Robert kiyosaki huwa anasema baada ya kuuza nakala nyingi sana za kitabu chake "Rich dady ,poor dady" Watu wakamuuliza wewe inakuwaje unauza kuliko waandishi walobobea katika mambo ya personal finances, Maprofessa wa Harvard na Wataalam kutoka Wallstreet?? kwa nini???
akasema " Its because am a best selling author and not a Great author while those are Great Authors and not Best selling Authors".
This is true kwa Marlaw, Alikiba, na it was very true kwa King of Freestyle Albert Mangweha RIP. Ni watu wanaojua sana, ni kama hao maprofesa wa harvard, wanaoshindwa kuuza vitabu vyao kwa levo ya Kiyosaki kanjanja mmoja anaeandika juu ya nertwork marketing. Namfaham Marlaw since Iringa 2004 enzi hizo kwa 2d Thomas na Temmy G. tulikuwaga tunasema " Dah huyu jamaa akitoka, atakuwa juu sana" akatoka juu then akawa kawaida
Mtandao wenye bidhaa nzur kuliko zote unaweza kuwa zantel, lakin wenye wateja wengi na faida kubwa ukawa voda au tigo. "In business effective marketing of product is very important sometimes more than a product it self"