Malick M. Malick
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 658
- 312
BASHIR Y5. HAKI YA KWENDA KUWAONA WATOTO. Wapo watu ambao huzuiwa kuwaona watoto. Wengine huruhusiwa lakini kwa masharti maalum na kwa kupewa muda wa kuzungumza. Hii haikubaliki kisheria mzazi anapaswa kuwaona watoto kwa uhuru na bila masharti yanayolenga kumwondolea haki hiyo.
Sasa hakuna namna dada anguHivi ukiwahi kuwaza kama mimba yako ingechomolewa tungechat na nani hapa sasa hivi?
Mkuu umenifurahisha sanaaa.....nimejaribu kuwaza naishia kucheka tuu.Hivi ukiwahi kuwaza kama mimba yako ingechomolewa tungechat na nani hapa sasa hivi?
Sheria inasemaje? Mpaka Diamond ataje kipato chake. Akikataa ndipo mahakama watatoa amri ya kutoa lakini moja au 70000/= kwa mweziWanaangalia kipato cha baba kwa mwezi-% kadhaa
Sio wa kwanza alitakiwa kujifunza alivompata fanta huu usingo mama wa hivi hadi lini? Binti mdogo[emoji2] [emoji2] [emoji2] watu wanamsakama mnoo km ye ndo wa Kwanzaa vile kaahh!
inategemea na case yenyewe unaweza hata ukapewa mtoto wa wiki moja ukaishi naeWewe ni Bush lawyers umri unaoruhusiwa wa baba kuishi na mtoto ni kuanzia miaka 7 hio ni kwa mujibu wa sheria ya mtoto ya mwaka 2009
Ahahaasaaaaaaaa.....wee mzee wewe...ALIMNYONYOLESHA UPARA ...ahahahahaaaaaa...umeuwaaaaHamisa amuulize Wema maana analijua balaaa la Domo...
Domo hatoagi hata mia anapenda maku za bure kigezo kikiwa ni ndoa na haoi!
Alimnyonyolesha Wema upara na kumvalisha madera ili tu asinunue Mawigi ya malaki na vitopu vya Gucci
Hata ukitumia kondom kwa demu anaetaka kuzaa na wewe anachukua shahawa kwenye kondom anajitanua vizuri anajimwagia na kuisukumia ndani mchakato wa mimba unaendeleaKati vitu Vilivyonishangaza sana sana sana!!!!! Ni mshikaji kuzaa na huyo demu daaaah!!!
Hata kutumia kondomu mchizi sijui akili yake ilikuwa wapi?
Japo ni maisha yake binafsi but kuna vitu vinahitaji umakini sana sana sana .
Anyway atunze tu mtoto ndo ishatokea .