Gentleman96
JF-Expert Member
- Mar 12, 2019
- 912
- 1,670
- Thread starter
- #561
Sasa hivi imeongezeka sio 15k ni 25k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi BET wametoa tangazo kwa chadema?Sasa hivi imeongezeka sio 15k ni 25k
Wanawake zake tu. Wanaweza kumsadia kushinda hiyo tuzo. Wanamashabiki wengi ni ajabu. Na CCM wapo. Wasio na vyama wapo. Njee ya nchi wapo. Ni sisi tu wa wafuasi wa chadema. ACT wengine watapiga kura. Wengine tunaoSema nini, waliompost diamond ni wengi sana kwenye Instagram page zao, lakini kwenye petition ya kumdisqualify kura ni nyingi kuliko ile petition ya kumsupport.
That means walimpost ila hawakumaanisha, waliompost ndio wanaooongoza kupiga kura aondolewe.
wakifanya hivyo utafanyaje?Wasipofanya hivyo utafanyaje?
Sure.... Sijui wanafaidika na nini katika kutenda haya kwa uyu chaliiTunaendelea kumtia moyo asikate tamaa, kama ipo ipo tuu Mungu hatoki kijijini kwa mtu.
zaidi ya uchawi.huu uelekeo sio wenyeweAstaghfirurah
Huu si sawa na uchawi tuu
Kwakua pioneers wa hii movement ni wanachadema na wakosoaji, ni heri chama kitoke hadharani na kukana mara moja kuhusika.
Walikuwepo akina Sadam Hussein ila sasa hawapo.Bahati nzuri system haiwezi kuruhusu chama kama hichi kikamate dola labda kizazi hiki cha kina Lisu kitoweke
Mkuu mbona una hasira sana?Aiseee hii si sawa hata kidogo. Wanaacha kuwashikia bango kina bashite huko wanakaa kuonea vijana waliotafuta kwa jasho lao wenyewe.
Kwa hili hao wanaharakati uchwara wa chadema wamezingua sana, unawapaje nchi watu wenye visasi namna hii.
Hata Magufuli alikua na visasi lakini alipewa nchi.Aiseee hii si sawa hata kidogo. Wanaacha kuwashikia bango kina bashite huko wanakaa kuonea vijana waliotafuta kwa jasho lao wenyewe.
Kwa hili hao wanaharakati uchwara wa chadema wamezingua sana, unawapaje nchi watu wenye visasi namna hii.
Na MO alitumia siku ya Simba day kumsifia Magufuri..kwanin naye wasijitenge na biashara zake ikiwepo kuacha kushangilia Simba[emoji23] [emoji23] [emoji23] Una tia huruma kweli!
Diamond ana haki ya kuwa chama chochote kile habari ya kwamba kina kandamiza wanachi hicho kitu mnakiona nyie machadema!
Marekani nchi za watu wenye afya ya akili msanii anasapoti chama akipendacho huwezi kusikia wa chama pinzani wakihamasisha wafuasi wao kumchukia.
Hapa kwetu tumajaa ujinga na unafiki ndio sababu unaona yote haya.
Diamond hata akikosa hiyo tuzo ni kwa sababu kuna mtu amestaili kwa vigezo na si kwa kelel na chuki za wajinga wachache.
Mbona mashabiki wa chadema hawaichukii Simba wakati mdhamini wa MO ni ccm?
Wivu, roho mbaya na umasikini vinaenda sambamba.
Radhi aanzie kwanza kwa baba yake , dhambi ya kumnyanyasa mzazi wa kiume akivua nguo na kulinyoosha dushe juu huku akinuia hutoboi. Huyo mama yake na huyo anayewalia frdha anayejiita ucle wanamnanganyaMchezo ulivyoanza nilihisi hao jamaa wanajitekenya na kucheka wenyewe
Hii issue imekuwa noma zaidi, mond akubali na aombe radhi jamii