoumiza wananchi.Yeye Kigogo anaisema serikali kwa ID fake iliyojificha Huko Twiller ila anataka Diamond aipinge Serikali hadharan..
Kwanini kama mna influence kubwa msimsaport kwa nguvu msanii wenu Roma au Ney ili wawe nominated huko BET?Option iliyokuwa bora kwa diamond ilikuwa ni kukaa kimya sasa ye akaona haitoshi kuwa kada kawaida akaanza na kuwatungia wimbo watawala waovu wanaoumiza wananchi.
TusipangianeKwanini kama mna influence kubwa msimsaport kwa nguvu msanii wenu Roma au Ney ili wawe nominated huko BET?
Mbona nyie mnampangia Mondi?Tusipangiane
Atakuwa looserHii "mission" ya kumuengua Diamond BET "ikifeli", heshima ya Kigogo itakuwa imeathirika kiasi.
Hatukumpangia atukuze uovu wa magufuli , yale yalikuwa maamuzi yake binafsi bila kulazimishwa na mtu na hii backfire anayoipata ni matokeo ya uamuzi alioufanya bila kulazimishwa.Mbona nyie mnampangia Mondi?
Ile ya kumpeleka Mkulu ICC imefkia wapi?Ohooo!!!
Petition imepamba moto..
ICC gani tena jamani?Ngoja kwanza...Ile petition ya kumpeleka Mkulu ICC imeishia wapi ?
Mbona CCM hawajaanzisha kampeni uchwara kumpinga ROMA anaeikandia CCM kila siku?Option iliyokuwa bora kwa diamond ilikuwa ni kukaa kimya sasa ye akaona haitoshi kuwa kada kawaida akaanza na kuwatungia wimbo watawala waovu wanaoumiza wananchi.
Maovu yapi ya Magufuli aliyoyatukuza?Hatukumpangia atukuze uovu wa magufuli , yale yalikuwa maamuzi yake binafsi bila kulazimishwa na mtu na hii backfire anayoipata ni matokeo ya uamuzi alioufanya bila kulazimishwa.
We kamuulize kigogo mkuu atakwambia[emoji3]ICC gani tena jamani?
Kumlinda Sabaya na kumuua LuenaMaovu yapi ya Magufuli aliyoyatukuza?
Hebu yaainishe hapa na kwa vipi aliyatukuza?
Diamond akipita kwenye hii atakua shujaa wa bongo,kwenye hili namuona diamond akiibuka mshindi.! ogopa sana mtu ambaye hakujibu hata kama unamharibu kiasi gani! kwa kimombo tunasema "ogopa sana mtu mkimya hata kama anaonewa"