The Eye
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 278
- 393
Ukifanya vizuri kwenye mziki unapata mafanikio.Kimafanikio Diamond yuko juu ila kimuziki hana issue, watu wengi sana wanamzidi. Hata hii album yake ya juzi ni useless kabisa, kuna vijana wanamzidi domo sema tu hawajaanza kutumia uchawi kama domo au hawataki tu.
Tofauti na hapo,muziki hauhitajiki.
Ni sawa na mtu anayeshona nguo nzuri ila za kizamani.
Imba kulingana na mazingira.