Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Diamond itabidi amchukue Albert Msando awe wakili wake...
Hivi unadhani hii ni kesi ya kisiasa au ya kibiashara?

Dunia mzima demu akikupandisha mahakamani kwa issue ya child support labda uwe mchovu ndio salama yako.

Kama Diamond anawashauri wazuri na anawasikiliza hizi ni issue za kumaliza nje ya mahakama.

Tena kwa nchi kama Marekani ndio usiombe child support unakatwa juu kwa juu kwenye source zako inaenda kwa mama.

Shabikieni mambo mengine lakini siyo Child support muulizeni Le Mutuz kakimbia nini Marekani.
 
70000 iko kisheria kwenye matunzo ya mtoto,hata ukienda ustawi wa jamii utaambiwa hivyohivyo
 
Haya ndiyo madhara ya kutojitambua kwa mademu wetu ama mastaa uchwara wa bongo. Hamisa alipewa offer ya gegedo tu pamoja na kudanganywa kwa kupewa gari mkweche, yeye akajiona ndiye mrithi wa Zari kumbe ni danganya toto tu. Sijawahi kuona changudoa kurithi mke wa ndoa hata siku moja labda tu itokee jamaa kurogwa na huyo changu.
 
Hizo case huwa hazina kichwa ustawi wa jamii bei elekezi ya matunzo ni 70000 hata ukiwa billionea
 
Jamaa atoe matumizi ya mtoto achana na assumption
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…