Diamond Platnumz ajaza uwanja unaoingiza watu 70,000 Sierra Leone

Diamond Platnumz ajaza uwanja unaoingiza watu 70,000 Sierra Leone

Hivi ni kwanini hawa jamaa huwa wanakuona NDEZI kiasi hicho?
Ni yaleyale ya kutumbuiza kwenye ufunguzi wa World Cup.
Hawa WCB wanaona wabongo ni MANDEZI? Hawajui kwamba dunia ipo kiganjani? Dimondi hapa hapa bongo hata akifanya onyesho bure hawezi kujaza shamba la bibi ndio akajaze sehemu ambayo hata hawamjui?

Cha kusikitisha zaidi ni kua ipo idadi kubwa ya wajinga wanaoamini haya baada ya kuaminishwa.
 
What clearly was a major break in Sierra Leone and West African Entertainment commenced just over a year ago. The greatest entertainment platform ever created in Sierra Leone started at last year’s ECOFEST hosting seven West African Nations. Superstars like Patoranking from Nigerian, Kuami Eugene from Ghana, Takana Zion from Guinea and CIC from Liberia to name but a few, were part of a star studded line up for what was a massive event and an almost perfect showdown. This year has promised even bigger and greater things and by all standards it has a momentum that’s bound to attract the whole of the African continents attention. Issues like sound system that were a national have now been fully sorted by KME’s ECOFEST SIERRA LEONE 2019 partners, CRIBS INTERNATIONAL.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi wame elewa kwel
 
Ok kweli hata konde boy alijaza sudani.. kama ndohivyo...
 
[emoji41]
20191201_165012.jpeg
 
Waandaaji wa show wenyewe wamesema,main act ktk show yao alikuwa Diamond platnumz,sasa nyie endeleeni kubisha,hamna kitakacho badilika.

Picha hii ya Drone aka za utosini,sio side view wala front view bali ni top view.
73470548_245705679734895_338224014288941992_n (1).jpg

Next week Gunea Estadio LENO,main act Diamond Platnumz.
77114229_2856984911026588_5620358901567972982_n.jpg
 
Tuache kaushabiki kidogo hivi kwenye list ya wasanii walioitwa kwenye hilo tamasha yupi ana ushawishi mkubwa kuliko wenzake na yupi ana jina kubwa kuliko wenzake?
Inategemea unaongelea kutoka upande upi wa Africa.

Watu wana Regimes zao unaweza ukadhani fulani ni jiwe kwa jinsi ulivyo muona huku, lakini ukienda pande zile unakuta kumbe kuna wana miamba kabisa.
Ukute waliomshirikisha hawakumuita ili awavutie mashabiki wa kule, bali walikua wana malengo ya kujenga mahusiano ili wapate platform na mwenyeji siku watakapoanza kuleta wasanii wao huku.
 
Inategemea unaongelea kutoka upande upi wa Africa.

Watu wana Regimes zao unaweza ukadhani fulani ni jiwe kwa jinsi ulivyo muona huku, lakini ukienda pande zile unakuta kumbe kuna wana miamba kabisa.
Ukute waliomshirikisha hawakumuita ili awavutie mashabiki wa kule, bali walikua wana malengo ya kujenga mahusiano ili wapate platform na mwenyeji siku watakapoanza kuleta wasanii wao huku.
Nimeuliza swali rahisi sana, kati ya woote walioimba kwenye hilo tamasha including Jose Chameleon nani anamfikia diamond kwa umaarufu na ushawishi?

Weka kando kwanza habari za wenye concert kusema Simba ndo alikuwa main act
 
Nimeangalia show ya Nasib kwenye YouTube huko Freetown Sierra Leone, na kisha vivyo hivyo kwa Kiba huko Tabora,
Binafsi nimegundua hawa watu wawili wako level mbili tofauti.
hatarii
 
Nimeangalia show ya Nasib kwenye YouTube huko Freetown Sierra Leone, na kisha vivyo hivyo kwa Kiba huko Tabora,
Binafsi nimegundua hawa watu wawili wako level mbili tofauti.
Kwa nn mkuuu????
 
Back
Top Bottom