Diamond Platnumz ajaza uwanja unaoingiza watu 70,000 Sierra Leone

Diamond Platnumz ajaza uwanja unaoingiza watu 70,000 Sierra Leone

Misinfomation ni jambo baya sana kwa jamii kwani hudumaza jamii husika. Nimesoma hiyo liki uliyoweka, nikaona kweli kuna misinformation kubwa sana kwenye tukio hili kwa upande wa Tanzania kwani hiyo haikuwa show ya mtu mmoja kama nilivyokuwa hata mimi naamini bali ililkuwa ni tamasha lililohusisha wasanii wengi wa kutoka mataifa kumi ya Afrika. Tunataka Tanzania ing'ae lakini tusiwe tunaeneza habari zisizokuwa za kweli ili kuisifia Tanzania na watu wake.

ECOFEST SIERRA LEONE 2019...Using Entertainment sell Sierra Leone to the world and to enhance African Unity.
06,Sep 2019

Written by Admini

Read 9051 times

What clearly was a major break in Sierra Leone and West African Entertainment commenced just over a year ago. The greatest entertainment platform ever created in Sierra Leone started at last year’s ECOFEST hosting seven West African Nations. Superstars like Patoranking from Nigerian, Kuami Eugene from Ghana, Takana Zion from Guinea and CIC from Liberia to name but a few, were part of a star studded line up for what was a massive event and an almost perfect showdown. This year has promised even bigger and greater things and by all standards it has a momentum that’s bound to attract the whole of the African continents attention. Issues like sound system that were a national have now been fully sorted by KME’s ECOFEST SIERRA LEONE 2019 partners, CRIBS INTERNATIONAL.


ECOFEST SIERRA LEONE 2019 will be having Ten (10) Nations represented at one arena in Freetown. They include, Nigeria, Ghana, Guinea, Senegal, Gambia, Liberia, The Host Nation Sierra Leone (from the West African front), Tanzania, Uganda (From East Africa) and (Malawi) from Southern African front. What better way to unify Africa at a time when everyone is talking about the xenophobic attacks meted out by South Africans to other African nationalities? Sierra Leone takes a bolder step in welcoming our African brothers and sisters to a platform that will soon be not only a international phenomenon, but an African legacy.

Multiple award winning Record Label and hitmakers, Kabaka Multimedia and Entertainment (KME) who are lead organizers have informed this media that this will be an unforgettable night of entertainment come November 30th at the National Stadium. The CEO of KME, Lawyer Abu Bakarr Turay, popularly known as The Kabaka has intimated us that the initiative was to shed light on our stars back home. To have a platform that will be enviable to other African nations and that will welcome both acts that have “arrived” in their career as we have in Diamond Platnumz, Basket Mouth, Jose Chameleone etc..and those who are “on their way” like the many powerful Sierra Leonean musicians, comedians and other entertainment acts. “If they cannot invite us to the big stages that we have envied for decades, we have created one that is attractable enough to have them come here and see what we are also made of and then they will be emissaries for us, to take the good news back to the rest of Africa and beyond..”, CEO KABAKA stated.

On those who stand to benefit back home locally, Kabaka wasted no time in explaining that apart from the fact that his Record Label grooms 100% Sierra Leonean talents and currently have about 8 musicians, and four dancers, there will be six of the nation’s best comedians in this year’s ECOFEST, namely Kindo Armani, Faculty, Richie Obama, Oga Worwor, Yemata and legendary Desmond Benya. There will also be ten Sierra Leonean musicians on stage as main acts such as, Innocent, Morris, Star Zee, Arkman, Camouflage and King Boss LA to name a few (these don’t include the 8 KME artistes). There will be atleast ten local “guest acts” on the night. Also we will have Sierra Leonean DJs who will give us a “party time” hour. From the number of acts, it is clear that 70% of acts who will grace the stage on that night will be Sierra Leoneans, but the African continent will be well represented and they will enjoy Sierra Leonean hospitality as never before. The whole of Africa knows our hospitality is second to none.

On time management, there will be Basket Mouth as main host for the show who will be assisted by two co-hosts. Last year there were eight MCs. Drastically reducing that number and bringing someone who wouldn’t yield to pressure from some artistes to over stay their time on stage is key. Also starting as early as 6PM means we will have six hours of a great show even before midnight. In total we are hoping to give our fans 9-10 hours of nonstop and breathtaking entertainment, The Kabaka furthered.

This year’s ECOFEST is organized by KME in collaboration with EMPIRE ENTERTAINMENT GHANA and CRIBS INTERNATIONAL. Supported by Africell, AfriRadio, AYV, 98.1FM, NEWSWATCH MAGAZINE AND NEWSPAPER and many more. It will be a night of music, comedy, dance and cultural entertainment. Be there on Saturday 30TH NOVEMBER at the National Stadium.
ukiona wananchi kama wa Sierra Leone wanapagawa na mtu kutoka East Africa ujue ni ishu nyingine...
 
Hakuna festival ya mtu mmoja. Ila kutusua kwa festival kunategemea main act wanao pafom
Kwa hiyo juzi hapa pambano la Mwakinyo aliyejaza mwakinyo au Dogo Mfaume.Au Burnaboy aliyejaza Burnaboy au Joh Makini.

Wewe najua Mondi humpendi nishabishana
na wewe sana,kama humpendi mtu acha kumfuatilia atakukera na utaumia.

Yashafanyika matamasha kibao akina Cabo snoop,Wizkid,Davido,Psquare,Koffi kama main act yaani wao ni kitavu na mvuto wa hiyo show.

So kuwa Main act maana yake walio ingia wengi wao wamefuata kumtizama main act.

Mwache ajisifu kuwa Main act ktk nchi ambayo hawaongei kiswahili,sio swala dogo sababu yy ndiye MAIN ACT na utaumia sana.
Pardon me,mbona kichwa chako kinakuwa kigumu kuelewa? Tunachokijadili hapa ni diamond na tale kutudanganya wabongo kuwa hiyo show ilikuwa yao,yaani wao ndio walioandaa hiyo show na kujaza watu elfu70,Mimi sizungumzii u main act wa diamond,upendo ni dhana ya kufikirika haupo ndani ya moyo wangu wala haujui kilichopo ndani ya moyo wangu,so usirudie tena kuandika "mi najua haumpendi diamond" halafu mimi sio shabiki maandazi kama mashabiki maandazi wa humu wanaobishana mambo ya kiba na mond hadi kufikia hatua ya kutukanana Mimi ni shabiki wa muziki mzuri nasikiliza wimbo wowote ule ili mradi use mzuri tu kwa mfano ngoma mpya aliyoitoa chibu ft teni ni ngoma kali na ninayo kwenye simu yangu nasikiliza lakini pia siwezi kumchukia kijana mwenzangu anayetafuta ridhiki take kihalali kabisa tena huku akiwa kaajiri vijana wenzie wengi tu but also inaonesha ww ni shabiki wa wcb sio shabiki wa muziki yaani nje ya wcb wasanii wote hakuna kitu huu ndio utofauti wangu kati yangu Mimi na wewe,na kwa bahati nzuri hustle za chibu nimezishuhudia na sio kusimuliwa,
 
Pardon me,mbona kichwa chako kinakuwa kigumu kuelewa? Tunachokijadili hapa ni diamond na tale kutudanganya wabongo kuwa hiyo show ilikuwa yao,yaani wao ndio walioandaa hiyo show na kujaza watu elfu70,Mimi sizungumzii u main act wa diamond,upendo ni dhana ya kufikirika haupo ndani ya moyo wangu wala haujui kilichopo ndani ya moyo wangu,so usirudie tena kuandika "mi najua haumpendi diamond" halafu mimi sio shabiki maandazi kama mashabiki maandazi wa humu wanaobishana mambo ya kiba na mond hadi kufikia hatua ya kutukanana Mimi ni shabiki wa muziki mzuri nasikiliza wimbo wowote ule ili mradi use mzuri tu kwa mfano ngoma mpya aliyoitoa chibu ft teni ni ngoma kali na ninayo kwenye simu yangu nasikiliza lakini pia siwezi kumchukia kijana mwenzangu anayetafuta ridhiki take kihalali kabisa tena huku akiwa kaajiri vijana wenzie wengi tu but also inaonesha ww ni shabiki wa wcb sio shabiki wa muziki yaani nje ya wcb wasanii wote hakuna kitu huu ndio utofauti wangu kati yangu Mimi na wewe,na kwa bahati nzuri hustle za chibu nimezishuhudia na sio kusimuliwa,
Sihitaji kuingia kwenye moyo wako,kuna siku nishabisha na ww so comment zako zina reflect humpendi Diamond,nimerivew comment za nyuma bahati mbaya zipo page sita,kama zingekuwa zote ningeziweka.

Pili kujisifia lazima ajisifie yaani ,maana yake anachokifanya output na impact yake kaiona so MWACHE AJISIFIE yy ndiye main act,walio wengi walimfuata KUMWONA DIAMOND.

Kwa hiyo ww ulichoumia BABUTALE na DIAMOND kujisifia ,so wasingejisifia INGEKUWAJE.?

Kwani nani amesimuliwa hustle za Chibu?
Acha kujificha kwenye shamba la mchicha.

Yaani ukiongizwa na CHUKI kuna vitu utataka kucomplicate na kutia ugumu kisa kafanya msanii usiye mpenda.

Kama humpendi Diamond acha kumfuatilia,mwisho wa siku atakuumiza.

Wizkid show Ya Paris France as Main act,lkn kuna Innoss'B na kama hujui wasanii wa DRC wana kubalika sana France na nchi zote za Anglophone.

images (11).jpeg

Hapa Wizkid akishukuru na akasisitiza Souldout,ina maana alikuwa peke yake?

 
Hata kiba nae kajaza tabora ila hapendi showoff
 
Sihitaji kuingia kwenye moyo wako,kuna siku nishabisha na ww so comment zako zina reflect humpendi Diamond,nimerivew comment za nyuma bahati mbaya zipo page sita,kama zingekuwa zote ningeziweka.

Pili kujisifia lazima ajisifie yaani ,maana yake anachokifanya output na impact yake kaiona so MWACHE AJISIFIE yy ndiye main act,walio wengi walimfuata KUMWONA DIAMOND.

Kwa hiyo ww ulichoumia BABUTALE na DIAMOND kujisifia ,so wasingejisifia INGEKUWAJE.?

Kwani nani amesimuliwa hustle za Chibu?
Acha kujificha kwenye shamba la mchicha.

Yaani ukiongizwa na CHUKI kuna vitu utataka kucomplicate na kutia ugumu kisa kafanya msanii usiye mpenda.

Kama humpendi Diamond acha kumfuatilia,mwisho wa siku atakuumiza.
Wewe mbona unakuwa mpumbavu? Pardon me wewe ni jinsia gani kwanza?
Sihitaji kuingia kwenye moyo wako,kuna siku nishabisha na ww so comment zako zina reflect humpendi Diamond,nimerivew comment za nyuma bahati mbaya zipo page sita,kama zingekuwa zote ningeziweka.

Pili kujisifia lazima ajisifie yaani ,maana yake anachokifanya output na impact yake kaiona so MWACHE AJISIFIE yy ndiye main act,walio wengi walimfuata KUMWONA DIAMOND.

Kwa hiyo ww ulichoumia BABUTALE na DIAMOND kujisifia ,so wasingejisifia INGEKUWAJE.?

Kwani nani amesimuliwa hustle za Chibu?
Acha kujificha kwenye shamba la mchicha.

Yaani ukiongizwa na CHUKI kuna vitu utataka kucomplicate na kutia ugumu kisa kafanya msanii usiye mpenda.

Kama humpendi Diamond acha kumfuatilia,mwisho wa siku atakuumiza.
Naam kama umekiri kwamba show haikuwa ya chibu na tale km walivyotudanganya, basi mjadala kati yangu na wewe umeisha hayo mengine unaweza kuendelea kubishana na wapuuzi wenzio,humu ndani shabiki was kweli was mond ni mmoja tu wengine wote bendera fuata upepo
 
Wewe mbona unakuwa mpumbavu? Pardon me wewe ni jinsia gani kwanza?

Naam kama umekiri kwamba show haikuwa ya chibu na tale km walivyotudanganya, basi mjadala kati yangu na wewe umeisha hayo mengine unaweza kuendelea kubishana na wapuuzi wenzio,humu ndani shabiki was kweli was mond ni mmoja tu wengine wote bendera fuata upepo
Kwa hiyo umekasirika Tale na Chibu kujisifia?

Haya Wizkid show Ya Paris France as Main act,lkn kuna Innoss'B na kama hujui wasanii wa DRC wana kubalika sana France na nchi zote za Anglophone.
images (11).jpeg

Hapa Wizkid akishukuru na akasisitiza Souldout,ina maana alikuwa peke yake?

Ila kwa kuwa kafanya Diamond nongwa.
 
Kwa hiyo umekasirika Tale na Chibu kujisifia?

Haya Wizkid show Ya Paris France as Main act,lkn kuna Innoss'B na kama hujui wasanii wa DRC wana kubalika sana France na nchi zote za Anglophone.
View attachment 1282380
Hapa Wizkid akishukuru na akasisitiza Souldout,ina maana alikuwa peke yake?

Ila kwa kuwa kafanya Diamond nongwa.

Tujadili vitu vingine mkuu,huu mjadala umeshafungwa,Mimi sio shabiki maandazi na Mimi kwenye ukweli huwa siwezi kubishana km mashabiki maandazi wa humu ndani km ww hivi
 
Tujadili vitu vingine mkuu,huu mjadala umeshafungwa,Mimi sio shabiki maandazi na Mimi kwenye ukweli huwa siwezi kubishana km mashabiki maandazi wa humu ndani km ww hivi
We endelea kujificha ktk shamba la mchicha ila tulisha kuona.
Au revoir
 
NI KWAMBA SHOW NI YA KWAKE MWENYEWE AU WALIKUA WASANII WENGI KAMA FIESTA?
 
Kuna MTU alikuwa anaitwa kifesi,we bado hujafika hata theluthi,bado na sidhani km utamfikia,
Nimfikie Kifesi ili iweje? Kifesi atabaki kuwa Kifesi na mimi nitabaki kuwa MIMI.

Kila mtu ana mission yake hapa Duniani so sihitaji kuwa Kifesi bali nataka kuwa MIMI.
 
Nimfikie Kifesi ili iweje? Kifesi atabaki kuwa Kifesi na mimi nitabaki kuwa MIMI.

Kila mtu ana mission yake hapa Duniani so sihitaji kuwa Kifesi bali nataka kuwa MIMI.
Kwahiyo mission yako hapa duniani ni kuishabikia wcb?
 
One of them,kama ww unavyoipinga WCB.
Safi sana,Mimi nilidhani ndoto zako ni kuwa Engineer,doctor,muhasibu au kuwa mfanyabiashara mkubwa,au mgunduzi flani au msanii flani mkubwa au muhandishi flani machachari kumbe mission yako ni kushabikia WCB,
 
Safi sana,Mimi nilidhani ndoto zako ni kuwa Engineer,doctor,muhasibu au kuwa mfanyabiashara mkubwa,au mgunduzi flani au msanii flani mkubwa au muhandishi flani machachari kumbe mission yako ni kushabikia WCB,
Nikikwambia mimi ni nani haito kusaidia, ila ukienda jukwaa la Technology,kuna watu nawashauri kuhusu Networking,Juniper,Cisco,Huawei,IP/MPLS ,Network Automation.

Kuna vitu na vimiliki mimi certificate za nje na ndani lkn hata nikikwambia haitokusaidia.

We cha msingi tuendelea kuchukuluana poa humu Celebrity forum.
 
Nikikwambia mimi ni nani haito kusaidia, ila ukienda jukwaa la Technology,kuna watu nawashauri kuhusu Networking,Juniper,Cisco,Huawei,IP/MPLS ,Network Automation.

Kuna vitu na vimiliki mimi certificate za nje na ndani lkn hata nikikwambia haitokusaidia.

We cha msingi tuendelea kuchukuluana poa humu Celebrity forum.
Unataka kusema umesoma computer engineering/science au telecommunications? Km umesoma comp.engineering ma engineer hatuna akili za kijinga km zako
 
Unataka kusema umesoma computer engineering/science au telecommunications? Km umesoma comp.engineering ma engineer hatuna akili za kijinga km zako
Ndio maana hata nikwambia ww,mimi nani haitokusaidia na hutoamini na sina muda huo.

Cha msingi acha tuendelee kuchukuliana poa ila kuna watu nawafundisha,Laplace,Z transform,Fourier ,Derministic and stochaustic Signal,Classical and Control Engineering,Measurement and Instrumentation Engineering.

Wewe cha msingi tuendelee kuchukuliana poa kwani humu JF ni ulimwengu wa kambale.
 
Ndio maana hata nikwambia ww,mimi nani haitokusaidia na hutoamini na sina muda huo.

Cha msingi acha tuendelee kuchukuliana poa ila kuna watu nawafundisha,Laplace,Z transform,Fourier ,Derministic and stochaustic Signal,Classical and Control Engineering,Measurement and Instrumentation Engineering.

Wewe cha msingi tuendelee kuchukuliana poa kwani humu JF ni ulimwengu wa kambale.

Ukiona mtu anakusimanga of what you are it shows yeye alitamani sana kua kama wewe ila hakuweza!

Anakataa as if ana evidence you are not what u saying you are?

Yaelekea alitamani sana kua ulivyo wewe,hakuweza,hivyo anajenga wivu mkali na nyie!

Its unfortunate!
 
Ndio maana hata nikwambia ww,mimi nani haitokusaidia na hutoamini na sina muda huo.

Cha msingi acha tuendelee kuchukuliana poa ila kuna watu nawafundisha,Laplace,Z transform,Fourier ,Derministic and stochaustic Signal,Classical and Control Engineering,Measurement and Instrumentation Engineering.

Wewe cha msingi tuendelee kuchukuliana poa kwani humu JF ni ulimwengu wa kambale.
OK sawa,
 
Back
Top Bottom