Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Daudi bhana ha ha haaaa...anywayHivi Alikiba alimla dada yako pande zote alafu akamtelekeza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daudi bhana ha ha haaaa...anywayHivi Alikiba alimla dada yako pande zote alafu akamtelekeza?
GREAT OF ALL TIME.Hivi neno :G.O. A.T linatafsiri gani
ana mahaba mabaya Sana.Daudi bhana ha ha haaaa...anyway
Wewe si ndo mwenye mahaba na Mond ama? Daudi Mchambuzi ni baba yako uwe na adabu!ana mahaba mabaya Sana.
Matumizi Mabovu ya ubongo hayawezi kusaidia kuongoza Taifa lenye malengo chanya katika maendeleo.nikutokana na mapokezi yake makubwa kigoma, ambapo alikiba mzee awezi fikia.
Maana alikiba wameudhuria watu hata 100 hawajafika, huku diamond walikuwa zaidi ya 10000,na kuandika historia kubwa.
Kwahiyi Kama wanajamvi kwenye jukwaa la celebrities tumeamua kwa moyo mmoja kumpitisha DIAMOND kuwa the GOAT.
Sina timu ila ni fan wa mziki mzuri,na atkae ongea fyongo anakula block na ban juu.
Povu kafukie sabuni
FactMkuu Diamond Yule jamaa ni mchawi Muache kama alivyo
Kakojoe ukalale ebooooh usitufokeeTofauti nyingine Alikiba alienda alfajiri watu bado wamelala na diamond alifika mchana watu wapo wengi ,mapovu ruksa jumamosi nataka kufua nguo
G. O. A. T(Greatest Of All The Time).Hivi neno :G.O. A.T linatafsiri gani
Kufuri(padlock) kafungie mlango sawa dogoMatumizi Mabovu ya ubongo hayawezi kusaidia kuongoza Taifa lenye malengo chanya katika maendeleo.
Ukikosa hoja jaribu kukaa kimya nayo ni hoja nzuri tu, sio kujaribu kutengeneza uzi ilimradi upostiwe na Mods. Dogo??😊😊😊😊😊😀😀😀😀😀🚮🚮🚮Kufuri(padlock) kafungie mlango sawa dogo
Kalale kwani umeitwa?a
Ukikosa hoja jaribu kukaa kimya nayo ni hoja nzuri tu, sio kujaribu kutengeneza uzi ilimradi upostiwe na Mods. Dogo??[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji706][emoji706][emoji706]
Acha wenge kaelewa sagwersMweleze avue nguo aende sokoni mchana ndio uamini kama anakupenda maana usimwamini huyu bila masharti