Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

OMBI langu ni kuwa BASHITTO asicomment chochote kuhusu sakata hili la mtoto. Maana BAVICHHAA watamchimba hadi chumbani. Mheshimiwa piga kimya. Pita hivi
 
Mashauzi meeengi na kujifanya tajiri kumbe hata diaper ya mwanae hajui shilingi ngapi xshxxxxmmmmfyuuu
 
Nani kakimbia majukumu? Hamisa amekataa hisani ya laki mbili anataka million tano utafikiri huyo mtoto ana kula madini ya tanzanite.....
Uswahili ni tatizo sana. Anaenda kule ataambiwa apokee elfu 40 kwa mwezi. Ngoja ajifunze. Maana kuwa mjinga ni janga kubwa
 
Wanaume tuwe makini na nani unazaa naye. Kweli Zari matawi ya mbali.
 
Wewe ni mjinga, Diamond hana ndoa, pili kwenye court of law kuna umri ambao lazima mtoto afike ndio baba unaweza kupewa mtoto unless court ithibitishe pasi na shaka yoyote kwamba mtoto kuendelea kukaa na mama kuna madhara makubwa. Na uelewe kipengere hiki hakijatowa sababu za kubuni au kutunga, sababu mojawapo labda mama ithibitike ana tatizo la afya ya akili mental case.


Katika court hiyo hiyo of law baba unaweza kuwaambia kuwa mtoto atakuwa hatarini akiishi na Mama yake maana ni changudoa na hautaki mtoto wako aishi katika mazingira hayo.....hii ipo na I've seen it.
 
Kutoka nanjilinjili nafuatilia kwa umakini sana huu ubuyu,hii ni kwa niaba ya wanaume wote wa mikoani hususani wajomba zangu kutoka tarime nawawakilisha vema
 
Pitia sheria za mtoto vizuri utagundua kuwa baba hawezi kumchukua mtoto mchanga kama huyo kwa mama yake mpaka aidhibitishie mahakama vitu kadha wa kadha ambavyo kwa haraka-haraka Mobeto hawezi kupokonywa mtoto kamwe.


Nishajibu hii na kiufupi tu kwa kurudia tena, inawezekana baba akamchuku mtoto wake toka kwa Mama dizaini ya Hamisa. Sina haja ya kupitia sheria tena kwani nazijuwa fika.
 
Amezaa na Wangapi jameni huyu atakua wana magomvi na kuna lundo la wanawake wanashitaki watu msiongee hili saaana kwasababu tu Dimondo ni star...ila wapo wengi na kesi ziko nyingi sana..
Hamisa anategeshea mimba wenye pesa akidhani ndio kuolewa, mtoto wa kwanza kazaa na Majey, akaachwa majey karuka na lulu leo tena kazaa na mondi akitegemea ndoa sasa anaenda mahakamani, sijui kesho atazaa na nani tena? yani yeye anaishi kwa kutegemea pesa za matunzo ya watoto tu. Shida sana.
 
Wabongo kwa kushadadia mambooo hahahaa haswa wakikuchukia
 
Katika court hiyo hiyo of law baba unaweza kuwaambia kuwa mtoto atakuwa hatarini akiishi na Mama yake maana ni changudoa na hautaki mtoto wako aishi katika mazingira hayo.....hii ipo na I've seen it.
Na mama anaweza kujibu pia baba ni changu dowa wa kiume na madale ni Guest house ya kufanyia uzinzi wake na Diamond hana mke wa kuangalia na kumtunza mtoto wa huyo changu mwenzake.

Tatizo la misukule ya Diamonds mnaingiza ushabiki maandazi kwenye vitu visivyohitaji ushabiki.

Mkumbuke na yeye ana mtoto wa kike pia, karma is a bitch.
 
Wanawake wanapenda kujirahisi kweli.. Maisha magumu halafu hawana mbinu za kutafuta ela tofauti na kutumia chini
 
Katika court hiyo hiyo of law baba unaweza kuwaambia kuwa mtoto atakuwa hatarini akiishi na Mama yake maana ni changudoa na hautaki mtoto wako aishi katika mazingira hayo.....hii ipo na I've seen it.
Na mama anaweza kujibu pia baba ni changu dowa wa kiume na madale ni Guest house ya kufanyia uzinzi wake na Diamond hana mke wa kuangalia na kumtunza mtoto wa huyo changu mwenzake.

Tatizo la misukule ya Diamonds mnaingiza ushabiki maandazi kwenye vitu visivyohitaji ushabiki.

Mkumbuke na yeye ana mtoto wa kike pia, karma is a bitch.
 
Nani kakimbia majukumu? Hamisa amekataa hisani ya laki mbili anataka million tano utafikiri huyo mtoto ana kula madini ya tanzanite.....


mmmnh sijui child support ikoje ,nachojua mimi it depends na unacho earn mzazi kwa mwezi.....sasa hio million tano kwa mtu kama Dai si sawa na hio laki mbili mnh
 
Back
Top Bottom