Diamond platnumz aanika kijiji chake alichojenga

by Dinazarde;
Hhhhhaaaa ni shidaaaa



Hahahahaha kweli lusungo ni shiiida,nimemkubali!

Hivi matumbo kapotelea wapi?
 
Last edited by a moderator:

Kwenye ishu ya kazi nami naomba msaada wako please
 
Wadau sjui nisemeje ila kw mtto wa kiume hasaa na mweny roho kavu ya ujasir na utafutaj na mweny maono hua anajifua usku na mchana kuhakk kua akaunt yake ama saccos ama bsnnz zaenda na akikaa maskan bas anatafuta one two za kushea ili mrad mamb yaende,,ila kw anemsfia kjna mwenzie kisa kajenga kibanda tena kw ajil yake na familia yake na urith wake afu ww unasfia mixa bifu na masela kisa kakukosoa!!hatarr,msifie bas hata BABA au MAMA yako wamejenga kibanda ndo na ww ukapat pa kukaa,achen izi mamb,jichue msuli uyajenge yako..
 
ha ha ha ha utanipa yote yote au ndo vile Kama michezo ya washenzi wamjini anatunza jukwaani hela za kuazima backstage anarudishiwa ili aoshe jina

Bina ntakupa yote halaf tukirudi home unanirudishia nusu au sioooo mjini hapaa
 
Wataongea nini tena hapo na wamepewa sucker punch. wengine wameanza kulia na fensi.

Mkuu umenikumbusha mzee wangu alikuwa analutumia sana hilo neno akiwa anatupiga mkwara. Tulikuwa tunamwita blood sucker,,ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…