Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuzungumzii video za youtube mkuu,tunazungumzia ilo tamasha mnalosema amejaza watu elfu 70,hayo ya youtube hata akijaza watu milioni haituhusu,hatutaki mpotoshe watu hata kama mnanunuliwa tecno na kuwekewa bando na WCB...Halafu acheni hizo tabia mtu akitoa maoni ambayo WCB amyapendi mnasema ni chuki,mbona watu hawamchukii AY,FA,Prof Jay? Ambao nao kiuchumi wapo vizuri!!Nna mashaka na ufuatiliaji wako wa burudani za Afrika mashariki,unaendeshwa na chuki mkuu narudia Tena Chuki ni adui wa Haki,Hakuna mpigaji matasha bora kama Diamond hapa Bongo video zake zipo YouTube zimegaa kajionee mwenyewe halafu urudi na kauli za Diamond hata bure hajazi
Kalale pimbi sawa
Umefatilia MSINGI WA JIBU LANGU au coz ulishachagua upande umeamua tu nawe kuja kua diKweli kuwa hater kipaji,kuna MTU kakujibu si chini ya mara moja kuwa hakuna show ya MTU mmoja bado huelewi yaani ukianda show ya msanii Fulani lazima wawepo wasindikizaji huwa wanatangulia kabla ya Main Act
Tunaposema diamond peke yake tunamaanisha show ni ya kwake yeye ndo kaindaa then kaalika wasanii wengine sio kualikwa km alivyoalikwa huko Sierra Leone,wewe ni mbumbumbuKwa akili yako ushawai ona show ya mtu mmoja,muda mwingine akili mnaziachaga wap lkn,ukiambiwa kaja haimaanishi alikuwa pekee yake lazima wawepo wasanii wengine maana hana mapafu ya kuperform masaa sita pekee au wewe ungeweza au unazani kuna show ya masaa 2 kisha inaisha? Hizi chuki zinawashushia heshima kwa kuchangia thread pasipokufikiria
SaaaanaAlafu kuna wachawi wanataka kumfananisha Diamond na vitu vya kipumbavu!
Watapata tabu sana!
Kuna mmama mmoja humu mnachoma moyo hatariAlafu kuna wachawi wanataka kumfananisha Diamond na vitu vya kipumbavu!
Watapata tabu sana!
Kuna mmama numb mnamchoma moyo namna hii hatarikuna mshamba mmoja yupo tabora huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mtapata tabu sana maboya nyie......kama hamsikii kuona hamuoni pia?Hapa nahisi alialikwa tu, haikw show yake pekee. Ukue show ya davido.
Hata Wasafi Festival au Fiesta wanakuwa zaidi ya 20 lakini mastar wanajulikanaHiyo show hayupo peke yake wakuu...ni mjumuiko wa artist Kama twenti hivi...
Vipi kiba100.....au hataki show offDiamond is desperate hadi kaanza kuwa muongo, Burnaboy + Harmonize imemuumiza. Aache kudanganya, anahitaji kutulia. Uongo sio mzuri
Tabora vipi mkuu?picha mbona hamrushi au sababu hampendi showoff?Waongo manyau nyie hiyo kama fiesta yao show siyo ya diamond
Kwa hiyo juzi hapa pambano la Mwakinyo aliyejaza mwakinyo au Dogo Mfaume.Au Burnaboy aliyejaza Burnaboy au Joh Makini.Tunachokijadili hapa sio u mainact was mond,tunachokijadili hapa ni chibudenga na tale kutudanganya hiyo show ilikuwa yao na chibu ndiye aliyejaza uwanja wakati mwaka Jana ilifanyika na watu wakajaa hivo hivo,ni km fiesta hats manfongo akiwa main act watu bado watajaa tu