Diamond Platinumz kuzindua marashi yake ya Chibu

Diamond Platinumz kuzindua marashi yake ya Chibu

Hongera Sana Utawapata mazwazwa kwenye huo uturi wako sie ni mwendo wa Nivea For Men 48hrs protection.
uzuri ni kuwa hajakulazimisha ununue,wala hajakulazimisha uachane na nivea yako......yeye anatangaza biashara kama wewe ulivotangaziwa nivea ukaipenda ukanunua
 
uzuri ni kuwa hajakulazimisha ununue,wala hajakulazimisha uachane na nivea yako......yeye anatangaza biashara kama wewe ulivotangaziwa nivea ukaipenda ukanunua
Ni Kweli Mazwazwa Hawakosekani lazima atasepa nao...[HASHTAG]#Tunasepanakijiji[/HASHTAG].
 
Utasikia watu wanahoji utajirii wake unatokana na nini MTU anajitumaaaaaaa hiviii ALIKIBA kama ana akili naye ni mda wa kufanya biasharaaa wanaimba ili wapate pesaaa sasa ni mda waooo
 
Utasikia watu wanahoji utajirii wake unatokana na nini MTU anajitumaaaaaaa hiviii ALIKIBA kama ana akili naye ni mda wa kufanya biasharaaa wanaimba ili wapate pesaaa sasa ni mda waooo
Kwa show zipi za kumfanya afanye biashara kama hiyo
 
....Asidanganywe na hao jamaa zake (Freemasons) kauli ya kudai ni muda mchache tu umebaki (yeye kama Chibu) kuizamisha sayari ya DUNIA ndani ya CHUPA......Huko ni kumkufuru MOLA......alijaribu kuigiza msemo wa kwamba, DUNIA KWA SASA IKO KATIKA KIGANJA.....hizo si kauli za kumtukuza na kumshukuru MOLA.......Wamepita MANGULI wangapi na hawakuwa na KIBRI ama KEBEHI juu ya MAMLAKA ya MUNGU....!!?


Punguza dharau Chibu usidanganywe na WATU, hii Dunia sio yako ama ya Baba/Mama....

Umeikuta na utaiacha na kamwe huwezi kiweka ndani ya CHUPA..

Jaribu kuuzamisha MOYO wako tu kwanza.
wenyewe wana misemo yao utaskia
i will make the world a better place to live
the world is mine i make it spine
freemason nomer sana
 
hii ingenoga kama angeiita "DoMo" .. hii chibu ina sound kama pombe flani ya kienyeji,, ni maoni yangu lakini
 
Bora amekigundua kipaji chake halisi, hzo ndo shughuli zake muziki alivamia ili apate mtaji, sasa awaachie wenye muziki wao waendelee kutuburudisha.....
Akina nan hao weny music wao [emoji89]
 
Watalaamu wa biashara nawaomba katika hili kwamba kwa msanii wa muziki kuanzisha pafyum yake itamsaidiaje kiuchumi..tunaomba uchambuzi kwa kina
 
Back
Top Bottom