Diamond Platnumz aipromoti albamu ya Harmonize

Diamond Platnumz aipromoti albamu ya Harmonize

yaan sijui unafikiria nini, mondi ana followers zaidi ya 8m, konde ana 5m, hauoni mondi kampaisha sana huyo mmakonde
Ngoja na Mimi nikamfollow aisee. Kijana anajitahidi sana. Konde Boy . Teamo. Tembo
 
Let assumes Diamond angemuacha kipindi kile ambacho washika dau wamemkataa,BSS imemkataa .Hivi hizo hela za kulipa angezipata wapi?

Hao watu wa sasa wanaye muona wa maana wangemwona wapi?

Hata kama wangemwona wange mvumilia na kumbeba kama Diamond? Kuna kipindi cha nyuma Mondi wakati akimzunguzia Harmonize,alisema ilifika kipindi alitamani kuachana na Harmonize sababu ya maneno ya watu ya kumkatisha tamaa eti "Harmo anafanana na Yy,atapoteza mda na hela yake".Ila yy aliziba sikio akapiga moyo konde akambeba mpaka leo.

Issues sio kulipa alichomfanyia Diamond,Harmonize ni zaidi ya hela aliyomlipa na hata Diamond alichofanyiwa na Papa Misifa ni zaidi ya hela aliyo mlipa.

Kwa hiyo si shangai Mondi kuposti sababu hawa wa historia ambayo HAITAKUJA KUFUTIKA never.

Alafu Mondi kawa fair sana kwa Harmonize pamoja na kumlipa hiyo million 600,kamwachia Youtube acc,Kamwachia brand yake ya Harmonize,Kamruhusu kuimba nyimbo ambazo zilisimamiwa na WCB.

Hivi unamjua Kizz Daniel?Yule kabla ya kutoka ktk label ya G Worldwide iliyomtoa alikuwa anaitwa Kiss Daniel,lkn baada ya kutoka wakamwambia kwanza haruhusiwi kutumia jina la Kiss Daniel ,Youtube acc na hata kuperform nyimbo alizoziimba chini ya G worldwide.

Hivi unajua Davido chini ya Label yake ya DMV wasanii wake wote nyimbo zao na video zao Youtube zipo kwenye acc ya Davido,hamna hata mmoja mwenye account yake binafsi.Mayorkun pamoja na ukubwa wake hana account yake binafsi ya Youtube.

Hivi unamjua Joeboy ambaye mwaka jana ametikisa Nigeria kwa vibao vyake viwili baby na beginning,kama hujui nyimbo zake zote zipo kwenye acc ya empower,hana account binafsi ya Youtube

Sasa ukitafakari utagundua WCB walikuwa fair sana kwa Harmonize.Kama wangesema wampigie mahesabu basi kuanzia brand ya jina lake,acc Youtube na vinginevyo angelipa hela ndefu sana.

WCB wao walizuia hizi nyimbo ambazo zipo kwenye Afrobongo sababu nyingi walizisimami wao,ndio wakadai hela yao.
thread closed. [emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubinadamu kazi ndugu yangu...lakini siku zote binadamu tuna hulka ya kukichoka kitu na ukikichoka lazima utafute kila sababu ya kukishusha hiyo hali ndo inamkuta diamond lakini pia kuna swala la mashabiki wa WCB huwa hawapendi kusikia msanii mwingine nje ya WCB anafanya vizuri na ikitokea hivyo basi ujue wataanza majungu.
Akipost watu watasema angekaa kimya watasema,kuna wengine wanasema support ya kinafiki,asingepost wengesema "ana roho mbaya kila siku anataka kuwa yy"

Lakini hii album WCB wana mchango mkubwa ktk uandaaji wake huo ndio ukweli,ukizisikiliza zile nyimbo nina uhakika ile album imepikwa ndani ya miaka miwili minimum,sizani kama Konde alikurupuka.


Tunaongea tu lkn Harmonize and Diamonds wana history,ambayo hata ufanye nini haiwezi futika.

Anamjua Konde ambaye hana kitu,alidharaulika BSS kakaa naye kampika kwa miaka mitatu then ndipo wakaanza kuachia nyimbo.

Humu JF kulikuwa na thread kibao za kumponda Harmonize anafanana na Diamond mpaka watu wakaponda Mondi anapoteza hela zake.Lkn akaziba masikio akaamini kuwa Harmonize anajua akawekeza hela yake leo Konde huyu hapa anafanya vizuri na husikute hao wanao msifia sasa hivi nyuma walikuwa wanamponda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubinadamu kazi ndugu yangu...lakini siku zote binadamu tuna hulka ya kukichoka kitu na ukikichoka lazima utafute kila sababu ya kukishusha hiyo hali ndo inamkuta diamond lakini pia kuna swala la mashabiki wa WCB huwa hawapendi kusikia msanii mwingine nje ya WCB anafanya vizuri na ikitokea hivyo basi ujue wataanza majungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushabiki upo hivyo kawaida Ajibu alivyokuwa Yanga walimsifia Yanga kaenda Simba leo Yanga wanamkataa.

Kama wewe msanii ukiwa unaogopa majungu,kusemwa vibaya basi hufai kuwa msanii.
 
Akipost watu watasema angekaa kimya watasema,kuna wengine wanasema support ya kinafiki,asingepost wengesema "ana roho mbaya kila siku anataka kuwa yy"

Lakini hii album WCB wana mchango mkubwa ktk uandaaji wake huo ndio ukweli,ukizisikiliza zile nyimbo nina uhakika ile album imepikwa ndani ya miaka miwili minimum,sizani kama Konde alikurupuka.


Tunaongea tu lkn Harmonize and Diamonds wana history,ambayo hata ufanye nini haiwezi futika.

Anamjua Konde ambaye hana kitu,alidharaulika BSS kakaa naye kampika kwa miaka mitatu then ndipo wakaanza kuachia nyimbo.

Humu JF kulikuwa na thread kibao za kumponda Harmonize anafanana na Diamond mpaka watu wakaponda Mondi anapoteza hela zake.Lkn akaziba masikio akaamini kuwa Harmonize anajua akawekeza hela yake leo Konde huyu hapa anafanya vizuri na husikute hao wanao msifia sasa hivi nyuma walikuwa wanamponda.
Haha konde Boy ni level ingine mzee pia hii album ni mpya baada ya kuhamia kwenye management mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha konde Boy ni level ingine mzee pia hii album ni mpya baada ya kuhamia kwenye management mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah mmekutana na mwenzako sura zimewashuka yale matusi mliyokuwa mnamtukana Harmonize leo boss wenu kawaumbua baada ya kupost Album ya Mmakonde.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa sijajua mimi na ww nani alikuwa anamtukana Harmonize JF,hii post yako 2016 ukimponda Harmonize anafana na Diamond,leo 2020 unamsifia sasa mimi na wewe nani mnafiki.
Sauti ya Diamond kwenye wimbo wa Dully Sykes feat Harmonize - INDE
Screenshot_20200315-213424.png
 
Sasa sijajua mimi na ww nani alikuwa anamtuka Harmonize JF,hii post yako 2016 ukimponda Harmonize anafana na Diamond,leo 2020 unamsifia sasa mimi na wewe nani mnafiki.
Sauti ya Diamond kwenye wimbo wa Dully Sykes feat Harmonize - INDE
View attachment 1389434
mzee mi niliamua kukaa kimya tu nakumbukua sana jamaa alivyokua anamtusi harmo sema nakausha sababu sijawahi kupishana nae huyo Daudi Mchambuzi halafu namuheshimu sana,tupo long kitambo sana jamvini.... this is jf😂😂😂😂
 
Akipost watu watasema angekaa kimya watasema,kuna wengine wanasema support ya kinafiki,asingepost wengesema "ana roho mbaya kila siku anataka kuwa yy"

Lakini hii album WCB wana mchango mkubwa ktk uandaaji wake huo ndio ukweli,ukizisikiliza zile nyimbo nina uhakika ile album imepikwa ndani ya miaka miwili minimum,sizani kama Konde alikurupuka.


Tunaongea tu lkn Harmonize and Diamonds wana history,ambayo hata ufanye nini haiwezi futika.

Anamjua Konde ambaye hana kitu,alidharaulika BSS kakaa naye kampika kwa miaka mitatu then ndipo wakaanza kuachia nyimbo.

Humu JF kulikuwa na thread kibao za kumponda Harmonize anafanana na Diamond mpaka watu wakaponda Mondi anapoteza hela zake.Lkn akaziba masikio akaamini kuwa Harmonize anajua akawekeza hela yake leo Konde huyu hapa anafanya vizuri na husikute hao wanao msifia sasa hivi nyuma walikuwa wanamponda.
Kwa nini sio WCB i-promot mtu 1 tu ndo kam-promote?
 
Let assumes Diamond angemuacha kipindi kile ambacho washika dau wamemkataa,BSS imemkataa .Hivi hizo hela za kulipa angezipata wapi?

Hao watu wa sasa wanaye muona wa maana wangemwona wapi?

Hata kama wangemwona wange mvumilia na kumbeba kama Diamond? Kuna kipindi cha nyuma Mondi wakati akimzunguzia Harmonize,alisema ilifika kipindi alitamani kuachana na Harmonize sababu ya maneno ya watu ya kumkatisha tamaa eti "Harmo anafanana na Yy,atapoteza mda na hela yake".Ila yy aliziba sikio akapiga moyo konde akambeba mpaka leo.

Issues sio kulipa alichomfanyia Diamond,Harmonize ni zaidi ya hela aliyomlipa na hata Diamond alichofanyiwa na Papa Misifa ni zaidi ya hela aliyo mlipa.

Kwa hiyo si shangai Mondi kuposti sababu hawa wa historia ambayo HAITAKUJA KUFUTIKA never.

Alafu Mondi kawa fair sana kwa Harmonize pamoja na kumlipa hiyo million 600,kamwachia Youtube acc,Kamwachia brand yake ya Harmonize,Kamruhusu kuimba nyimbo ambazo zilisimamiwa na WCB.

Hivi unamjua Kizz Daniel?Yule kabla ya kutoka ktk label ya G Worldwide iliyomtoa alikuwa anaitwa Kiss Daniel,lkn baada ya kutoka wakamwambia kwanza haruhusiwi kutumia jina la Kiss Daniel ,Youtube acc na hata kuperform nyimbo alizoziimba chini ya G worldwide.

Hivi unajua Davido chini ya Label yake ya DMV wasanii wake wote nyimbo zao na video zao Youtube zipo kwenye acc ya Davido,hamna hata mmoja mwenye account yake binafsi.Mayorkun pamoja na ukubwa wake hana account yake binafsi ya Youtube.

Hivi unamjua Joeboy ambaye mwaka jana ametikisa Nigeria kwa vibao vyake viwili baby na beginning,kama hujui nyimbo zake zote zipo kwenye acc ya empower,hana account binafsi ya Youtube.

Barakha Da Prince wakati anaondoka Rockstar yy mwenyewe alikili ana nyimbo mbili moja kafanya na Casper Nyvest nyingine na Sarkodie,RockStar wamezizuia na account ya Youtube aliyofunguliwa chini ya RockStar wamemzuia kutumia.

Sasa ukitafakari utagundua WCB walikuwa fair sana kwa Harmonize.Kama wangesema wampigie mahesabu basi kuanzia brand ya jina lake,acc Youtube na vinginevyo angelipa hela ndefu sana.

WCB wao walizuia hizi nyimbo ambazo zipo kwenye Afrobongo sababu nyingi walizisimami wao,ndio wakadai hela yao.
Hayo uliyoniandikia hata moja sina kama ulifuatilia baada ya konde kujitoa mangapi yamesemwa? Ukimtendea mtu wema usimsimange, binadam wengi hatujui kwamba kile unachokula ni ridhiki yako hata kama utakuja kwangu ukala kile chakula ilikuwa ule wewe na ndio maana umekula, kwangu kimepitia tu, sasa Diamond na mashabiki zake wanaona alichofanya konde kakosea Sana hapana Diamond alikuwa ni ngazi anatakiwa aelewe hivyo. Hili nililolisema atanielewa mtu mwenye Imani Sana ya dini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo uliyoniandikia hata moja sina kama ulifuatilia baada ya konde kujitoa mangapi yamesemwa? Ukimtendea mtu wema usimsimange, binadam wengi hatujui kwamba kile unachokula ni ridhiki yako hata kama utakuja kwangu ukala kile chakula ilikuwa ule wewe na ndio maana umekula, kwangu kimepitia tu, sasa Diamond na mashabiki zake wanaona alichofanya konde kakosea Sana hapana Diamond alikuwa ni ngazi anatakiwa aelewe hivyo. Hili nililolisema atanielewa mtu mwenye Imani Sana ya dini

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeyasikia yapi?

Kaelewa kama alikuwa ngazi na ndio maanda akawa fair upande wa malipo na ndio maana kapost,sasa hivi asingepost wewe ungesemaje?

Diamond kishawahi kuongea issue ya Konde kwenye chombo chochote cha habari?

Mashabiki huwezi kuwazuia kuongea Ajibu alikuwa Yanga Simba walikuwa wanamkataa ,Ajibu leo yupo Simba Yanga ambao walikuwa wanakubali leo wanamkataa.

Huyo Diamond anapondwa na kusemwa na mashabiki mara ngapi?
 
Wengi wasiofahamu kiundani uhusiano wa hawa jamaa ndo wataamini kuna bifu la kweli ...

Bifu lao ni la faida pande zote mbili ..ukiangalia kwa mbali Ali kiba kashatolewa kwa knock out katika kuwacompare na domo

Diamond mpinzani wake mkuu kwa sasa ni harmonize ..mwamba wa Rock star chali kama mgonjwa wa kwanza wa corona...ni sawa na maji ya glasi moja kupungizia kwenye glasi nyingine

Hivyo ufalme wanagawana wenyewe kwa wenyewe ..keki hailiwi na watu wa mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom