Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mimi timu NandyUnafikiri ametumia akili yake hapo kujibu! Akili za utimu hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi timu NandyUnafikiri ametumia akili yake hapo kujibu! Akili za utimu hizo
SawaMimi timu Nandy
kama ni rahisi wewe unao followers wangap maana bongo vilaza ni wengiSasa bongo kupata followers ambapo kuna vilaza wengi si ni rahisi zaidi kuliko Marekani ambapo wanaojielewa ni wengi.
Ninao followers wangapi ,wapi ?kama ni rahisi wewe unao followers wangap maana bongo vilaza ni wengi
Ngoja nimsaidie kamanda ,asee bro wewe ni kilaza kuliko huyo unayemtuhumu.Ninao followers wangapi ,wapi ?
Hata kuuliza swali unashindwa, hio ni dalili ya ukilaza
Sawa kilaza wa zamuNgoja nimsaidie kamanda ,asee bro wewe ni kilaza kuliko huyo unayemtuhumu.
Kwani Mmakonde anasemaje kuhusu hilo?
Maana alishasema Sabuskraiba zinaua vipaji,je hao folowazi anasemaje?
Mbona akipost kitu chochote diamond ajawaiga kupata hata likes laki sita au tano sasa hawo followers wameuza simu wote mil 9
MmmmhRonaldo ana followers million 200 ila hajawahi fikisha likes million 10 so hiyo kawaida tu
Wacheza xxx, ushoga na kubaguana ndo kujielewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa bongo kupata followers ambapo kuna vilaza wengi si ni rahisi zaidi kuliko Marekani ambapo wanaojielewa ni wengi.
Sasa bongo kupata followers ambapo kuna vilaza wengi si ni rahisi zaidi kuliko Marekani ambapo wanaojielewa ni wengi.
Amekopy na kupaste followersMbona akipost kitu chochote diamond ajawaiga kupata hata likes laki sita au tano sasa hawo followers wameuza simu wote mil 9