Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Hamisa amuulize Wema maana analijua balaaa la Domo...

Domo hatoagi hata mia anapenda maku za bure kigezo kikiwa ni ndoa na haoi!

Alimnyonyolesha Wema upara na kumvalisha madera ili tu asinunue Mawigi ya malaki na vitopu vya Gucci
Kwani na Wema alizaa watoto wangapi mkuu?
 
Diamond amefunga ndoa lini? Ukiishi na hawala hiyo wewe ndio unaita ndoa?
 
Yaani kamrahisishia diamond ya 70 elfu kwa mwezi,apo kesi ishaisha ,bora angemtafuta nyuma ya pazia wangeongea naamini yangeisha hata mgao ungeongezeka,lkn ndio ishakula kwake
 
Mwanasheria analipwa kwanza then ndio anaingia kazini
Take it from me.
Kesi yenye pesa za wazi kama hii wakili yeyote anaingia kazini malipo yatatoka humohumo, hao mawakili wengine ni wadogo zetu tena kesi kama ya Wema Sepetu anatetewa bure bila malipo mawakili wanatengeza CV zao
 
Upo sahihi sana kiongozi kuna mijitu haielewi kitu kazi kupayuka tu mondi kaingia choo cha kike
 
Mkuu lakini kibongo bongo itapotezewa hii kesi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…