Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu mna vipaji vya kubisha ujingaMbona anafikishaga Mara nyingi
Yani we unafananisha mtu aliye bongo na Marekani???? acha utani bwanaaaaaJe wajua August Alsina ana followers wachache kuliko Diamond lakini ni star zaidi ya Diamond. Hii imekaaje ?
wewe mwenye wachache ndio utaenda mbinguniNilidhani ukiwa na followers wengi unakwenda Mbinguni kumbe hata Shetani anao followers wengi, agha!
Sasa bongo kupata followers ambapo kuna vilaza wengi si ni rahisi zaidi kuliko Marekani ambapo wanaojielewa ni wengi.Yani we unafananisha mtu aliye bongo na Marekani???? acha utani bwanaaaaa
Star kwako wewe.Je wajua August Alsina ana followers wachache kuliko Diamond lakini ni star zaidi ya Diamond. Hii imekaaje ?
we unajua watanzania wangapi wanatumia instagram kulinganisha na Marekani???? angalia factor nyingine kamaSasa bongo kupata followers ambapo kuna vilaza wengi si ni rahisi zaidi kuliko Marekani ambapo wanaojielewa ni wengi.
Tanzania ya leo hata watoto wa Primary schools wanamiliki smartphone, je bado tunaweza sema wabongo hawana uwezo wa kumiliki hizo simu ?we unajua watanzania wangapi wanatumia instagram kulinganisha na Marekani???? angalia factor nyingine kama
Population,
Uwezo wa ku access smartphone n.k
Ndugu, huwezi ukakaa ukalinganisha entertainment industry ya Marekani na bongo hata siku moja.Tanzania ya leo hata watoto wa Primary schools wanamiliki smartphone, je bado tunaweza sema wabongo hawana uwezo wa kumiliki hizo simu ?
On top of that vijana na watoto wengi ndio wapenzi wa hao watu hivyo lazima wawa follow
Harmonize kasema ku trend sio big dealNdugu, huwezi ukakaa ukalinganisha entertainment industry ya Marekani na bongo hata siku moja.
Marekani wanafuatiliwa dunia nzima ila sisi bado sana.
Hivi unajua watumiaji wa instagram bongo wanaweza wasizidi million 10, ndio maana Millard Ayo page inayoongoza kwa kutoa habari Tanzania nzima bado hajapata followers million 10.
Popularity ya diamond ni East Afrika nzima ndo maana hata nyimbo zake zikitoka huwa zinakuwa namba moja in trend East Africa.
ommy Dimpoz kashinda afrimma mwaka jana ,imemsaidia nini mpaka sasa 😁😁😁😁Harmonize kasema ku trend sio big deal
Cha muhimu tuzo[emoji31][emoji3][emoji31][emoji3]
Swali fikirishi sana ,uwiano huwa haupoMbona akipost kitu chochote diamond ajawaiga kupata hata likes laki sita au tano sasa hawo followers wameuza simu wote mil 9
Leta ushahidiMbona anafikishaga Mara nyingi
Unafikiri ametumia akili yake hapo kujibu! Akili za utimu hizoYani we unafananisha mtu aliye bongo na Marekani???? acha utani bwanaaaaa