Haya maneno sidhan kama kasema Diamond, kwanza hayana mtiririko sahihi alafu pili yamekaa ki underground Sana hayapaswi kusemwa Na msanii mkubwa kama DiamondAkihojiwa kwenye kipindi cha the Switch, Wasafi FM, alisikika akisema "huyo (yaani Ali Kiba) yupo kwenye game muda sana, mbona sasa hana media yake?"
Diamond akaendelea "mimi kunilinganisha na wasanii wa Tanzania ni kuwaonea hao wasanii, kwa maana hawaniwezi, sababu mimi kwanza nna talent najijua kabisa, nna pesa ya promotion, nnajua kucheza, kuvaa, kujulikana,,, kwanza nna media nnaweza kufanya siku nzima zinasikika kazi zangu tu, nna mashabiki wengi, nna numbers, views,,, kwa hapa Africa mimi ni msanii namba tatu kwa ubora, Africa nzima mimi ni namba tatu, google uone? sasa kua namba tatu utanilinganisha na hawa wasanii wenu ambao hawapo ata top 100?"
Diamond Platnumz "kunilinganisha mimi na hawa wasanii wenu ni kunikosea adabu mimi, mziki hadi watoto wangu, wasanii wenyewe mnaonishindanisha nao nnawazidi kila kitu kila kitu hadhi dhambi nawazidi, kwaio sio sawa ni kuidhalilisha nchi".
Jamaa kachungulia kaona 2021 hakuna alichofanya, wenzie wameoa hit kibao, kaona alale mbele..Hii inanipa picha pia kuhusu lile tukio jingine la bondia namba moja nchini kama anavojinasibu yeye, bwana Mwakinyo kukataa mpambano na twaha kiduku sabab ya kulinda brand yake isishuke. Hili naliona kwa mondi nae kukataa tuzo za ndani anataka kulinda brand yake sababu ikitokea akakosa tuzo kama ya msanii bora wa mwaka kwa Tanzania, hii inaweza kumuharibia kiasi fulani kwa tuzo za nje.
Akili HanaHio namba tatu embu ngoja kwanza tui list tuone
1. Wizkid
2. Burna boy
3. Davido
Alaf tuwaache madogo ambao wamepiga shows o2 arena hadi marekani na wamepiga kolabo kubwa na watu kama wakina ed sheeran na justine bieber madogo hao ni Joe Boy, Fire Boy na wapopo wengine wengine kibao wakina simi nani na nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] looh hio top 3 nadhani ndo ile kitu wabongo wanasema "ametupiga na kitu kizito".
Diamond Platnumz "kunilinganisha mimi na hawa wasanii wenu ni kunikosea adabu mimi, mziki hadi watoto wangu, wasanii wenyewe mnaonishindanisha nao nnawazidi kila kitu kila kitu hadhi dhambi nawazidi, kwaio sio sawa ni kuidhalilisha nchi".[emoji419][emoji625]Akihojiwa kwenye kipindi cha the Switch, Wasafi FM, alisikika akisema "huyo (yaani Ali Kiba) yupo kwenye game muda sana, mbona sasa hana media yake?"
Diamond akaendelea "mimi kunilinganisha na wasanii wa Tanzania ni kuwaonea hao wasanii, kwa maana hawaniwezi, sababu mimi kwanza nna talent najijua kabisa, nna pesa ya promotion, nnajua kucheza, kuvaa, kujulikana,,, kwanza nna media nnaweza kufanya siku nzima zinasikika kazi zangu tu, nna mashabiki wengi, nna numbers, views,,, kwa hapa Africa mimi ni msanii namba tatu kwa ubora, Africa nzima mimi ni namba tatu, google uone? sasa kua namba tatu utanilinganisha na hawa wasanii wenu ambao hawapo ata top 100?"
Diamond Platnumz "kunilinganisha mimi na hawa wasanii wenu ni kunikosea adabu mimi, mziki hadi watoto wangu, wasanii wenyewe mnaonishindanisha nao nnawazidi kila kitu kila kitu hadhi dhambi nawazidi, kwaio sio sawa ni kuidhalilisha nchi".
Stem playerYe ana media gani?
Mimi hupenda kuwa mkweli kwa sababu siwezi kuwa team za kizazi hiki kulingana na umri wangunaona yeye na media yake wanatumia nguvu kupush iyo EP yake iende, wenzie wamefanya listening party wakaacha mzingo uende wenyewe ila yeye ni kulazimisha mixer kutumia mpaka mahusiano yake
Kiba amefanya kipi basiHuenda siyo kipaombele kwa Kiba.
Kwani lazima alichofanya yeye na Kiba afanye hicho hicho?
Huyu Nasibu kumbe anakuwaga na Nyodo?!
Aisee[emoji38][emoji38]Nasikia Kiba anamiliki Visima vya Mafuta Saudia, ila hapendi show off..[emoji2960]
Anachotaka yeye hakiwezekani ktk dunia hii kwa kaz yake anayofanya kulinganishwa na wenzako ni sawa tu ila ubora wa kila mmoja unajulikana ,inakuaje akatae kulinganishwa na wenzako kisa hawapo ata 100 bora mbona ktk matamasha yake anawachukua hao hao wakaimbe wote yeye aendelee kuimba na kufanya kaz huo mlinganisho hawaachie mashabik na wengine kuna muda analinganishwa kwa sababu ya kishabik tu kuna muda ni kwel anazidiwa kimzimk mfano ep yake atoe nyimbo kum na mfano kiba atoea nyimbo ktk album apo si lazima alinganishwe maana kuna nyimbo zimemzdi ubora nyimbo zake au mfano kwa mwaka ulioisha wasanii weng wametoa nyimbo kali na nyingne zimemzd ata nyimbo zake yeye ,sioni kwann anakataa ilo jambo maana ukwel unaonekana tu sio kisa kulinganishwa na wenzako kwamba yeye atashukaYeye anachopinga ni kupambananishwa na wasanii ambao hawapo kwenye level yake mziki wake utakuaje ikiwa anashindanishwa na msanii ambaye huyo msanii hayupo hata kwenye wasanii 100 Bora wa African wakati yeye yupo kwenye top 3 ya wa wasanii Bora wa Africa
kafanikiwa nini? hebu sikiliza nyimbo zake zote kwenye iyo EP halafu njoo utuambie hapa nyimbo gani itaenda kuvuka mipaka, Mimi nafikiri katika nyimbo kidogo iliyoenda ni My number one remix ft Davido ila zaidi ya hapo hamna kitu ila fans wake ndio wanaomjaza kujiona boraMimi hupenda kuwa mkweli kwa sababu siwezi kuwa team za kizazi hiki kulingana na umri wangu
Serious huyu dogo aliyefanikiwa kuliko vijana wengi EP yake inaweza kubuma?
Akili huwa mnapeleka wapi?[emoji849]View attachment 2150806
Hard facts hizi ndiyo humaliza ubishi(lakini kwa wenye akili timamu tu kwani haters huwa hawakosi cha kusema).
Nani hatumii jina, yupo msanii anayetoa nyimbo bila kuambatanisha na jina lake?Kiba usanii kwake ni luxury co Kama mond each and every thing anategemea jina lake.
EP iliyo-trend katika nchi 33 worldwide ndani ya siku tatu ndiyo imebuma?Hakuna Jambo linaloweza kwenda huko Kwa wachafu wa Roho. Pasipo kuleta chokochoko kwa Kiba..
Mnapanga interview na vimaswali vya kuuliza mkik ili ja Ep kasogee ila wapii kamebuma
Tuseme basi Google ndiyo hawana akili.Akili Hana
Fireboy na Joeboy habari nyingine, hapo Diamond atasubiri sanaHio namba tatu embu ngoja kwanza tui list tuone
1. Wizkid
2. Burna boy
3. Davido
Alaf tuwaache madogo ambao wamepiga shows o2 arena hadi marekani na wamepiga kolabo kubwa na watu kama wakina ed sheeran na justine bieber madogo hao ni Joe Boy, Fire Boy na wapopo wengine wengine kibao wakina simi nani na nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] looh hio top 3 nadhani ndo ile kitu wabongo wanasema "ametupiga na kitu kizito".