ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Team alikiba kazini.. Kukosa kazi huku yani mnakaa kwenye keyboard mnamfagilia alikiba..ivi anawalipa shs ngap vijana wengine mpaka mnatumie I'd Tatu Tatu basis alikiba aonekane anakubalika sana.. Ivi Kwa mziki wa diamond hata muendelee kumtukana amewaacha mbali sana., alikiba yani unatafuta kick kupitia Kwa diamond.. Diamond usiwajibu washamba hawa na swaga zao za kikimbiji..
Chipa Gm nawewe ni timu gani mkuu?