Diamond Platinumz mtafutie shughuli nyingine Queen Darleen, amekuwa kituko na mchekeshaji, muziki hauwezi kabisa

mkuu ndio wewe nini? maana huu uandishi ni shida
 
Ha ha ha[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji2]
 
Par?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mi siku hizi ananiboa uvaaji wake wa kuacha makalio nje hakua hivo, makalio yenyewe hayaeleweki yana rangi gani, kama vile meusi, tena kama kijivu..
 
alishiriki mpaka mtoto wa geti kali?...kumbe wa long time sana huyo darleen
 
 
Hivi Queen Doreen alishawai kufika hata level ya kina Lina au Mwasiti?
Sasa hivi yuko kwenye level gani?
 
Lava lava na huyo queen wanalazimisha fani
Unajua soko la kupiga show kama linaenda kufa angalia youtube views uagalie wanapata kiasi gani
LAVALAVA - TUACHANE ( OFFICIAL VIDEO MUSIC ):
 
Hivi Queen Doreen alishawai kufika hata level ya kina Lina au Mwasiti?
Sasa hivi yuko kwenye level gani?

Dah sasa bro umesema huyo dada sio msanii kabisa ha deserve kuwa signed kwenye lebel, tunakuonyesha potential na uzoefu wake katika kazi unaleta ulinganifu na lina sanga!!.. ujue kwenye lebel huwa kuna wanaoibua ideas, watunzi, wakufunzi wa minenguo etc etc sasa wewe unataka kila anayekuwa signed kwenye lebel awe anaimba kama malomboso?
 
Huyu jamaa ni buku 7 wa Lumumba sijui km anajua muziki!
 
Queen darleen ana experience kubwa ya bongo fleva kuliko wote pale WCB... lazima awepo kusaidia kampuni... hata kwenye mpira ndio maana ibra cadabra yupo man utd... vijana bila kuwa na wazee wazoefu wanafeli..

mtoto wa geti kali mwaka 2001... dully anatoka nyimbo yake ya kwanza chorous kaipiga queen darleen... G record ndie alikuwa back queen nyimbo... new jack family kitambooo
 
alishiriki mpaka mtoto wa geti kali?...kumbe wa long time sana huyo darleen

Ni mtu mzima yule dada!! Nakumbuka alipigwa mimba kitambo sana kwenye ile miaka ya mwanzoni mwa 2000. Sasa unadhani mtoto wake ana miaka mingapi sasa kama sio 16 na kuendelea!!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…