ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Team alikiba kazini.. Kukosa kazi huku yani mnakaa kwenye keyboard mnamfagilia alikiba..ivi anawalipa shs ngap vijana wengine mpaka mnatumie I'd Tatu Tatu basis alikiba aonekane anakubalika sana.. Ivi Kwa mziki wa diamond hata muendelee kumtukana amewaacha mbali sana., alikiba yani unatafuta kick kupitia Kwa diamond.. Diamond usiwajibu washamba hawa na swaga zao za kikimbiji..
hii ngoma hata haiishi hamu kuisikilza halafu we dimpoz kaa kimya asingekua yeye kukubeba ungekua unavua migebuka kigoma alaaaaa pu.....v
Achana nae mtoto mwenyewe si unaona anavyobana pua...haeleweki...
hii ngoma hata haiishi hamu kuisikilza halafu we dimpoz kaa kimya asingekua yeye kukubeba ungekua unavua migebuka kigoma alaaaaa pu.....v
Kuna watu wamepaniki na THE RETURN OF KING KIBA......Kimahesabu wanapomlinganisha Ali Kiba na Diamond automatically that means: Nataka kulewa+My no.1+nimpende nani+my no.1 remix+kitorondo+BumBum+Ukimuona+kizaizai+Rich Mavoko+Jux+Bele9+BenPaul+BobJr+Linex+Dully Sykes+Dimpoz = MWANA DAR ES SALAAM
hahahaaaaa....!!!mi sielewi yani watu sijui kawakosea nini kiba
Anaejua anajua tu!!!!
Kuna watu wamepaniki na THE RETURN OF KING KIBA......Kimahesabu wanapomlinganisha Ali Kiba na Diamond automatically that means: Nataka kulewa+My no.1+nimpende nani+my no.1 remix+kitorondo+BumBum+Ukimuona+kizaizai+Rich Mavoko+Jux+Bele9+BenPaul+BobJr+Linex+Dully Sykes+Dimpoz = MWANA DAR ES SALAAM
list yangu ya wanamzk bora..
1.Ali kiba
2.Belle9
3.Tid(sema hajitambui)
4.ndomo
Inashangaza sana Kiba yupo kimya 3 yrs af unamlinganisha na dai aliyetamba mda wote huo.... Hii inamaanisha Kiba ni homa ya Tanzania hakuna wa kumfikia.... Akina Ommy, Belle, Ben n.k wametoa nyimbo but bado mnamuwaza Kiba.......The Return of Kiba..
Kuna wimbo mmoja unaitwa Daraja la sarenda,ndo kaimba nani kati ya hao?.Basi ndo kula yangu achukue