Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'

🙄😒😏😶😑😐🤨🙃🙃🙃🙂🙂🙂
 
Maybe
 
naona yeye na media yake wanatumia nguvu kupush iyo EP yake iende, wenzie wamefanya listening party wakaacha mzingo uende wenyewe ila yeye ni kulazimisha mixer kutumia mpaka mahusiano yake
Ulichoongea hapo inaonesha kabisa tofauti yake na Wasanii wengine na ndio maana yeye anawazidi fedha Sana hadi mafanikio ya kimziki wasanii wengine Pepsi pamoja na kuwa brand kubwa Sana lakini ni kampuni ya soda ambayo inafanya promo kubwa Sana
 
Ulichoongea hapo inaonesha kabisa tofauti yake na Wasanii wengine na ndio maana yeye anawazidi fedha Sana hadi mafanikio ya kimziki wasanii wengine Pepsi pamoja na kuwa brand kubwa Sana lakini ni kampuni ya soda ambayo inafanya promo kubwa Sana
kizuri ni kizuri tu. ni rahisi sana kukuta tangazo la Toyota kwenye tv kuliko kuona tangazo la Lamborghini. kiufupi ni mimi napenda muziki uwe mzuri wewe nakuachi izo sijui brand za muziki wa kitoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…