Diamond Platinumz Mboga 7, Hereni na Kanzu?

Diamond Platinumz Mboga 7, Hereni na Kanzu?

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
dimondo+1.JPG
 
Waonyeshe watanzania kuwa ametoka yale maisha duni ugali mkubwa fungu moja la dagaa hadi mboga saba kama draft....ni mafanikio makubwa sana kwa maisha ya watanzania wengi ambao hawana la kutegemea wala la kusubiria.....acha ajisifie na atambe ila asimsahau Mungu wake kushukuru na kutoa zaka na kusaidia wasio nacho!
 
Waonyeshe watanzania kuwa ametoka yale maisha duni ugali mkubwa fungu moja la dagaa hadi mboga saba kama draft....ni mafanikio makubwa sana kwa maisha ya watanzania wengi ambao hawana la kutegemea wala la kusubiria.....acha ajisifie na atambe ila asimsahau Mungu wake kushukuru na kutoa zaka na kusaidia wasio nacho!

Umenena kinabaubaga bila mang'amung'amu yoyote
 
Mbona sioni ajabu ukizingatia hajavaa kanzu ya kuswalia..hilo bi bazee km la wanigeria..kwa raha zake
 
Waonyeshe watanzania kuwa ametoka yale maisha duni ugali mkubwa fungu moja la dagaa hadi mboga saba kama draft....ni mafanikio makubwa sana kwa maisha ya watanzania wengi ambao hawana la kutegemea wala la kusubiria.....acha ajisifie na atambe ila asimsahau Mungu wake kushukuru na kutoa zaka na kusaidia wasio nacho!

Umenena kinabaubaga bila mang'amung'amu yoyote
 
haya si kawaidaa...? au ndio sifa zenu kwetu?
 
Back
Top Bottom