Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

Ukweli mchungu sana huo.Hata pozi kwenye video zake ni mbovu kweli.
He is talented kuliko Diamond lakini Diamond kamzidi akili ya biashara ya muziki.
Tatizo wakishajua wanakipaji wanarelax bila kujua vipaji navyo vinamsimu wa mavuno....hawajifunzi kwa wenzao wa nigeria ambao wako very aggressive na hawafanyi mchezo kwenye kutafuta pesa na kufanya maisha... Diamond atawafundisha labda
 
Kuna nafasi ya skendo za ngono za Diamond, ambazo huwezi kumwingiza Kiba kwa kuwa amelelewa kiislamu.
Na nafasi ya redio ya watu na kampuni tanzu zake...
 
kule mm ndio home na tumesoma shule moja primary mchikichini japo alinizidi madarasa kama matatu hivi...nadhani sio ushamba ila ujuaji mwingi sijui kwann aliamua kujitoa G.Record maana nayo ni sababu ya hivi

Ally amesoma Upanga Primary na alimaliza 2000.
 
sio watanzania tu karibu kila mtu duniani kunakuwa kuna mtu humkubali hata iweje.Kama vile ambavyo sijawahi kuipenda Yanga,yaani Yanga hata ikicheza na timu ya Rwanda basi nitaishangilia timu hiyo ya kutoka Rwanda.
Nalog off
daah...nimecheka sana
 

I salute you for you great comment on the importance of having marketing skills.
 
Wadau naomba maoni yenu kumekuwa na ubishani mkubwa siku za hivi karibuni juu ya nani mkali wa bongo flava kati ya wasanii wetu hawa wawili huku zikiwa zimebaki siku chache Ally kiba atoe single yake mpya inayoitwa Dar es Salaam
 

Attachments

  • 1405974769212.jpg
    25.1 KB · Views: 849
Ali Kiba ni moto mkali,..sema ni kama jamaa hajielewi....japo na Diamond ni mkali na ajielewa na anajituma sana.
 
Hivi Ali kiba anatoa wimbo wake lini?? Naona Anataka kurudi kupitia mgongo wa Domo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wadau naomba maoni yenu kumekuwa na ubishani mkubwa siku za hivi karibuni juu ya nani mkali wa bongo flava kati ya wasanii wetu hawa wawili huku zikiwa zimebaki siku chache Ally kiba atoe single yake mpya inayoitwa Dar es Salaam

Ngoja atoe hyo single ndo tutaamua!0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…