Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Kuna ishu kadri unavyokomaa na kujifanya nunda ndivyo inavyozidi kula muda wako na kuharibu image yako.
Diamond amepambana sana kufika hapo alipo ni wakati sasa amalize huu upuuzi ili asijitie doa akachafua kazi yote aliyoifanya kwa muda mrefu naona Hamisa shida sio sarafu tu ila amepania kumtia adabu dogo nahisi dogo nyuma ya pazia alimdanganya vingi mwenzake kiasi kwamba Hamisa anaona bora amhenyeshe ilimradi image ya dogo ipate mushkeri kidogo,alafu yule ni mtoto wake tu ni heri ampe tu matumizi ya kutosha kama mama wa mtoto atakua mwehu anune madera kazi kwake yeye kesho atamuambia mwanawe jinsi alivyopambana angalau ila wale mameneja nao ni watu wazima wanashindwa kumdhibiti Hamisa duh.
 
Mara nyingi huwa tunadhani mtu successfull ni mtu mwenye pesa....Lakini kiuhalisia mtu successful huwa ni combination ya vitu vingi including Afya njema, Mahusiano mazuri ya kimapenzi na kindugu, kukua katika profession yako, kuwa na fedha kwa ajili ya kujihudumia na mengineyo.......
 
Mwanamke hajawai kumuacha mwanaume salama[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Kuna ishu kadri unavyokomaa na kujifanya nunda ndivyo inavyozidi kula muda wako na kuharibu image yako.
Diamond amepambana sana kufika hapo alipo ni wakati sasa amalize huu upuuzi ili asijitie doa akachafua kazi yote aliyoifanya kwa muda mrefu naona Hamisa shida sio sarafu tu ila amepania kumtia adabu dogo nahisi dogo nyuma ya pazia alimdanganya vingi mwenzake kiasi kwamba Hamisa anaona bora amhenyeshe ilimradi image ya dogo ipate mushkeri kidogo,alafu yule ni mtoto wake tu ni heri ampe tu matumizi ya kutosha kama mama wa mtoto atakua mwehu anune madera kazi kwake yeye kesho atamuambia mwanawe jinsi alivyopambana angalau ila wale mameneja nao ni watu wazima wanashindwa kumdhibiti Hamisa duh.
Nakumbuka history ya form two......Rise and Fall of Soghai Empire.....Moja ya sababu iliyoifanya ifall ni expansion of its boundaries yaaani kuwa na eneo kubwa lakiutawala gharama za kuhudumia zikawa kubwa na migogoro kuzidi kutoka kwenye maeneo iliyo conquer....
 
si nimeskia Hamisa?mmmnhhhh
nimeuliza nikidhani umesoma wito wa mahakama aliyo pelekewa Diamond..
Ulishauri Diamond afute case wakati aliyefungua case ni Hamisa..
Wala usijali Diamond haito mgharimu chochote hii case zaidi ya sheria kufata mkondo tuu na hii case atashinda na hakuna million tano itakayo tolewa...
Diamond hajakataa kumtunza mwanae bali Hamisa ndio amekataa kiasi anachopewa ...
Kiasi anachotaka Hamisa hakijawai kuwepo kabisa hapa tanzania na kwa sheria zetu....
Hamisa ana poteza muda...
 
Mtoto hata miezi miwili hajafika kesi mahakamani? Inaelekea hii kesi aliipanga kabla ajapata mimba
Si hivyo swala ni kuwa hana kazi,
Kitegauchumi bado kinakandwa hela atapata wapi, lazima apambane na kesi familia itakula nini!
 
Nakumbuka history ya form two......Rise and Fall of Soghai Empire.....Moja ya sababu iliyoifanya ifall ni expansion of its boundaries yaaani kuwa na eneo kubwa lakiutawala gharama za kuhudumia zikawa kubwa na migogoro kuzidi kutoka kwenye maeneo iliyo conquer....
Hii nayo ni ndoto tuu..... Hakuna case hapo ya kumgharimu Diamond kabisa hapo.
 
Huo muandiko wa huyo wakili kwa kweli ni haki kabisa kuwa wakili wa Hamisa Mobeto, haaaa! sio kwa hati chafu hivyo jamani..msweeee.
 
nimeuliza nikidhani umesoma wito wa mahakama aliyo pelekewa Diamond..
Ulishauri Diamond afute case wakati aliyefungua case ni Hamisa..
Wala usijali Diamond haito mgharimu chochote hii case zaidi ya sheria kufata mkondo tuu na hii case atashinda na hakuna million tano itakayo tolewa...
Diamond hajakataa kumtunza mwanae bali Hamisa ndio amekataa kiasi anachopewa ...
Kiasi anachotaka Hamisa hakijawai kuwepo kabisa hapa tanzania na kwa sheria zetu....
Hamisa ana poteza muda...
Nlisema hili jambo kua 70000 ndio haki yke na chibu anauwezo wa kusema ntatoa laki au laki unusu na mahakama ikaridhia hilo...huyo dada amepewa mchongo hewa nae kajaa kufungua case
 
Full comedy. Hamisa hawezi kupata anachotaka kwa kulazimisha. Kesi hii haina mashiko maana kama anapewa matunzo halafu akasema hapewi italeta balaa
 
kwa kua ni Star ndio ukimbie majukumu?
Haina haja ya kumuonea huruma coz ameyataka mwenyewe,mwanamke mjanja kama huna mpango wa kuzaa huwezi pata mimba,ila kwasababu ya yy kutaka aonekane amezaa na Diamond basi akaamua kumtegeshea kimimba
 
Back
Top Bottom