Diamond Platnums adhihirisha ubabe wake Afrika, ashinda tuzo tatu(3) za AFRIMMA

Msisahau wapenzi kumpigia kura ya tuzo ya MTV EMA 2015 itakuwa Milan mwaka huu.

Link hii chini bonyeza piga kura ukipewa "thank you for voting" badi nonyeza X urudi kwa jina lake kuendelea kupiga kura

http://base.mtvema.com/vote
 
Unatisha. Tatizo njaa inakufanya ujidhalilisha na dirty politics.
Kumbuka unao mashabiki wa kila itikadi. Usiwakwaze!!!!

Good job boy!!!. Keep it up!!
 

Haaaah acha kurupuka wewe unaleta siasa Zako uku izo ni afrima za Jana ni afrimma umeona tofauti afrimma zimefanyika Dallas marekani afrima zinafanika Nigeria Lagos
 
Ooh kajimaliza, ooh hatukupigii kura tena, ooh sijui nini, yule mwimbaji wenu ROMA ana tuzo gani vile?
 
AKA, DAVIDO walikuwepo among the finest sijui ulitaka wakina nan??
Including Yemi Alade na Brackets too.Godfather pia alikuepo so sijui anataka nan awepo?
Wizkid kutohudhurio tunzo hajaanza jana..
 
Ooh kajimaliza, ooh hatukupigii kura tena, ooh sijui nini, yule mwimbaji wenu ROMA ana tuzo gani vile?

Hahaha niliwahi waambia wasimpigie kura ila anayepanga ridhiki ya mtu ni Mungu pekee aibu imewashika na bado Mungu atamsimamia na kumshindia ili watu wenye roho mbaya wapatwe na aibu mwanadamu ni nani hadi umchukie mwenzio Kisa siasa! Mungu uliyejuu ya yote msimamie diamond nakumpaisha zaidi ya hapo.
 
TUZO za kipuuzi hizi, zimejawa na uswahili, hujuma na uchawi mwingi, Hazina hadhi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…