atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Na ww hueleweki upo kama popoHata mimi sijapenda jamani.. hapana aisee lets be positive kwa huyu dogo..khaaa.! Too much
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww hueleweki upo kama popoHata mimi sijapenda jamani.. hapana aisee lets be positive kwa huyu dogo..khaaa.! Too much
Kiaje?Na ww hueleweki upo kama popo
Alosema last yr uchaguzi tulipata chini ya 20% nani?Msichokielewa hao chadema wanajua kabisa mondi ana nguvu ya ushawishi, akiendelea kuwa juu mpaka 2025 itakua ngumu kwao kushinda uchaguzi, yatawatokea ya mwaka jana kupata chini ya 20%...
Nami kwa hili nimaomba hiyo link ya petition niingie nifanye jambo.Mimi sikuwa shabiki wake ila alipomkana yule Mzee baba yake,huku anatoa zawadi za magari kwa watu hata wasio ndugu zake,nilimchukia haswaa.Tunasaini wapi petition nami nisaini?
nina uhakika hapa mond anachomoka tena vizuri tu, na hili sakata halijamkalia vibaya yeye ndo maana kalikalia kimya, linambrand zaidi kuliko kumharibia... lile la juliana shonja uliona alivowaka?Diamond akipita kwenye hii atakua shujaa wa bongo, lakini akifeli itakua funzo kwa celebrities wengne "watakemea" maovu kwenye jamii kama davido, wizkid, teni, n.k (unakumbuka END SARS)
Duu nimepita huko iko 17,252 wameongeza mpaka 25,000 ambapo ikifika 25,000 itakuwa the ever signed by change. Ila hiyo counter inakimbia balaa.www.change.org
Tembelea hapo Ila usisain twakuomba
Wekeni tume huru ndo mje na shombo hizi[emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kwamba zilizidi 20 zile
Atatolewa kabisaHiki ndio kinachoendelea huko Twitter na mtandao wa change ..!!
Start a petition...
AiseeChadema wao sijui Democracy na Liberty hua wanaitafsiri vipi.
Halafu wanasema wao ni chama cha Democracy[emoji848]
Watampigia kura wana ccm wenzake lkn asijidanganye kuwa atapata kura kutoka kwa wa Tanzania woote kisa analiwakilisha taifa.Tunakupinga sio kwa kuwa wew ni mwana CCM tunaupinga Mtazamo wako wa kusifia Ukatili na Mauaji kwa raia wenzako wa Tanganyika. Suala la kujali UTU halina chama ni la kila mtu na ndio maana Leo Sabaya yupo ktk mikono salama .
Kuna wajinga wachache wanassema eti Diamond anayo haki ya kuto tunga nyimbo zenye mlengo wa kisiasa.
Yaani Diamond awe na uhuru wa kutunga nyimbo zinazo sifia Pombe, Ngono na Madikteta wanao ua raia wema wanao muunga mkono asiweze kuguswa na madhira wanayo wapata.
Nyerere alisema tuliwapinga Makaburu wa Africa kusini sio kwa kuwa walikuwa weupe bali ni Matendo yao ya Kinyama dhidi ya Binadamu. Na akasema hata kama wew ni Mweusi au Mtanzania mwenzetu unafanya au kuunga mkono Matendo ya Aina hiyo utakuwa ni Kaburu tuu na tutakupinga.
Katiba yetu inasema jukumu la Ulinzi na Usalama wa watu na Mali zao ni la kila mtu. Diamond aliweza kuwatumia Salamu za pole na kuwaeleza ameguswa na tukio la porisi kuua Raia Nigeria lakini hakuweza kulaani Mateso na Mauaji nchini mwake .
Ikifika 25000 mta ambiwa ifike 35000..misukule kwa kujipa hope[emoji28][emoji28][emoji28]Duu nimepita huko iko 17,252 wameongeza mpaka 25,000 ambapo ikifika 25,000 itakuwa the ever signed by change. Ila hiyo counter inakimbia balaa.
Atapigiwa kura na free mason wenzake kama weweView attachment 1811538
BET wametupia tena huko , kama kawa mwana support yake inakimbiza , haters ongezeni juhudi ....WATAJUAJEEEEEEEE....tukutane 3:30 mida ya wanga
Hata ukionyeshwa utabisha tu kwa kuwa umeshajiprogram hivyo ulivyo!Tuoneshe ni wapi Mondi alisifia ukatili?
Umasikini, roho mbaya, wivu na uvivu vinaenda pamoja.
Ukiwa na tabia hizi lazima uwachukie waliokuzidi!
Watz wengi wanawachukia matajiri wakiamini umasikini wao unasababishwa na matajiri.
Aliyasifia hayo yoote na alikuwa ni mshirika wa watesajiTuoneshe ni wapi Mondi alisifia ukatili?
Umasikini, roho mbaya, wivu na uvivu vinaenda pamoja.
Ukiwa na tabia hizi lazima uwachukie waliokuzidi!
Watz wengi wanawachukia matajiri wakiamini umasikini wao unasababishwa na matajiri.