Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Diamond Platinumz huenda akatolewa kwenye mchakato tuzo za BET

Ila sisi wa tz tuna roho mbaya sana aise.... Na hii harakati chadema mmefeli sana huu sio utanzania kabisa na kama ndo ivi mnavyoenda hii inchi hamtakaa ukamshika dola.... Diamond ana maisha yake binafsi na hii ni nchi ya demokrasia na nyie kila siku ndo mnaubiri demokrasia... This is not fair kwa uyu chalii na hapa anapambania taifa though sifa zingeenda kwake lakini angeleta heshima hapa tz... Achana roho mbaya wakulingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila sisi wa tz tuna roho mbaya sana aise.... Na hii harakati chadema mmefeli sana huu sio utanzania kabisa na kama ndo ivi mnavyoenda hii inchi hamtakaa ukamshika dola.... Diamond ana maisha yake binafsi na hii ni nchi ya demokrasia na nyie kila siku ndo mnaubiri demokrasia... This is not fair kwa uyu chalii na hapa anapambania taifa though sifa zingeenda kwake lakini angeleta heshima hapa tz... Achana roho mbaya wakulingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi ccm wamepiga kura na kusapoti hiyo mswaada!
+alikiba fans
+KONDEGANG fans
+chadema fans
 
Siwakubali ccm ila sijawahi kuwa na imani na chadema.. Sawa mimi si mpenzi wa muziki kwa saana, naweza nisiwe mpenzi wa diamond pia lakini huu ni ufala wa kiwango cha SGR..


Mie ningeona wa maana kama wangeanzisha petition ya mchakato wakufosi katiba mpya hapo ningewaona jamaa wa maana saana...

Hivi hakuna jamaa ambae ana kingereza swaafi kilichonyooka na sisi tuanzishe petition kwa ajili ya katiba mpya(NAWAZA TU)
mie kingereza changu cha fizikia itakuwa vichekesho.., is, the na and zitajaa ujumbe haujafika. [emoji23] kingereza kizuri usome kaandika mwenzio au kaongea mwenzio[emoji23]

Kidhati kabisa tz tunahitaji katiba mpya, hawa kina diamond tutawaonea tu ungekuwa wewe ungefanya nini, wakat mwingine unamtumikia tu kafiri yako yaende, sio diamond tu hakuna msanii wa level angegoma kumlamba viatu magu na ccm yake.
 
Astaghfirurah
Huu si sawa na uchawi tuu

Kwakua pioneers wa hii movement ni wanachadema na wakosoaji, ni heri chama kitoke hadharani na kukana mara moja kuhusika.

Yaani chadema wakane kipi anachotuhumiwa nacho bingwa wa magu baba lao?

Kwamba alichagua kujipanga na chama na mwenyekiti wa chama alofanya yote yale kwani ni uongo?

Msiihusishe Chadema na matatizo yenu. Pambaneni na hali zenu wenyewe.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Uchawi tu kwakweli, kwanini kulazimishana kuamini unachoamini? Hizi siasa mavi mavi sijui zinatupeleka wapi!!!

Wamuache huyu dogo kwakweli, kwa namna anavyopambana hii tuzo anastahili kabisa.
Roho mbaya tuu zimewajaa
 
Ebwana watu elfu 15 siyo wengi

Screenshot_2021-06-06-22-22-55-97.jpg
 
Hiki ndio kinachoendelea huko Twitter na mtandao wa change ..!!

Start a petition


BET - Disqualify Diamond Platnumz from BET AWARDS 2021 (for Best International Act)

11,013 have signed. Let’s get to 15,000!

[https://static]At 15,000 signatures, this petition becomes one of the top signed on Change.org!

[https://static]At 15,000 signatures, this petition becomes one of the top signed on Change.org!

[[

Movement #ChangeTanzania started this petition to bet awards and 3 others

This is a call to BET Awards hosted and produced by Black Entertainment Television (BET) to disqualify Diamond Platnumz
Diamond Platnumz is a world-renowned Tanzania music artist who used his popularity and his talent to whitewash and deodorize the brutal repression of the late dictator John Magufuli and his regime. Diamond is also a close friend and business ally of Paul Makonda the former Governor of Dar -es-Salaam who has openly persecuted and cracked down on LGBTI people. Makonda has also been designated in 2020 by the US State Department for gross violations of human rights including cracking down on freedom of expression and association.

Context:

Tanzania has suffered brutal repression and roll back of democracy since 2016 when (late) President Magufuli ascended into power. His regime curtailed democratic freedoms, basic human rights and Tanzanians witnessed never-before experienced atrocities like enforced disappearances, bodies bound and gagged washing ashore the Indian ocean, mass illegal detention of opposition politicians, critics and businessmen, crackdown on independent media, intimidation of creative people including musicians, actors and comedians. A particularly shocking event has been the brutal gunning down of opposition legislator Tundu Lissu in broad daylight. Lissu survived with 16 bullets in his body to tell his story. He is currently living in exile in Brussels, Belgium.

In 2020, Magufuli ran for re-election under his party Chama cha Mapinduzi (CCM) . Mr Lissu risked his life and returned to run against Magufuli under his party’s ticket – CHADEMA. The election was marred with irregularities, violence including killing of innocent civilians by forces acting for or on behalf of the regime. In the immediate aftermath of the election, Magufuli and his henchmen arrested the leaders of the opposition party and threatened them with treason charges. Some opposition leaders saw family members killed. Today several opposition leaders live in exile, while hundreds still languish in jail on trumped up charges.

Magufuli was also a rabid COVID19 denier whose repeated refusal to follow internationally accepted guidelines on prevention and treatment of COVID19 resulted in many deaths that remain undocumented to date due to the refusal of the government to publish any figures related to COVID19 since May 2020.

Diamond Platnumz’s role:

In 2016, Diamond made Paul Makonda the Patron of his music label and media company called Wasafi. Makonda has used the Wasafi Festival for publicity and to sanitize his image. Also throughout the increased level of repression when fellow artists were imprisoned and abducted Diamond remained silent. In 2017, he deliberately released a single called “Acha Nikae Kimya” (Let me remain quiet) as a response to the increasing demand from the public to speak up and condemn the crackdowns. Diamond to-date has not condemned or spoken up on any of the atrocities committed.

Diamond Platnumz is a self-avowed CCM party member and was the lead musician for the CCM campaign in 2015 and 2020. In 2020 despite a huge outcry locally and internationally against Magufuli and his regime, Diamond endorsed this brutal dictator, dedicated a song to him (“Magufuli Baba Lao”) and several times took to stage with him during campaign. In October 2020 during the #EndSARS protest in Nigeria, Diamond tweeted solidarity with Nigeria but deliberately chose to remain quiet on the atrocities happening in Tanzania during the elections.

After the BET Awards 2021 nomination for best international act, Diamond took to the media and spoke disparagingly of activists, then paid a visit to his party’s headquarters CCM whereby his nomination was hailed as some sort of achievement for the party and the nation.

Why Diamond should be disqualified:

Diamond Platnumz has failed to show basic concern and publicly express any solidarity with his fellow artists like Roma Mkatoliki, Nay wa Mitego and Idris Sultan who suffered at the hand of the dictator Magufuli.

Diamond Platnumz chose to protect and expand his personal and business interest by praising and using his star power to soften the image of a brutal dictator and his collaborators.

BET awards have been always held in high esteem by many Africans for its recognition of talent of exemplary artists. The international act which was established in 2018 has consistently gone to artists who have been very conscientious and stood up for justice for African lives. Both Davido (2018) and Burna Boy (2019 and 2020) have been in the frontline at the #EndSARS protests using their star power and fame to shed light on injustice and even protect civilians from police brutality. Diamond Platnumz is a selfish, greedy opportunist and an apologist of a repressive regime who chose to deliberately turn a blind eye to atrocities and associate, praise and collaborate with renowned human rights violators like Paul Makonda and John Magufuli.

We believe that once BET independently verifies these facts, it will be clear that Diamond Platnumz does NOT deserve ANY recognition in these prestigious awards.

Start a petition of your own

This petition starter stood up and took action. Will you do the same?

Updates

1 hour ago

10,000 supporters

19 hours ago

Movement #ChangeTanzania started this petition

Reasons for signing

[https://assets]

Tito Korduni·18 hours ago

He support oppression, womanizer, dictatorship

31·

Report

[https://static]

Albert Murunga·18 hours ago

The nominee Diamond despite having immense influence; he never spoke against the excesses meted upon the citizen of Tanzania especially under the late 5th President.

21·

Report

Vi]
View attachment 1810432

View attachment 1810372
Uzuri MUNGU hatoki kijijini kwao, kama ipo ipo tuu! ...
 
Wanajitekenya tu,afu dogo mwenyewe wala hana muda nao kabisa[emoji23].

Watu wamekosa kazi za kufanya, aliekuwa anawapa mada za kujadili kila siku ndohivyo ameshakufa, sasa wamebaki kuzua visa visivyokuwa na kichwa wala miguu. Hivi kweli leo hii hapa Jf, Mond ni wakujadiliwa kuliko hata Rais wa nchi?
Ivi ndiyo style tunayo katika nayo wanachadema,
Alivokua anamkatikia magufuli alidhani sisi hatuna viuno vya kukatika, hii ndiyo style yetu ya kukatika,
Fyekelea mbali Swain.
 
Ivi ndiyo style tunayo katika nayo wanachadema,
Alivokua anamkatikia magufuli alidhani sisi hatuna viuno vya kukatika, hii ndiyo style yetu ya kukatika,
Fyekelea mbali Swain.
Ova
 
Back
Top Bottom