Diamond Platnumz aingia mkataba mnono na vodacom

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Mwanamuziki nyota wa Tanzania leo ameweka Record ya kuwa msanii wa kwanza wa Tanzania kupata deal kubwa zaidi ya ubalozi.

Diamond amesaini mkataba huo leo akiwa na mpenzi wake Zari the Bosslady mbele ya waandishi wa habari wakati vodacom wakizindua campeni yao mpya ya ONGEA DEILEE.

Siku za hivi karibu diamond alikuwa akipost kwenye instagram kwamba big day kwenye maisha yake inakuja na hatimae imetimia , meneja wa Diamond bwana Sallam amethibitha kwamba siku kubwa waliokuwa wanasubiri imetimia.

watu wa karibu wamethibitisha kwamba Diamond amelipwa dola $660,000.

hongera kijana unavuna ulichopanda.

 

Attachments

  • mond voda.jpg
    40.7 KB · Views: 279
Haters gonna hate go chibu[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 

= wanasubiri
 
Hongera sana Dogo umelamba BIG BROTHER misimu miwili dabali wakati wenzako wana safishwa na kuuziwa mimba,tulia na ZARI ndio nyota yako ya jaha huyo.
 
Pesa pesa pesa mpaka anuke pesa....
Zari atadumu sana na Diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…