Tetesi: Diamond Platinumz na Mhariri Mkuu wa Wasafi huenda wakaitwa mbele ya TCRA au kizimbani kwa kukiuka sheria ya takwimu

Tetesi: Diamond Platinumz na Mhariri Mkuu wa Wasafi huenda wakaitwa mbele ya TCRA au kizimbani kwa kukiuka sheria ya takwimu

Hakuna kesi hapo......hizo ni kauli tu za biashara.......kifupi jamaa wanapigia debe radio yao
 
Wasalaam wana jamvi!

Msanii Diamond Platinumz na muhariri mkuu wa wasafi media uenda wakaingia matatani kwa kudaiwa kukiuka sheria ya takwimu na ile sheria ya habari zinazo kataza chombo cha habari kutoa takwimu bila kuwa na kibali au kuonesha chanzo cha takwimu hizo!

Hata hivyo sheria inataka chombo au mtu anayetaka kutoa au kutangaza takwimu alizozifanya au kuzichakata kuzipeleka ofisi ya taifa ya takwimu ili zithibitishwe au kuidhinishwa uhalisia wake kabla ya kwenda kwa wanachi!

Hata hivyo sheria inzitaka Kampuni au mashirika yanayo taka kukusanya takwimu kuwa na kibali cha kufanya hivyo! Kinyume na hapo ni kosa kisheria


Hata hivyo hayo yamejiri baada ya Wasafi media na Mmiliki wake kujitangaza kuwa wao ni radio namba moja nchini bila kueleza chanzo cha takwimu hizo na chombo kilicho fanya utafiti huo

Sheria ya takwimu na ile ya habari inazuia utoaji holela wa takwimu ili kulinda jamii na pia kulinda misingi ya biashara na kuepuka utoaji wa takwimu za uongo!


Ikumbukwe Wasafi Fm imeanzishwa miaka miwili tuu na inasikika Dare-es-salaam

WasalaamView attachment 1500096
View attachment 1500097
View attachment 1500098
Hata hivyo...
 
Technically hawajasema namba moja kwenye nini! Labda namba moja kwenye ujinga
 
Nimekaona ka Jenifer Kanumba tu hapo.. Inaonyesha kanampenda sana Simba..
 
Hakuna kesi apo izo ni lugha za kibishara, Kwahiyo kina Pepsi au Voda nao washikwe sio
 
Wasalaam wana jamvi!

Msanii Diamond Platinumz na muhariri mkuu wa wasafi media uenda wakaingia matatani kwa kudaiwa kukiuka sheria ya takwimu na ile sheria ya habari zinazo kataza chombo cha habari kutoa takwimu bila kuwa na kibali au kuonesha chanzo cha takwimu hizo!

Hata hivyo sheria inataka chombo au mtu anayetaka kutoa au kutangaza takwimu alizozifanya au kuzichakata kuzipeleka ofisi ya taifa ya takwimu ili zithibitishwe au kuidhinishwa uhalisia wake kabla ya kwenda kwa wanachi!

Hata hivyo sheria inzitaka Kampuni au mashirika yanayotaka kukusanya takwimu kuwa na kibali cha kufanya hivyo! Kinyume na hapo ni kosa kisheria

Hata hivyo hayo yamejiri baada ya Wasafi media na Mmiliki wake kujitangaza kuwa wao ni radio namba moja nchini bila kueleza chanzo cha takwimu hizo na chombo kilicho fanya utafiti huo

Sheria ya takwimu na ile ya habari inazuia utoaji holela wa takwimu ili kulinda jamii na pia kulinda misingi ya biashara na kuepuka utoaji wa takwimu za uongo!

Ikumbukwe Wasafi Fm imeanzishwa miaka miwili tuu na inasikika Dare-es-salaam

WasalaamView attachment 1500096
View attachment 1500097
View attachment 1500098
umekuru9uka!!
 
Kusikiliza na kuangalia ONLINE ni WORLDWIDE , usikariri mkuu
Online wanaangalia wangapi mpk iwe namba 1 mkuu???yn ishinde radio za masafa ya kawaida kweli???mambo ya online ni sisi huku wa mjini tu lkn sio wa huko mwanarumango
 
Online wanaangalia wangapi mpk iwe namba 1 mkuu???yn ishinde radio za masafa ya kawaida kweli???mambo ya online ni sisi huku wa mjini tu lkn sio wa huko mwanarumango
Unajua kuwa wasafi walipewa tuzo na YOUTUBE? unafikiri kwanini wapewe wao wachanga na wakongwe wasipewe ? Mkuu Diamond amewekeza sana kwenye Digital platform trust me
 
Tangu vijana wamalize form six kumekuwa na mada za kipuuzi sana hapa jukwaani
 
Back
Top Bottom