Diamond Platinumz kuzindua marashi yake ya Chibu

Iv zile earphone zake vp aka chibu beat???
Kama ni kweli hongera kwake.
 
huyu biashara ndio kipaji chake huku kwenye muziki alikuwa anatupigia kelele tu kwa kulazimisha fani.
Yes biashara ndio kipaji chake ndio maana kawa mwanamuziki pekee Tanzania aliyepata mafanikio makubwa katika biashara ya muziki. Kama ulikuwa hujui basi fahamu kuanzia sasa kuwa muziki nao ni biashara. Halafu haya mambo ya perfumes si pekee aliyefanya, kimataifa wapo akina Jay Z, Beyonce, Michael Jackson, David Beckham, Britney Spears, Justin Beiber, Usher, Bruce Willis, Rihanna na wengineo
 
hueleweki unasimamia wapi.... sioni tatizo kwenye hiyo brand yake
 
Umemsahau Nguli Christiano Ronaldo
Ana hadi mablanket
 
Misemo Ya Kimaskin
 
Sawa Ali Kiba tumekuckia
 
Ni mwendo wa viparaaaaa rraaaa kunukia tuuuu hongera chibudeeee mzee wa ku unlock codes watakuiga tu tuwape mda saivi naskia nao wanauza kofia kenya omy msambwanda nae kwenye video yake kavaa ki nigeria kama wewe kwenye salome lazima wakugezeee we sindo kik zao hapa mjini achatunukie uturiiiiiiii wa chibudeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…