Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
uzuri ni kuwa hajakulazimisha ununue,wala hajakulazimisha uachane na nivea yako......yeye anatangaza biashara kama wewe ulivotangaziwa nivea ukaipenda ukanunuaHongera Sana Utawapata mazwazwa kwenye huo uturi wako sie ni mwendo wa Nivea For Men 48hrs protection.
Na muziki pia ni biashara.huyu biashara ndio kipaji chake huku kwenye muziki alikuwa anatupigia kelele tu kwa kulazimisha fani.
Ni Kweli Mazwazwa Hawakosekani lazima atasepa nao...[HASHTAG]#Tunasepanakijiji[/HASHTAG].uzuri ni kuwa hajakulazimisha ununue,wala hajakulazimisha uachane na nivea yako......yeye anatangaza biashara kama wewe ulivotangaziwa nivea ukaipenda ukanunua
si kama wewe na nivea,umekuwa zwazwa wa nivea ni vizuri nivea nao wamesepa na weweNi Kweli Mazwazwa Hawakosekani lazima atasepa nao...[HASHTAG]#Tunasepanakijiji[/HASHTAG].
Yes mie ni Zwazwa wa Nivea ni kama na wewe ulivyo zwazwa wa uturi wa Chibu.si kama wewe na nivea,umekuwa zwazwa wa nivea ni vizuri nivea nao wamesepa na wewe
Kwa show zipi za kumfanya afanye biashara kama hiyoUtasikia watu wanahoji utajirii wake unatokana na nini MTU anajitumaaaaaaa hiviii ALIKIBA kama ana akili naye ni mda wa kufanya biasharaaa wanaimba ili wapate pesaaa sasa ni mda waooo
wenyewe wana misemo yao utaskia....Asidanganywe na hao jamaa zake (Freemasons) kauli ya kudai ni muda mchache tu umebaki (yeye kama Chibu) kuizamisha sayari ya DUNIA ndani ya CHUPA......Huko ni kumkufuru MOLA......alijaribu kuigiza msemo wa kwamba, DUNIA KWA SASA IKO KATIKA KIGANJA.....hizo si kauli za kumtukuza na kumshukuru MOLA.......Wamepita MANGULI wangapi na hawakuwa na KIBRI ama KEBEHI juu ya MAMLAKA ya MUNGU....!!?
Punguza dharau Chibu usidanganywe na WATU, hii Dunia sio yako ama ya Baba/Mama....
Umeikuta na utaiacha na kamwe huwezi kiweka ndani ya CHUPA..
Jaribu kuuzamisha MOYO wako tu kwanza.
Jealous?Kijana wenu??!!....wew na nani?
Haters mna kazi. Angekuwa muuza maembe Tandale mngemjua? Mwacheni afanye biashara, no hard feelingshuyu biashara ndio kipaji chake huku kwenye muziki alikuwa anatupigia kelele tu kwa kulazimisha fani.
Tungemjua....Mbona tunamjua chesco Matunda.Haters mna kazi. Angekuwa muuza maembe Tandale mngemjua? Mwacheni afanye biashara, no hard feelings
Akina nan hao weny music wao [emoji89]Bora amekigundua kipaji chake halisi, hzo ndo shughuli zake muziki alivamia ili apate mtaji, sasa awaachie wenye muziki wao waendelee kutuburudisha.....
Wow!! AsanteNakupenda bure chibu
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata mie ni mmoja wao
moja ya kitu nachochukia ni kujikuta gari zima tunanukia perfume ya aina moja
Basi hata Diamond Ungemjua maana ni kaka yako.Unashindwaje kumjua Chesco wakati ni kaka yako.
Duh..[emoji12]Bora amekigundua kipaji chake halisi, hzo ndo shughuli zake muziki alivamia ili apate mtaji, sasa awaachie wenye muziki wao waendelee kutuburudisha.....