Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'

wewe kwa maelezo yako unaonekana ni hater tu na humkubali huyu kijana. Muda ni jibu tosha kwako, ngoja siku ziende utaelewa kuwa huyu kijana ni fighter
Naomba unipinge kwa Hoja Mkuu, me sina chuki na Diamond ila naandika ukweli, na siendeshwi na hisia, kwani ukiwa sio hater maana yake Kila kitu ukubali tu?
 
Asikudanganye mtu mkuu.

Hakuna msanii ambae hapendi kufanya promotion ya kazi zake, sema tu inahitaji budget ya maana kufanya hivyo kitu ambacho kimekuwa rahisi kwa Mond kwasababu ana platform nyingi za kufanya hivyo.
iyo promotion gani unayozungumzia?,
Je amepiga media tour ngapi na kwenye tv na radio zipi, amefanya shows au matamasha mangapi, ameenda sehemu au nchi ngapi kutangaza iyo EP mpaka useme amewekeza kufanya promotion ya kazi zake. Jaribu kutofautisha kutangaza kazi na kufanya stunts/kiki coz asilimia kubwa ni wanafanya kiki sio kutangaza
 
Diamond Platinumz katika ubora wake.
 
Hapo kwa Davido mtoe umweke Mond
 
We jamaa unaleta masihara 2face IdibiaπŸ˜€πŸ˜€wabongo bhana , Mond tatizo hana exposure ya kusoma angalau hadi elimu ya juu hasingekuwa anaropoka watu wamgoogle anaonesha ujinga wake hajuo google ata wewe na mimi tunaweza andika kitu chochote cha ukweli au uhongo bila ya tafiti anatakiwa kutoa references zake yeye ni top 3 kwa tafiti gani zilizofanyika
 
Inatokana na genre unayosikiliza kaka kama ukisikiliza Hiphop( subgenres zote kuanzia Drill,Trap ni lazima ukutane na maneno hayo ila kumbuka kuna genres zaid ya 30 za muziki marekani ambazo hawatukani..msikilize Taylor swift kama mimi navyomsikiliza hapa then njoo na mrejesho ingawa hata mimi HipHop is my favorite genre lakini sometimes we have to change a mode sio kila saa matusi tu
 
MONDI NI WA KUSHINDANISHWA NA KINA WIZKID, HAO MAPOPOMA WENGINE WATASHINDANISHWA NA KINA KUSAH.
 
Kwa bongo takwimu kama hizo ni kawaida mbona, juzi tu hapa zilitoka takwimu za timu yangu pendwa kwamba inashika nafasi ya 98 kwa ubora duniani, nilifurahi sn lkn baada ya akili kurudi nikaanza kupiga hesabu hizi[emoji116][emoji116]

English Premier league 20 teams
Spanish Primera La Liga 20 teams
France Legue One 20 teams
Germany Bundesliga 18 teams
Italy Serie A 20 teams

Hapo tu nikapata jumla ya timu 98 bila ya kuigusa ligi kuu ya Ureno, Scotland, Ubelgi, na kule America ya kusini kina Botafogo, Cruzeiro nk...

Hapo pia ckuzigusa timu za ligi daraja la pili za England, Spain, Italy and France.

Nikaja kugundua hii nchi ngumu sana wallahi.
 
Kwa bongo takwimu kama hizo ni kawaida mbona, juzi tu hapa zilitoka takwimu za timu yangu pendwa kwamba inashika nafasi ya 98 kwa ubora duniani, nilifurahi sn lkn baada ya akili kurudi nikaanza kupiga hesabu hizi[emoji116][emoji116]

English Premier league 20 teams
Spanish Primera La Liga 20 teams
France Legue One 20 teams
Germany Bundesliga 18 teams
Italy Serie A 20 teams

Hapo tu nikapata jumla ya timu 98 bila ya kuigusa ligi kuu ya Ureno, Scotland, Ubelgi, na kule America ya kusini kina Botafogo, Cruzeiro nk...

Hapo pia ckuzigusa ligi kuu daraja la pili za England, Spain, Italy and France.

Nikaja kugundua hii nchi ngumu sana wallahi.
 
Diamond hakusema hastaili bali alizungumzia fairness na transparency.
 
Binadamu Kawaida yetu kujisaha.

Ni kama yule aliesema yanga inashiriki kombe la mbuzi, wao ni wakimataifa (Aden Rage)

Kisa ushindi wa Simba dhidi ya berkane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…